Dokta Uchwara
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,370
- 3,152
Ogopa sana CHANJO ambayo unaambiwa kbs litakalokupata Serikali hawahusiki Kwa madhara yoyote yatayosababishwa na dude Hilo.
Kuna manyumbu hayaelewi hii kitu.
Ati chanjo ni salama! Thubutu yao!!
Unadungwa kitu zito halafu serikali inakwambia HAIHUSIKI.