Nadhan hata na wewe unasubiri hukumu yako kwa Mungu Wala hutaikwepa..ngoja unyooke kwenye jeneza usubiri kifuatacho ITV...huko ahera...unless unapanga kuwa Mungu wa baadaePropaganda hizo. Israel karibu nchi nzima wamechanja uviko 19 mbona taifa lao halijaangamia?
C&pJiwe hukumu yake itakuwa ni ya kwanza kwa watenda maovu mbele ya Mungu
Na ndio Kazi yangu kuwakera Sukuma gang 👇
Na ndio Kazi yangu kuwakera Sukuma gang 👇
Kiukweli waliomwamini kwa 97% ni wanyonge wa nchii ambao wengi wao walikuwa na ukosefu wa elimu ,Alikuwa mshamba sana. Chanjo za surua, pepopunda, ndui n.k tumechanjwa hao wazungu walishindwa kuweka hizo sumu zao?
Madawa karibu yote tunaagiza nje, kwa nini wasiweke hizo sumu? Nguo pia?
vyakula, mfano ngano , mafuta, kumbe inatoka Ukraine, si wangeweka hizo sumu?
Ila ana wafuasi wengi waliomuamini,
Hayati Magufuli kwa ushamba wake na kukosa exposure alijikuta anachafua hali ya hewa kuhusu chanjo. Alikuwa na imani duni kuhusu masuala ya chanjo.
Hali hiyo imechangia sana wananchi wamekuwa wakipuuza chanjo kwa imani potofu. Wananchi wengi wanaamini chanjo ni mpango wa kibeberu kuwaangamiza waafrika.
Serikali ya mama ina kazi ya kufanya kuondoa sumu aliyotia Magufuli
Alikuwa mshamba sana. Chanjo za surua, pepopunda, ndui n.k tumechanjwa hao wazungu walishindwa kuweka hizo sumu zao?
Madawa karibu yote tunaagiza nje, kwa nini wasiweke hizo sumu? Nguo pia?
vyakula, mfano ngano , mafuta, kumbe inatoka Ukraine, si wangeweka hizo sumu?
Ila ana wafuasi wengi waliomuamini,
Kwahiyo wewe unaona nimeongea propaganda[emoji23][emoji23][emoji23]. Sasa sibora ukasome medicine basi ili uelewe nilichokisema. Chanjo hazikukamilika kwenye utengenezaji wake na watu hawakutaka kufanywa test subjects na side effects zipo nyingi bado nyingine hawajazitaja na usifikiri watazitaja. Chanjo zinaeffect kubwa kwenye damu, na usifikiri blood group varieties ni mtu mmoja ni wengi. Blood clotting ni kitu kibaya sana kwa watu wenye magonjwa ya moyo na kisukari na wenye matatizo ya damu na wapo wengi. Usiige siyo usanii ni afya za watu. Pia pata conclusive proof sio kuambiwa au kuona tu. Bado tunasafari ndefu, nasisitiza huu sio usanii ni afya ya mtu, ni uhai. Haujafa bado, ushajiuliza kwanini wakati covid 19 ni highly contagious, tuliza mihemuko ugonjwa usomwe na kupata better management na prevention. Kutangulia sio kufika.Propaganda hizo. Israel karibu nchi nzima wamechanja uviko 19 mbona taifa lao halijaangamia?
Hao jamaa huwa wanafikiri maana ya EXPOSURE ni KUABUDU MABEBERU.Usikariri kuwa exposure ni kuatamia mabeberu na kutembea nje ziara, you can have exposure by after being exposed na kujifunza na kusoma maarifa zaidi na zaidi
Unajua kwasababu zimekubaliwa kutumika pamoja na hizo consequences. Kwasababu the benefits outweigh the risks.
Hahaha..... wewe ulikuwa na vyeti feki.Ila kama taifa tulipitia kipindi kigumu sana kwenye utawala wa yule dhalimu. Nchi iweke misingi mizuri so mtu kama Jowe asije tokea tena
Wajinga duniani ni wengi kuliko werevu
Alikuwa punguani
Mkuu mimi nasema ukweli wa matendo ya Jiwe, sina bifu na marehemu kwani haliwezi nisaidia kitu chochote. Hilo la kusema vyeti feki ni hisia zako tu. Mtu mwenye vyeti feki ungeanza na Jiwe mwenyewe kwenye ile PhD yake ambapo kwenye kuficha ukweli Ben Saa nane hatunaye.Hahaha..... wewe ulikuwa na vyeti feki.
Hilo ni bifu lako binafsi na Magufuli.
Usituingize kwenye bifu lenu.
Kwenye corona ni baba lao. VIVA JPM.
Sawa, lakini kwenye corona JPM ni BABA LAO.Mkuu mimi nasema ukweli wa matendo ya Jiwe, sina bifu na marehemu kwani haliwezi nisaidia kitu chochote. Hilo la kusema vyeti feki ni hisia zako tu. Mtu mwenye vyeti feki ungeanza na Jiwe mwenyewe kwenye ile PhD yake ambapo kwenye kuficha ukweli Ben Saa nane hatunaye.
Wewe hizo autoimmune diseases umeziona wapi naniambie zinaletwa na ARV gani? Pili, unajua neural damage inatokeaje na kwanini inabenefit maana neural damage kwamgonjwa wa HIV mpaka akifika stage iv nilazima aipate bila dawa au pasipo dawa. Wewe umeambiwa hizo dawa zinatibu ukimwi au zinapunguza makali yake nakuongeza muda wa kuishi. Wewe ukisikia dawa fulani inaleta neural damage unafikiri inachukua muda gani au unajua ukichukua leo kesho tu neural damage inatokea. ARV hazitibu ukimwi bali kupunguza makali yake, unaelewa maana ya hiyo sentensi? Pia wewe ni mtu mzima matusi ya nini, dah! Watanzania kweli tunakariri maisha.Ona huyu chizi wa machanjo!
Ati THE BENEFIT OUTWEIGHS THE RISK!!
Hiyo benefit ya chanjo ni pamoja na kupata PERIPHERAL NEURAL DAMAGE na AUTO IMMUNE DISEASE?
Is that what you call benefit? HEART DISEASE?
Sina comment kwenye hiyo ishu ya Corona, maana 'Inasemekana' huo ugonjwa ndiyo ulipita na yeye baada ya yeye kuamini ushirikina badala ya scienceSawa, lakini kwenye corona JPM ni BABA LAO.
Hayo ya vyeti feki mtamalizana nae mbinguni kwa baba.
Wewe hizo autoimmune diseases umeziona wapi naniambie zinaletwa na ARV gani?
unajua neural damage inatokeaje
hizo dawa zinatibu ukimwi au zinapunguza makali yake nakuongeza muda wa kuishi.