#COVID19 Hayati Magufuli alitia sumu masuala ya chanjo, Serikali nywesheni maziwa

#COVID19 Hayati Magufuli alitia sumu masuala ya chanjo, Serikali nywesheni maziwa

Aliyechanja hatoruhusiwa kufanya Blood Donation. Haruhusiwi kuchangia Damu.

Jiulize wameweka nn ndani ya miili ya watu.

Watawala msipokuwa na huruma na waliowachagua,

Adhabu Kutoka Kwa Mungu inawahusu. Amen
Sikiliza hii we nyumbu wa machanjo Stuxnet
 
Hata huko zinapotoka Kuna mamilion ya watu wamezigomea chanjo. Nick minaj ni mmoja wa star mkubwa kuzigomea chanjo
Hao nao walimsikiliza Magufuli?
Mkuu achana na mataahira. Mtoa mada ni mojawapo ya mataahira.

Chanjo imekataliwa kote huko Duniani lawama anapewa Magufuli.
 
Hayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.

Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.

Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Mle mlikuwa hamna Rais Wallah tena ! Ashukuriwe sana Mungu

FB_IMG_1657190750436.jpg
 
nimeandika haya kwa sababu kuna jamii imeanza kukataa kila chanjo. kuna chanjo mpaka zinaisha muda wake watu hawataki kuchanja. Hawa wanaopinga ndio akili kama za jiwe
Magufuli hakustahili kuwa Rais wa Tanzania, na hili Mungu anajuwa na ndiyo maana katusaidia kumpeleka kuzimu pale Machi 17, 2021
 
Magufuli hakustahili kuwa Rais wa Tanzania, na hili Mungu anajuwa na ndiyo maana katusaidia kumpeleka kuzimu pale Machi 17, 2021
Baada ya kupatikana KATIBA mpya 2026.

Anarudi kiongozi mwenye maono aina ya Magufuli. Amen
 
Baada ya kupatikana KATIBA mpya 2026.

Anarudi kiongozi mwenye maono aina ya Magufuli. Amen
Hawezi kutokea MWENDAWAZIMU mwingine kama Magufuli kwa Tanzania hii na kuwa Rais. Nawalaumu CC ya CCM maana TISS walishakuwa na faili lake la UKICHAA mwaka 2015
 
Hayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.

Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.

Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Mtu yeyote mwenye akili na ufahamu hawezi kuwaweka kwenye risk watu wake kwa majaribio ya chanjo...chanjo ya ukimwi process yake imechukua zaidi ya miaka 10 na bado haijapitishwa kikamilifu...Ni ajabu mpaka sasa kuna watanzania wanapuuza hatua zilizochukuliwa na Tanzania kupambana na covid. ...usione bado watu wanavaa barakoa ni sababu tu ya ule msaada!!
 
Ni maoni yake tunayaheshimu.

Bt Watanzania wengi Magufuli alituepusha na balaa la CHANJO.

Kila mwanadamu ana MAZURI na mabaya yake.

Uncle amefanya mengi MAZURI kuliko mabaya. TUTAMKUMBUKA.

Amen
Nyie ndio wale mliokuwa mnazimia na mifuko ya sangara mkononi ?

Katika_Historia%3A%0APamoja_na_kwamba_ALIZIMIA_baada_ya_kuuona_mwili_wa_mpendwa_wetu_MFUKO_hak...jpg
 
Mpumbavu mmoja wewe chanjo ni hiyari na ka watz hawajachanja mbona hawapukutiki kama ulivyoambiwa na mambwana zenu
 
Hawezi kutokea MWENDAWAZIMU mwingine kama Magufuli kwa Tanzania hii na kuwa Rais. Nawalaumu CC ya CCM maana TISS

Haha. Zee la mavyeti feki.

Kwanza wewe ni sisimizi tu unayefoka mitandaoni.

Haujui chochote kinachofanyika kwenye corridors za wenye mamlaka.

Na ukileta fyoko mtandaoni tunakuadabisha vilevile.

Huku tupo wa saizi yako.
 
Hawezi kutokea MWENDAWAZIMU mwingine kama Magufuli kwa Tanzania hii na kuwa Rais. Nawalaumu CC ya CCM maana TISS walishakuwa na faili lake la UKICHAA mwaka 2015
Atakuwa mwenye kaliba ya Magufuli bt hatotumia nguvu sana kudeal na wabadhilifu.

KATIBA mpya itamrahisishia KAZI. Ndomana unaona inaandikwa. Amen
 
Back
Top Bottom