Theb
JF-Expert Member
- Jan 25, 2019
- 3,927
- 7,276
Wanao usiwachanje za polio nk.CHANJO NI UCHAFU WENYE SUMU.
Kwa kiingereza tunasema chanjo ni TOXIC RUBBISH.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanao usiwachanje za polio nk.CHANJO NI UCHAFU WENYE SUMU.
Kwa kiingereza tunasema chanjo ni TOXIC RUBBISH.
Labda hujanipata ipasavyo.Wanao usiwachanje za polio nk.
Unchosema ñi kweli, collateral damage ya kauli naaamuzi ya Magufuli ni mbaya sana na itakwenda vizazi na vizaz.Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Wewe ni kichaaaaaLabda hujanipata ipasavyo.
Narudia tena kwa herufi kubwa:
CHANJO ZA CORONA NI UCHAFU WENYE SUMU.
Kwa tafsiri ya kizungu ninamaanisha hivi:
CORONA VACCINES ARE TOXIC RUBBISH.
Kwa kikerewe:
ICHANJO YA CORONA IS TOXIC GARBAGE.
alikuwa na phd ya chemical and processing eng. njomba !!Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo.
chanjo ya korona inaua mbegu za kiume unakuwa tasa ati.Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Wewe ndiye mshamba usiyejielewa. Magu alikuwa anatoa reasons za kisayansi za kwa nini haziamini chanzo hizo.Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Chanzo hizo za surua, ndui, pepopunda nk ziligunduliwa baada ya mda gani?Alikuwa mshamba sana. Chanjo za surua, pepopunda, ndui n.k tumechanjwa hao wazungu walishindwa kuweka hizo sumu zao?
Madawa karibu yote tunaagiza nje, kwa nini wasiweke hizo sumu? Nguo pia?
vyakula, mfano ngano , mafuta, kumbe inatoka Ukraine, si wangeweka hizo sumu?
Ila ana wafuasi wengi waliomuamini,
nimeandika haya kwa sababu kuna jamii imeanza kukataa kila chanjo. kuna chanjo mpaka zinaisha muda wake watu hawataki kuchanja. Hawa wanaopinga ndio akili kama za jiweUnchosema ñi kweli, collateral damage ya kauli naaamuzi ya Magufuli ni mbaya sana na itakwenda vizazi na vizaz.
Yale magonjwa kama Polio na Ndui tuliyokuwa tumeyatokomeza miaka ya 197Os na 1990s yatarudi tu
Leo ndiyo umegundua Magufuli alikuwa na wafuasi wengi?nimeandika haya kwa sababu kuna jamii imeanza kukataa kila chanjo. kuna chanjo mpaka zinaisha muda wake watu hawataki kuchanja. Hawa wanaopinga ndio akili kama za jiwe
Kichaa ni yule anayelilia kudungwa MACHANJO MACHAFU YENYE SUMU.Wewe ni kichaaaaa
Hawa wanaopinga ndio akili kama za jiwe
Chanjo ni tatizo, waliochanja wote tegemea mabadiliko makubwa ya akili zao na mambo mengne.Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Punguani wa design hii ni wa kupuuzwa. Chanjo ni hiari full stop.
Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya
Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Chanjo ni tatizo, waliochanja wote tegemea mabadiliko makubwa ya akili zao na mambo mengne.
Nilizika jamaa yangu aliechanja Kwa kufuata msimamo wa KISIASA wa mkt wa ufipa juu ya chanjo DAMU iliganda.
Ogopa sana CHANJO ambayo unaambiwa kbs litakalokupata Serikali hawahusiki Kwa madhara yoyote yatayosababishwa na dude Hilo.
CORONA ingeanza Wakt huu wa waramba asali chomoto tungekiona bt Mungu ni Mwema. Amen