Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Magufuli alikua against na chanjo ya corona, sio chanjo zote. Uache uongo.Magufuli alikuwa against chanjo kuwa zimeletwa kuua watu, na hakusema chanjo za Covid pekee, alilnga chanjo zote
Mimi hiyo ya Covid pia sijachanja, sipo katika kundi la wenye risk
Ila chanjo naamini inazuia magonjwa
Zingine zilikuwepo na ziliendelea kutolewa Kama kawaida