Hayati Magufuli alituhubiria kwamba Tanzania ni ya masikini na wanyonge,lakini alishuhudia Makonda, Sabaya wakipata ubilionea kupitia Utumishi wa umma

Hayati Magufuli alituhubiria kwamba Tanzania ni ya masikini na wanyonge,lakini alishuhudia Makonda, Sabaya wakipata ubilionea kupitia Utumishi wa umma

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Wanasiasa usiwaamini

Sisi tukishangilia hotuba za JPM zilizoutukuza umasikini wetu, na kwa kweli watanzania wengi tuliona fahari kubwa sana kuwa masikini na kuwa wanyonge. Mtu yeyote aliyejifanya kutafuta utajiri tulifanya hima kimchongea Kila mahala, na kama ana shamba, basi tulilivamia, na tukampachika majina yote mabaya.

Kumbe upenuni tu Kuna vijana wake walitopea kwenye utajiri wa kutisha kabisa, Sasa kwa nini alituhadaa tuutukuze umasikini wakati vijana wake aliwapa fursa ya kutajirika?

Maana mtu masikini ndiye alionekana mzalendo, Sasa hawa inakuwaje wanatajirika wakati wanatuimbia kwamba umasikini ndio uzalendo?
 
Si vizuri kwa walio hai kujadili marehemu...
Lakini itoshe kusema JPM aliazimia kutengeneza matajiri wapya kwa njia zisizo rasmi. Huku akiwadidimiza aliowakuta!!
Machoni alikuwa mtu na wajinga hawakujua hila zake!!
 
Wanasiasa usiwaamini

Sisi tukishangilia hotuba za JPM zilizoutukuza umasikini wetu, na kwa kweli watanzania wengi tuliona fahari kubwa sana kuwa masikini na kuwa wanyonge. Mtu yeyote aliyejifanya kutafuta utajiri tulifanya hima kimchongea Kila mahala, na kama ana shamba, basi tulilivamia, na tukampachika majina yote mabaya.

Kumbe upenuni tu Kuna vijana wake walitopea kwenye utajiri wa kutisha kabisa, Sasa kwa nini alituhadaa tuutukuze umasikini wakati vijana wake aliwapa fursa ya kutajirika?

Maana mtu masikini ndiye alionekana mzalendo, Sasa hawa inakuwaje wanatajirika wakati wanatuimbia kwamba umasikini ndio uzalendo?
Tena sio wawili tu, wanajulikana kama sukuma gang, wametamba sana wakati wake.
 
Pale tulipigwa na niliwahi kuandika kua kutuita wanyonge ilikua dhihaka kubwa yapo mengi ndugu na jamaa zake walinufaika na kupata ubilionea wa ghafla sana huku tukiwashangilia unadhani makonda kusema anakula raha kuliko mtu yeyote duniani alikosea?
 
ItWanasiasa usiwaamini

Sisi tukishangilia hotuba za JPM zilizoutukuza umasikini wetu, na kwa kweli watanzania wengi tuliona fahari kubwa sana kuwa masikini na kuwa wanyonge. Mtu yeyote aliyejifanya kutafuta utajiri tulifanya hima kimchongea Kila mahala, na kama ana shamba, basi tulilivamia, na tukampachika majina yote mabaya.

Kumbe upenuni tu Kuna vijana wake walitopea kwenye utajiri wa kutisha kabisa, Sasa kwa nini alituhadaa tuutukuze umasikini wakati vijana wake aliwapa fursa ya kutajirika?

Maana mtu masikini ndiye alionekana mzalendo, Sasa hawa inakuwaje wanatajirika wakati wanatuimbia kwamba umasikini ndio uzalendo?
Ile changa tu. Watu wameiba sana wakiwemo hao uliowataja. Wengine walikua wanapora kwa kisingizio cha kukusanya kodi na kutumwa na mamlaka. Siku akija mtu wa kufukua makaburi hamtakaa muanini. Hivi unakumbuka ile 1.5T? Uliza ilipotelea vote gani.
 
Wanasiasa usiwaamini

Sisi tukishangilia hotuba za JPM zilizoutukuza umasikini wetu, na kwa kweli watanzania wengi tuliona fahari kubwa sana kuwa masikini na kuwa wanyonge. Mtu yeyote aliyejifanya kutafuta utajiri tulifanya hima kimchongea Kila mahala, na kama ana shamba, basi tulilivamia, na tukampachika majina yote mabaya.

Kumbe upenuni tu Kuna vijana wake walitopea kwenye utajiri wa kutisha kabisa, Sasa kwa nini alituhadaa tuutukuze umasikini wakati vijana wake aliwapa fursa ya kutajirika?

Maana mtu masikini ndiye alionekana mzalendo, Sasa hawa inakuwaje wanatajirika wakati wanatuimbia kwamba umasikini ndio uzalendo?
Wanatuita wanyonge kumbe wao ndio wanatunyonga.
 
Huyo alikuwa mzee wa fix tu
Wanasiasa usiwaamini

Sisi tukishangilia hotuba za JPM zilizoutukuza umasikini wetu, na kwa kweli watanzania wengi tuliona fahari kubwa sana kuwa masikini na kuwa wanyonge. Mtu yeyote aliyejifanya kutafuta utajiri tulifanya hima kimchongea Kila mahala, na kama ana shamba, basi tulilivamia, na tukampachika majina yote mabaya.

Kumbe upenuni tu Kuna vijana wake walitopea kwenye utajiri wa kutisha kabisa, Sasa kwa nini alituhadaa tuutukuze umasikini wakati vijana wake aliwapa fursa ya kutajirika?

Maana mtu masikini ndiye alionekana mzalendo, Sasa hawa inakuwaje wanatajirika wakati wanatuimbia kwamba umasikini ndio uzalendo?
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Wanasiasa usiwaamini

Sisi tukishangilia hotuba za JPM zilizoutukuza umasikini wetu, na kwa kweli watanzania wengi tuliona fahari kubwa sana kuwa masikini na kuwa wanyonge. Mtu yeyote aliyejifanya kutafuta utajiri tulifanya hima kimchongea Kila mahala, na kama ana shamba, basi tulilivamia, na tukampachika majina yote mabaya.

Kumbe upenuni tu Kuna vijana wake walitopea kwenye utajiri wa kutisha kabisa, Sasa kwa nini alituhadaa tuutukuze umasikini wakati vijana wake aliwapa fursa ya kutajirika?

Maana mtu masikini ndiye alionekana mzalendo, Sasa hawa inakuwaje wanatajirika wakati wanatuimbia kwamba umasikini ndio uzalendo?
Walioamini huo ujinga ni wachache na masikini/Wanyonge
 
Pale tulipigwa na niliwahi kuandika kua kutuita wanyonge ilikua dhihaka kubwa yapo mengi ndugu na jamaa zake walinufaika na kupata ubilionea wa ghafla sana huku tukiwashangilia unadhani makonda kusema anakula raha kuliko mtu yeyote duniani alikosea?
Dotto James kaotesha maghorofa mengi pale chato
 
Back
Top Bottom