Hicho ndio kigezo ya usalama wa chanjo ya covid? Ongea kama mtu anayeshirikisha ubongo wakeA
Afu hapo ulipo una chanjo za tetenasi, pepopunda, tetekuwanga nk. Hikika tuliharibiwa kisaikolojia na yule mtu wenu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hicho ndio kigezo ya usalama wa chanjo ya covid? Ongea kama mtu anayeshirikisha ubongo wakeA
Afu hapo ulipo una chanjo za tetenasi, pepopunda, tetekuwanga nk. Hikika tuliharibiwa kisaikolojia na yule mtu wenu.
mbaya zaid tayari nchi jirani ya Malawi au Zambia kama sijakosea walisha ripoti kisa cha mlipuko
Ndio mkome kuwalisha watu sumu mkisingizia ati ni chanjo.Binafsi ni shahidi ..mwaka huu serikali ilizindua chanjo ya Polio kwa watoto chini ya miaka , serikali wali amua kuipeleka huduma hii mtaani kwa siku 4, aisee ilikuwa ni shida unakutana na mtu mzima mwanamama ana mtoto chini ya 5 lkn ana kataa mtoto wake kupewa chanjo ..aisee kuanzia pale nika amini ya kuwa maneno ni sikaha na ni sumu sanaa
Hata dawa za ukimwi ni sumu mbaya sana na hatari.Mnakataa chanjo ya uviko 19 mnakubali dawa zao za Ukimwi. Hizo ni propaganda tuu.
MBOWE ni wakala wa ibilisi akishirikiana na magenge ya ELITES nchini na nje ya nchi.Mkt alishauri LOCKDOWN, ni Ujinga kujifungia ukafa NJAA, kuliko Kufa na Corona ukitafutia watoto chakula.
Corona Iko wap sasa ktk Nchi yangu TANZANIA?
Asante Mungu Kwa zawadi ya Magufuli uliyotupa. Amen
Nyie ndio mang'ombe mliokuwa mnashangilia fumigation ya dawa za mende eti mjikinge na corona. Mazuzu kila kinachotokq kwa mzungu mnashangilia. Sasahivi analeta ushoga sasa anzeni kubinuaUnchosema ñi kweli, collateral damage ya kauli naaamuzi ya Magufuli ni mbaya sana na itakwenda vizazi na vizaz.
Yale magonjwa kama Polio na Ndui tuliyokuwa tumeyatokomeza miaka ya 197Os na 1990s yatarudi tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyie ndio mang'ombe mliokuwa mnashangilia fumigation ya dawa za mende eti mjikinge na corona. Mazuzu kila kinachotokq kwa mzungu mnashangilia. Sasahivi analeta ushoga sasa anzeni kubinua
Hizo takwimu za waliochanjwa zinakaribiana sana na idadi ya wananchi ambao ni werevu sana, werevu wa kawaida na baadhi ya wajinga ambao wanaweza kuelimishwa.Wewe ndiye mshamba usiyejielewa. Magu alikuwa anatoa reasons za kisayansi za kwa nini haziamini chanzo hizo.
Lakini elewa JPM aliaminiwa na waTz kwa asilimia kubwa sana. Na kwa kuaminika huko ndiyo maana unaona waliyochanjwa hadi sasa hawajafikia 20%
Alikuwa mshamba sana. Chanjo za surua, pepopunda, ndui n.k tumechanjwa hao wazungu walishindwa kuweka hizo sumu zao?
Madawa karibu yote tunaagiza nje, kwa nini wasiweke hizo sumu? Nguo pia?
vyakula, mfano ngano , mafuta, kumbe inatoka Ukraine, si wangeweka hizo sumu?
Ila ana wafuasi wengi waliomuamini,
AmenChanjo ni tatizo, waliochanja wote tegemea mabadiliko makubwa ya akili zao na mambo mengne.
Nilizika jamaa yangu aliechanja Kwa kufuata msimamo wa KISIASA wa mkt wa ufipa juu ya chanjo DAMU iliganda.
Ogopa sana CHANJO ambayo unaambiwa kbs litakalokupata Serikali hawahusiki Kwa madhara yoyote yatayosababishwa na dude Hilo.
CORONA ingeanza Wakt huu wa waramba asali chomoto tungekiona bt Mungu ni Mwema. Amen
Werevu wa kunywa machanjo yenye sumu yanayogandisha damu?Hizo takwimu za waliochanjwa zinakaribiana sana na idadi ya wananchi ambao ni werevu sana, werevu wa kawaida na baadhi ya wajinga ambao wanaweza kuelimishwa.
Mie nimechanja mara 2 na nilishaitwa ya 3 nimekataa. Mambo mingi nimepinga kuhusiana na JPM katika uhai wake, lakini hili la chanjo na covid-19 anaweza kuwa alikuwa juu ya mstari.Hayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Kila mchuma janga hula na wakwao.Hayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Kwani umeambiwa kuwa amekufa kama mwendazake?Tundu Lisu amechanjwa lakini yuko karantini kea uviko huo huo
[emoji1005] [emoji706]Hayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Huyu Mh.Waziri japo sio mtaalamu wa AFYA ana uelewa mkubwa kuliko hata naibu wake ambaye inasemekana ni daktari!!!???
Acha wafe...hii nchi ina wajinga wengi sana, wakipungua ni faida