Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
Bado ni yaleyale tu!
Tatizo ni CCM wala sio Magufuli
Tatizo ni CCM wala sio Magufuli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu analipenda sana Taifa letu kutuondolea huyu dhalimNdiyo maana Mungu wetu mwenye nguvu alimnyakua na kumpoteza pale 17/ 03/ 21.
Ajabu ni hawa watu wake wanaodai eti alikuwa anakubalika? Hivi kweli kama unakubalika una haja gani ya ku SPY?
Wanadai JPM alikuwa anakubalika!! Mimi nawauliza swali; Kama alikuwa anakubalika kwa nini aliiba Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Vitongoji wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wa 2020?
Huu ugonjwa wa uzuzu omba kila siku ukapone. Hakuna namna unaweza kusemwa mazuri usisemwe mabaya. Basi hata hakuna maana ya historia. Mbona ukisikia ya Hitler na Musolin hushtuki wamesemwa vibaya? Hata waarab wa utumwa hushtuki! Magufuri kama alipuyanga na roho ya kishetan kutengeneza terror ndo asisemwe ana exception gani?Marehemu hasemwi, achana na mabaya yake then endeleza mazuri yake📌
He was a beast,let him perish in eternal hell.Don't Hate the Best
Ungeandika Kiswahili tu ingependeza zaidi,hiki kidhungu cha fb kinatia kichefuchefuHe had stolen what ? Pls don't tell me about 1.5T because you failed to prove about it since he was alive.
The man left a legacy wether you like or not.
Nonsense.Habari Wana jukwaa,
JPM alitufanya Taifa la watu waoga,kila mtu alijihami sana , ukiongea kwenye daladala ya mbezi temeke, unakamatwa,
Ukiwa kwenye vijiwe unashikwa,
Ukipost chochote against bwana yule umekwenda na maji
Hata hapa JF ilifikia kipindi watu wanatishiana maisha kabisa na kupotezwa mfano, Ben saanane.
Ni wakati ambao pia Sabaya alikamatwa na Id ya tiss na kesi kufutwa,
Sasa tunapumua!
You were a Magufuli bootlicker by then now you are worshipping the late dictator. Shame on youStupid
Unaishia kusema nonsense bila kuweka hoja, huu ni UPUMBAVUNonsense.
Unaingila yasiyo kuhusu mkuu, nimeomba jibu toka kwa mhusika (ambaye sio wewe)📌
Habari Wana jukwaa,
JPM alitufanya Taifa la watu waoga,kila mtu alijihami sana , ukiongea kwenye daladala ya mbezi temeke, unakamatwa,
Ukiwa kwenye vijiwe unashikwa,
Ukipost chochote against bwana yule umekwenda na maji
Hata hapa JF ilifikia kipindi watu wanatishiana maisha kabisa na kupotezwa mfano, Ben
Asante sana kiongoz, kuongoza watu ni shida hii kauli mwendazake hakuacha kuzungumzaTanzania haiwezi endelea kwa kuoneana aibu na kumbelezana tutaendelea kuumia na tunaoumia ni wengi wa maisha ya chini ,hakuna taifa limeendelea kwa njia tunayopita sisi hata nchi za magharibi ziliendelea wakati huo kwa kuchapana mitered leo wapo walipo ,nchi nyingi za Asia kama China, South Korea, Singapore na nyinginezo hivyi karibu zimeendelea kwa kufanya kazi kutoneana aibu leo wapo mbali.rais Magufuli alijaribu kuleta mentality hii ila watu wezi na wabinafsi walitaka waendelee wao na familia zao walimchukia .
Habari Wana jukwaa,
JPM alitufanya Taifa la watu waoga,kila mtu alijihami sana , ukiongea kwenye daladala ya mbezi temeke, unakamatwa,
Ukiwa kwenye vijiwe unashikwa,
Ukipost chochote against bwana yule umekwenda na maji
Hata hapa JF ilifikia kipindi watu wanatishiana maisha kabisa na kupotezwa mfano, Ben saanane.
Ni wakati ambao pia Sabaya alikamatwa na Id ya tiss na kesi kufutwa,
Sasa tunapumua!
Professor Assad proved it .who are you by the way.the guy was a typical thieve.we were so unfortunately to have a leader like him the guy was was totally uselessHe had stolen what ? Pls don't tell me about 1.5T because you failed to prove about it since he was alive.
The man left a legacy wether you like or not.
Maisha ya mtu ni (Kama) kitabu. Baada ya muda wako wa kuwa hai hapa duniani watu watasimulia, watatathmini, watatangaza mambo yote uliyofanya ukiwa hai.Utapata faida gani kwa kumsema? Na je unaamini wewe ukifa leo kila mtu atakusema vizuri? (Naomba jibu)
Kwa kweli Mungu ni fundi.Habari Wana jukwaa,
JPM alitufanya Taifa la watu waoga,kila mtu alijihami sana , ukiongea kwenye daladala ya mbezi temeke, unakamatwa,
Ukiwa kwenye vijiwe unashikwa,
Ukipost chochote against bwana yule umekwenda na maji
Hata hapa JF ilifikia kipindi watu wanatishiana maisha kabisa na kupotezwa mfano, Ben saanane.
Ni wakati ambao pia Sabaya alikamatwa na Id ya tiss na kesi kufutwa,
Sasa tunapumua!
Hata hapa JF ilifikia kipindi watu wanatishiana maisha kabisa na kupotezwa mfano, Ben saanane.
Magufuli aliwafanya watanzania watambue thamani yao. Na kuacha kujikomba komba kwa mataifa ya kimagharibiHabari Wana jukwaa,
JPM alitufanya Taifa la watu waoga,kila mtu alijihami sana , ukiongea kwenye daladala ya mbezi temeke, unakamatwa,
Ukiwa kwenye vijiwe unashikwa,
Ukipost chochote against bwana yule umekwenda na maji
Hata hapa JF ilifikia kipindi watu wanatishiana maisha kabisa na kupotezwa mfano, Ben saanane.
Ni wakati ambao pia Sabaya alikamatwa na Id ya tiss na kesi kufutwa,
Sasa tunapumua!
Which century ?Dictator of the century
Swali lako hakina tija, ukishaelewa kwamba binadamu akitaka kukusema atakusema tu, uwe hai au umekufa , uwe mwema au uwe mwovu, kusemwa kupo palepale, so stop stressing yourslef over useless stuff.Utapata faida gani kwa kumsema? Na je unaamini wewe ukifa leo kila mtu atakusema vizuri? (Naomba jibu)