mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
wee mbwa unawaza uchaguzi tu,ulikosa ubunge nini???Kwani ni uongo???Yule hakuwa mpumbavu eti!Ameikuta Tanzania ikiwa nchi huru yeye akaiweka katika utumwa wa muda,unafikiri huo siyo mpumbavu??Au na wewe ni mpumbavu kama yeye,hivi watu wengine huwa mnafikiria kutumia makalio au?? Uchaguzi wa Serikali za mitaa 2019 ulikuwa halali eti,uchaguzi 2020 ulikuwa halali eti,wale wabunge 19 kule bungeni ni halali eti,Acha upumbavu bora ujinga kuliko kuwa mpumbavu.
mimi nadhani naongea na mtu timamu hapa kumbe naongea na mhanga wa posho za vikao.