#COVID19 Hayati Magufuli alitia sumu masuala ya chanjo, Serikali nywesheni maziwa

#COVID19 Hayati Magufuli alitia sumu masuala ya chanjo, Serikali nywesheni maziwa

Binafsi ni shahidi ..mwaka huu serikali ilizindua chanjo ya Polio kwa watoto chini ya miaka , serikali wali amua kuipeleka huduma hii mtaani kwa siku 4, aisee ilikuwa ni shida unakutana na mtu mzima mwanamama ana mtoto chini ya 5 lkn ana kataa mtoto wake kupewa chanjo ..aisee kuanzia pale nika amini ya kuwa maneno ni sikaha na ni sumu sanaa
Ndio mkome kuwalisha watu sumu mkisingizia ati ni chanjo.

Usanii wenu wa machanjo na madawa ya ajabu ajabu utafika mwisho tu.

Kila mzazi ana haki ya kumlinda mtoto wake dhidi ya machanjo ya KIPUMBAFU kutoka kuzimu.
 
Mkt alishauri LOCKDOWN, ni Ujinga kujifungia ukafa NJAA, kuliko Kufa na Corona ukitafutia watoto chakula.

Corona Iko wap sasa ktk Nchi yangu TANZANIA?

Asante Mungu Kwa zawadi ya Magufuli uliyotupa. Amen
MBOWE ni wakala wa ibilisi akishirikiana na magenge ya ELITES nchini na nje ya nchi.

Yule ni nyoka kifutu aliyejificha kwenye chaka la DEMOKRASIA.
 
Unchosema ñi kweli, collateral damage ya kauli naaamuzi ya Magufuli ni mbaya sana na itakwenda vizazi na vizaz.

Yale magonjwa kama Polio na Ndui tuliyokuwa tumeyatokomeza miaka ya 197Os na 1990s yatarudi tu
Nyie ndio mang'ombe mliokuwa mnashangilia fumigation ya dawa za mende eti mjikinge na corona. Mazuzu kila kinachotokq kwa mzungu mnashangilia. Sasahivi analeta ushoga sasa anzeni kubinua
 
Nyie ndio mang'ombe mliokuwa mnashangilia fumigation ya dawa za mende eti mjikinge na corona. Mazuzu kila kinachotokq kwa mzungu mnashangilia. Sasahivi analeta ushoga sasa anzeni kubinua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wewe ndiye mshamba usiyejielewa. Magu alikuwa anatoa reasons za kisayansi za kwa nini haziamini chanzo hizo.

Lakini elewa JPM aliaminiwa na waTz kwa asilimia kubwa sana. Na kwa kuaminika huko ndiyo maana unaona waliyochanjwa hadi sasa hawajafikia 20%
Hizo takwimu za waliochanjwa zinakaribiana sana na idadi ya wananchi ambao ni werevu sana, werevu wa kawaida na baadhi ya wajinga ambao wanaweza kuelimishwa.
 
Alikuwa mshamba sana. Chanjo za surua, pepopunda, ndui n.k tumechanjwa hao wazungu walishindwa kuweka hizo sumu zao?
Madawa karibu yote tunaagiza nje, kwa nini wasiweke hizo sumu? Nguo pia?

vyakula, mfano ngano , mafuta, kumbe inatoka Ukraine, si wangeweka hizo sumu?

Ila ana wafuasi wengi waliomuamini,

Kwani alikataza hizo za surua na pepopunda?
 
Chanjo ni tatizo, waliochanja wote tegemea mabadiliko makubwa ya akili zao na mambo mengne.

Nilizika jamaa yangu aliechanja Kwa kufuata msimamo wa KISIASA wa mkt wa ufipa juu ya chanjo DAMU iliganda.

Ogopa sana CHANJO ambayo unaambiwa kbs litakalokupata Serikali hawahusiki Kwa madhara yoyote yatayosababishwa na dude Hilo.

CORONA ingeanza Wakt huu wa waramba asali chomoto tungekiona bt Mungu ni Mwema. Amen
Amen
 
Hizo takwimu za waliochanjwa zinakaribiana sana na idadi ya wananchi ambao ni werevu sana, werevu wa kawaida na baadhi ya wajinga ambao wanaweza kuelimishwa.
Werevu wa kunywa machanjo yenye sumu yanayogandisha damu?

Sheitwaan majnuun laanatulah!

Kafie kuzimu na machanjo yako feki.

MANGANAATAU MATHITHINYANA THE WITCH.
 
Hayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.

Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.

Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Mie nimechanja mara 2 na nilishaitwa ya 3 nimekataa. Mambo mingi nimepinga kuhusiana na JPM katika uhai wake, lakini hili la chanjo na covid-19 anaweza kuwa alikuwa juu ya mstari.

My speculation hizi chanjo ni kama sumu ya immune system, ukiweza pata upenyo kuikimbia basi fanya hivyo hususan kama umri wako sio juu ya 60 na huna tatizo lolote la kiafya kama mgonjwa wa sukari au moyo au mapafu basi sawa unaweza kimbilia chanjo.

Wanangu wote nimeweka mstari na hata mie mwenyewe sitaki tena kusikia suala la chanjo. Acha upate tuu hio covid na mwili utajenga kinga yenyewe.
 
Hayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.

Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.

Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Kila mchuma janga hula na wakwao.
 
Tundu Lisu amechanjwa lakini yuko karantini kea uviko huo huo
Kwani umeambiwa kuwa amekufa kama mwendazake?
Hakuna aliyewahi kusema kuwa chanjo inazuia mtu asiambukizwe. Chanjo zinapunguza uwezekano wa kuugua ugonjwa mkali, kulazwa hospitali au ICU na kufa sio kuambukizwa.
Elimika kama una akili, nenda kachanjwe, epuka misongamano kama unaweza, vaa mask ukiwa kwenye hadhara.
Kitu pekee kinachoweza kuzuia usiambukizwe ni kuvaa mask ya N95 wakati wote, kukaa mbali na watu wengine na kunawa mikono kila unapogusa kitu chochote.
 
Hayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.

Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.

Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
[emoji1005] [emoji706]
 
Mtu kama Mathanzua kuachwa akieneza upotoshaji kuhusu chanjo hapa Jukwaani ni sehemu ya uhuru wa habari??! Sidhani.
 
Back
Top Bottom