Nadhan hata na wewe unasubiri hukumu yako kwa Mungu Wala hutaikwepa..ngoja unyooke kwenye jeneza usubiri kifuatacho ITV...huko ahera...unless unapanga kuwa Mungu wa baadaePropaganda hizo. Israel karibu nchi nzima wamechanja uviko 19 mbona taifa lao halijaangamia?
C&pJiwe hukumu yake itakuwa ni ya kwanza kwa watenda maovu mbele ya Mungu
Kama ni kuwazuia watu wasife na corona sioni tofauti kati ya wale waliochanjwa na wasiochanjwa.
Vinginevyo ni mitego tu ya kibeberu kutengeneza fursa ya kujitengenezea utajiri kwa mgongo wa raia wa dunia hii.
Clueless