Serikalini yenyewe ilipuuza ishu yake. Kidgo hata mama asiende, wew unawaza status mpaka unazima. Wewe ni Member kwenye kundi alilotoka Jiwe mana si akili hiziNdio naamka saivi baada ya kupigwa na kitu kizito kichwani kwa mfuriko wa status za jana zinazomkumbuka JPM. Kumbe status zina expire 24 hours [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ngoja nikanywe chai sasa.
Katika Statistics, kama watu wawili ni bilionea kati ya watu milioni sitini na watu 5999999 ni masikini kati ya milioni sitini - basi nchi nzima utasema ni ya masikini na wanyonge! The guy was a stastician.Wanasiasa usiwaamini
Sisi tukishangilia hotuba za JPM zilizoutukuza umasikini wetu, na kwa kweli watanzania wengi tuliona fahari kubwa sana kuwa masikini na kuwa wanyonge. Mtu yeyote aliyejifanya kutafuta utajiri tulifanya hima kimchongea Kila mahala, na kama ana shamba, basi tulilivamia, na tukampachika majina yote mabaya.
Kumbe upenuni tu Kuna vijana wake walitopea kwenye utajiri wa kutisha kabisa, Sasa kwa nini alituhadaa tuutukuze umasikini wakati vijana wake aliwapa fursa ya kutajirika?
Maana mtu masikini ndiye alionekana mzalendo, Sasa hawa inakuwaje wanatajirika wakati wanatuimbia kwamba umasikini ndio uzalendo?
Tumepigwa sanaTena sio wawili tu, wanajulikana kama sukuma gang, wametamba sana wakati wake.
Halafu Kuna wajinga walikuwa wameanza kampeni lile zimwi litawale milele Kama MsevenYule mzushi MUNGU aliona isiwe taabu....
Halafu kuna watu wanashangaa kwa nini Zumaridi ana wafuasi🤣🤣🤣Zee lilijaa utapeli lile, Ila wafuasi wake wanaliona Kama malaika, hawana utofauti Kama wale was mfalme Zumaridi
Kununua wapinzani kuunga juhudi,polepole anajua iliko 1.5.Ile changa tu. Watu wameiba sana wakiwemo hao uliowataja. Wengine walikua wanapora kwa kisingizio cha kukusanya kodi na kutumwa na mamlaka. Siku akija mtu wa kufukua makaburi hamtakaa muanini. Hivi unakumbuka ile 1.5T? Uliza ilipotelea vote gani.
Them statics were wrong too!Katika Statistics, kama watu wawili ni bilionea kati ya watu milioni sitini na watu 5999999 ni masikini kati ya milioni sitini - basi nchi nzima utasema ni ya masikini na wanyonge! The guy was a stastician.
Wewe uliyekuja kukaa mileleYule mzushi MUNGU aliona isiwe taabu....
Lilikuwa linasifiwa na Mawaziri wa awanu ya tano nalenyewe linakenua linasubili zamu yake ifike kuhutubia limwage pumba. Yule Msigwa alikuwa aneshalielewa sana kuwa linapenda sifa. Limeharibu demokrasia ya nchi hadi nchi ikawa haikopesheki mikopo nafuu. Huku likituhadaa miradi mikubwa inajengwa kwa fedha ya ndani kumbe linakopa mikopo ya riba ya kibiashara,halafu kina Kabudi wanatoa mimacho tu kutwa kucha kulisifia.Zee lilijaa utapeli lile, Ila wafuasi wake wanaliona Kama malaika, hawana utofauti Kama wale was mfalme Zumaridi
Lakini walishindwa kumuuliza ametumia mechanisms zipi hadi akapata jawabu la idadi ya samaki ziwani.Them statics were wrong too!
wakati akiwa waziri wa uvuvi alikuwa anakuja na idadi ya samaki ziwani ,na watu walimuamini!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ndio naamka saivi baada ya kupigwa na kitu kizito kichwani kwa mfuriko wa status za jana zinazomkumbuka JPM. Kumbe status zina expire 24 hours [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ngoja nikanywe chai sasa.
[emoji15][emoji15][emoji15] Siamini macho yangu ... !!!Tena sio wawili tu, wanajulikana kama sukuma gang, wametamba sana wakati wake.
Hapo ni unafiki na uongo mkubwa wa mwendazake, yeye na waliokuwa wanamzunguka walikuwa wanakula nchiKwa mara ya kwanza leo chinembe ameuona kwa macho yake unafiki wa chama chake.
Swadakta[emoji2936][emoji2935]Si vizuri kwa walio hai kujadili marehemu...
Lakini itoshe kusema JPM aliazimia kutengeneza matajiri wapya kwa njia zisizo rasmi. Huku akiwadidimiza aliowakuta!!
Machoni alikuwa mtu na wajinga hawakujua hila zake!!
Usimfananishe mtu wamungu zumaridi nalile jombaa zumaridi nawafuasi wake wote wanahaki yakuabudu wanachokiamini Kama walivyo wakristo Islam nadini nyingine naomba wapewe heshima sawa nahawa wamajahaziZee lilijaa utapeli lile, Ila wafuasi wake wanaliona Kama malaika, hawana utofauti Kama wale was mfalme Zumaridi