Ulipigwa na matapeli punguza chuki!!!Nenda kwanza wewe. Ukirudi chato namm nitaenda.
Shetani wenu alishaondoka mlitesa na kuua sana watu kwa kisingizio cha uzalendo
Unaweza kuthibitisha kuwa Beni Saanane kupotezwa na System ya Magufuli?Habari Wana jukwaa,
JPM alitufanya Taifa la watu waoga,kila mtu alijihami sana , ukiongea kwenye daladala ya mbezi temeke, unakamatwa,
Ukiwa kwenye vijiwe unashikwa,
Ukipost chochote against bwana yule umekwenda na maji
Hata hapa JF ilifikia kipindi watu wanatishiana maisha kabisa na kupotezwa mfano, Ben saanane.
Ni wakati ambao pia Sabaya alikamatwa na Id ya tiss na kesi kufutwa,
Sasa tunapumua!
Wwe ndiyo umesanuka Safi sana!!!Bado ni yaleyale tu!
Tatizo ni CCM wala sio Magufuli
Kwa hiyo hata hao wanao kufa ndani ya ukoo wako nao ni madhalimu Mungu kawaondolea kwenye ukoo wenu na kuwabakisha nyinyi Sasa ambao mtaishi daima hapa Duniani!!??Mungu analipenda sana Taifa letu kutuondolea huyu dhalim
Mungu ni mwema huwaokoa watu wake kila wamliliapo.Habari Wana jukwaa,
JPM alitufanya Taifa la watu waoga,kila mtu alijihami sana , ukiongea kwenye daladala ya mbezi temeke, unakamatwa,
Ukiwa kwenye vijiwe unashikwa,
Ukipost chochote against bwana yule umekwenda na maji
Hata hapa JF ilifikia kipindi watu wanatishiana maisha kabisa na kupotezwa mfano, Ben saanane.
Ni wakati ambao pia Sabaya alikamatwa na Id ya tiss na kesi kufutwa,
Sasa tunapumua!
Hakuwa na mazuri.Marehemu hasemwi, achana na mabaya yake then endeleza mazuri yake📌
Yule alikuwa ni shetani mkubwaHabari Wana jukwaa,
JPM alitufanya Taifa la watu waoga,kila mtu alijihami sana , ukiongea kwenye daladala ya mbezi temeke, unakamatwa,
Ukiwa kwenye vijiwe unashikwa,
Ukipost chochote against bwana yule umekwenda na maji
Hata hapa JF ilifikia kipindi watu wanatishiana maisha kabisa na kupotezwa mfano, Ben saanane.
Ni wakati ambao pia Sabaya alikamatwa na Id ya tiss na kesi kufutwa,
Sasa tunapumua!
Alishawahi kuweza nani toka hapo ccm?Nchi imewashinda mnaturudisha nyuma kila siku ili tusijadili madudu yenu mnayofanya sasa.
Haya majamaa kila siku na stori za Magufuli tu sasa sijui hayana kazi za kufanya kwenye hayo maofisi wanayoyakalia??Alishawahi kuweza nani toka hapo ccm?
Inashangaza sanaHaya majamaa kila siku na stori za Magufuli tu sasa sijui hayana kazi za kufanya kwenye hayo maofisi wanayoyakalia??
Matatizo ya wananchi yapo mengi wanashindwa kuyatatua wanaishia kutuletea hadithi za Magufuli ambaye hayupo tena.
Kama hawawezi kazi waache sio lazima wawe viongozi wetu.
na bado mnaumia kweli kweli hata kwa kusema.Stop that nonsense, he killed our beloved ones. Tutalisema mpàka Basi!
na wapuuzi kama baba yako wabaki wanasema kila siku.Mabaya yake yanasemwa ili wapumbavu kama yeye wajifunze.
katikati pazuri in jiwez voice au nasema uongooo ndugu zanguuuAendelee Kupumzika kwa Amani
Hatumsemi vibaya kwa sababu tunamchukia au ni wavivu wa kufikiri kama unavyotuona wewe la hasha,bali matendo yake aliyoyatenda kwa baadhi ya Watanzania ambayo hayakuwa ya kibinadamu kupelekea baadhi ya watu kufurahia kifo chake na kutotaka kulisikia jina lake kitu ambacho hakiwezakani kabisa,kwa hiyo kama kuna mtu ana maono na mtazamo wa Magufuri ajue kuwa yale matendo ni jinai kwa mujibu wa sheria za Tanzania.na wapuuzi kama baba yako wabaki wanasema kila siku.
unachukia matendo ya mtu halafu unamwita mpumbavu!!!unajua majina ya dhihaka kwa aliyekuudhi yanaambatana na hasira dhidi yake???Hatumsemi vibaya kwa sababu tunamchukia au ni wavivu wa kufikiri kama unavyotuona wewe la hasha,bali matendo yake aliyoyatenda kwa baadhi ya Watanzania ambayo hayakuwa ya kibinadamu kupelekea baadhi ya watu kufurahia kifo chake na kutotaka kulisikia jina lake kitu ambacho hakiwezakani kabisa,kwa hiyo kama kuna mtu ana maono na mtazamo wa Magufuri ajue kuwa yale matendo ni jinai kwa mujibu wa sheria za Tanzania.
Kwani ni uongo???Yule hakuwa mpumbavu eti!Ameikuta Tanzania ikiwa nchi huru yeye akaiweka katika utumwa wa muda,unafikiri huo siyo mpumbavu??Au na wewe ni mpumbavu kama yeye,hivi watu wengine huwa mnafikiria kutumia makalio au?? Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2019 ulikuwa halali eti,uchaguzi 2020 ulikuwa halali eti,wale wabunge 19 kule bungeni ni halali eti,Acha upumbavu bora ujinga kuliko kuwa mpumbavu.unachukia matendo ya mtu halafu unamwita mpumbavu!!!unajua majina ya dhihaka kwa aliyekuudhi yanaambatana na hasira dhidi yake???
kama mapimbi kama wewe mlifurahia kifo chake kuna mamilioni ya watanazania waliumizwa na kifo chake,usithubutu kufungua valve yako mtaani umtukane utazomewa ukajinyonge.