mbatizaji kenzeva
Senior Member
- Aug 13, 2020
- 115
- 78
Magufuli nikiboko alipata mpaka wafuasi wazungu wakamuunga mkono hachanjwi mtu hapa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] yule mwamba yule alikuwa nusu mungu yule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa mshamba sana. Chanjo za surua, pepopunda, ndui n.k tumechanjwa hao wazungu walishindwa kuweka hizo sumu zao?
Madawa karibu yote tunaagiza nje, kwa nini wasiweke hizo sumu? Nguo pia?
vyakula, mfano ngano , mafuta, kumbe inatoka Ukraine, si wangeweka hizo sumu?
Ila ana wafuasi wengi waliomuamini,
Mkemia mpinga chanjoHayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
We jasusi uchwara vipi, umeshadungwa machanjo?Mtu kama Mathanzua kuachwa akieneza upotoshaji kuhusu chanjo hapa Jukwaani ni sehemu ya uhuru wa habari??! Sidhani.
Naam, umepita mule mule kwenye mistari ya propaganda za corona.Chanjo zinapunguza uwezekano wa kuugua ugonjwa mkali, kulazwa hospitali au ICU na kufa
Chizi sana ww ..una matatizo ya akili upeleke milembe sio ujifanye unajua kuwaropokea watu . Pichu wwHakuna cha mlipuko wala nini!
Kwenda zako ibilisi wewe!
Dada achana na matahira mkuu!Haishangazi watu wa aina hiyo kuwa na wafuasi wengi nchini, ukichukulia kuwa kuna mapumbavu milion 20 na mataahira karibia million 22.
Ni kipi ambacho kingefanya chanjo nyingine kuwa salama na za Corona zisiwe salama kwa mujibu wa Magufuli
Hahahhaha huyu kweli ni kibwengo in chief 😂😂😂Tumbili ni Hangaya na jopo lake la mapunguani wanaodalalia machanjo yenye sumu.
Ikiwemo weye, Kibwengo in Chief.
Ukimwi uko real mzee toka 198O huko unasumbua dunia nzimaMnakataa chanjo ya uviko 19 mnakubali dawa zao za Ukimwi. Hizo ni propaganda tuu.
Usiwe kama huna Qooma bana, Magufuli ametuacha vizuri kuliko huyu delilah aliyekuja kuvuruga utaratibu na kuturudisha miaka 8 nyuma.Ni uchumi upi ambao haukudidimia ?
Heheheee! Naona mmeanza tena!Hayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Kwani si wana uhuru wa kuamini watakacho? Unataka serikali iwaamulie mpaka wananchi namna ya kufikiri?Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Mzee Magufuli hakumwaga sumu yoyote. Watanzania sio wagonjwa wa akili, na serikali ya Rais Samia ina kazi ya kuwaletea maendeleo wananchi sio kuanza kugombana nao kwa vitu vya kijinga kama hivi.Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Credit kwako, una akili ya kufikiria!Acha wafe...hii nchi ina wajinga wengi sana, wakipungua ni faida
kwani wewe ni personal assistant wa mungu wako huyo feki?Jiwe hukumu yake itakuwa ni ya kwanza kwa watenda maovu mbele ya Mungu
Yaani unashindanan na marehemu na bado anakupiga mweleka! Kwa habari ya uongo wa corona na chanjo watanzania hatuwezi kudanganywa na yeyote! Walisema tutaokota miili barabarani haikutokea na haitatokea! Watanzania tuko salama sana mikononi mwa Mungu!Hayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Moja ya sifa ya kiongozi kukubalika na watu wake ni kuwaambia jiwe mkate na wakakubali mkate [emoji3][emoji3] ila ukiona kiongozi akisema mkate ni mkate na bado watu wakabaki Wana amini ni jiwe ....aisee uwazie Sana ushawishi wake Kuna big??????Hayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Afadhali yeye hukumu yake "itakuwa" (future tense), yule jamaa anayeshikishwa ukuta kule ubeberuni yeye amekwisha kuhukumiwa tayari. Siku akikata kamba ni kwenda motoni straight forward.Jiwe hukumu yake itakuwa ni ya kwanza kwa watenda maovu mbele ya Mungu