Hayati Magufuli aliupa kiki na umaarufu upinzani nchini lakini Samia amewanyamazisha kabisa!!

Hayati Magufuli aliupa kiki na umaarufu upinzani nchini lakini Samia amewanyamazisha kabisa!!

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Inavyoonekana siasa ni mchezo mgumu sana kuusoma na kuucheza, vitu vingi kwenye siasa vinategemea probability.

Kipindi cha hayati wapinzani walitumia ukandamizaji uliokuwepo kuomba sympathe ya dunia na kusema kweli dunia nzima ilisimama pamoja nao.

Kipindi cha huyu mama wapinzani wameachiwa free kabisa kufanya siasa, hakuna bughudha za wakuu wa wilaya mikoa wala figisu za polisi.

Jambo hilo limesababisha siasa za upinzani kupooza sana kwani hakuna tena jambo linalovuta hisia za watu kujaribu kuufuatilia upinzani.

Jambo lingine pia ni namna Rais binafsi anavyoonyesha kuwajali sana wapinzani, si tu kisiasa lakini pia kiubinadam.
Hali hiyo inafanya watu waone kwmba wapinzani wamefadhiliwa sana na huyu Rais kwa kiwanho cha kuyameza madai yao yote. Ni mfano wa mtu anaemtuhumu mtu kwamba ni mwizi halafu badae tunaku tunakuta mko mezani mnapanga mipango pamoja.

Nashauri wapinzani watafute njia nyingine ya kutuvutia tuwasikilize tuwaelewe na tuwaamini wasijigeuze kitahisi kuwa mateka wa mwenyekiti wa ccm.
 
Inavyoonekana siasa ni mchezo mgumu sana kuusoma na kuucheza, vitu vingi kwenye siasa vinategemea probability.

Kipindi cha hayati wapinzani walitumia ukandamizaji uliokuwepo kuomba sympathe ya dunia na kusema kweli dunia nzima ilisimama pamoja nao.

Kipindi cha huyu mama wapinzani wameachiwa free kabisa kufanya siasa, hakuna bughudha za wakuu wa wilaya mikoa wala figisu za polisi.

Jambo hilo limesababisha siasa za upinzani kupooza sana kwani hakuna tena jambo linalovuta hisia za watu kujaribu kuufuatilia upinzani.

Jambo lingine pia ni namna Rais binafsi anavyoonyesha kuwajali sana wapinzani, si tu kisiasa lakini pia kiubinadam.
Hali hiyo inafanya watu waone kwmba wapinzani wamefadhiliwa sana na huyu Rais kwa kiwanho cha kuyameza madai yao yote. Ni mfano wa mtu anaemtuhumu mtu kwamba ni mwizi halafu badae tunaku tunakuta mko mezani mnapanga mipango pamoja.

Nashauri wapinzani watafute njia nyingine ya kutuvutia tuwasikilize tuwaelewe na tuwaamini wasijigeuze kitahisi kuwa mateka wa mwenyekiti wa ccm.
Kwa hiyo wewe unasemaje,kwani inaonekana hujaridhika na uhuru ,haki na maendeleo yanayo onekana leo.Ama una tuficha nini funguka tukusome tuende sawa.
 
Ila kuwa mshabiki wa ccm sijui huwa kuna shida gani. Alafu jamaa unajiita filosofa!

Hapa umeandika nini hivi?
 
Inavyoonekana siasa ni mchezo mgumu sana kuusoma na kuucheza, vitu vingi kwenye siasa vinategemea probability.

Kipindi cha hayati wapinzani walitumia ukandamizaji uliokuwepo kuomba sympathe ya dunia na kusema kweli dunia nzima ilisimama pamoja nao.

Kipindi cha huyu mama wapinzani wameachiwa free kabisa kufanya siasa, hakuna bughudha za wakuu wa wilaya mikoa wala figisu za polisi.

Jambo hilo limesababisha siasa za upinzani kupooza sana kwani hakuna tena jambo linalovuta hisia za watu kujaribu kuufuatilia upinzani.

Jambo lingine pia ni namna Rais binafsi anavyoonyesha kuwajali sana wapinzani, si tu kisiasa lakini pia kiubinadam.
Hali hiyo inafanya watu waone kwmba wapinzani wamefadhiliwa sana na huyu Rais kwa kiwanho cha kuyameza madai yao yote. Ni mfano wa mtu anaemtuhumu mtu kwamba ni mwizi halafu badae tunaku tunakuta mko mezani mnapanga mipango pamoja.

Nashauri wapinzani watafute njia nyingine ya kutuvutia tuwasikilize tuwaelewe na tuwaamini wasijigeuze kitahisi kuwa mateka wa mwenyekiti wa ccm.
Risasi ya akwilina,ilikata kona.ndo akili zenu zilipogota hapo
 
Inavyoonekana siasa ni mchezo mgumu sana kuusoma na kuucheza, vitu vingi kwenye siasa vinategemea probability.

Kipindi cha hayati wapinzani walitumia ukandamizaji uliokuwepo kuomba sympathe ya dunia na kusema kweli dunia nzima ilisimama pamoja nao.

Kipindi cha huyu mama wapinzani wameachiwa free kabisa kufanya siasa, hakuna bughudha za wakuu wa wilaya mikoa wala figisu za polisi.

Jambo hilo limesababisha siasa za upinzani kupooza sana kwani hakuna tena jambo linalovuta hisia za watu kujaribu kuufuatilia upinzani.

Jambo lingine pia ni namna Rais binafsi anavyoonyesha kuwajali sana wapinzani, si tu kisiasa lakini pia kiubinadam.
Hali hiyo inafanya watu waone kwmba wapinzani wamefadhiliwa sana na huyu Rais kwa kiwanho cha kuyameza madai yao yote. Ni mfano wa mtu anaemtuhumu mtu kwamba ni mwizi halafu badae tunaku tunakuta mko mezani mnapanga mipango pamoja.

Nashauri wapinzani watafute njia nyingine ya kutuvutia tuwasikilize tuwaelewe na tuwaamini wasijigeuze kitahisi kuwa mateka wa mwenyekiti wa ccm.
Kwani haukufa tena 2020?
 
Inavyoonekana siasa ni mchezo mgumu sana kuusoma na kuucheza, vitu vingi kwenye siasa vinategemea probability.

Kipindi cha hayati wapinzani walitumia ukandamizaji uliokuwepo kuomba sympathe ya dunia na kusema kweli dunia nzima ilisimama pamoja nao.

Kipindi cha huyu mama wapinzani wameachiwa free kabisa kufanya siasa, hakuna bughudha za wakuu wa wilaya mikoa wala figisu za polisi.

Jambo hilo limesababisha siasa za upinzani kupooza sana kwani hakuna tena jambo linalovuta hisia za watu kujaribu kuufuatilia upinzani.

Jambo lingine pia ni namna Rais binafsi anavyoonyesha kuwajali sana wapinzani, si tu kisiasa lakini pia kiubinadam.
Hali hiyo inafanya watu waone kwmba wapinzani wamefadhiliwa sana na huyu Rais kwa kiwanho cha kuyameza madai yao yote. Ni mfano wa mtu anaemtuhumu mtu kwamba ni mwizi halafu badae tunaku tunakuta mko mezani mnapanga mipango pamoja.

Nashauri wapinzani watafute njia nyingine ya kutuvutia tuwasikilize tuwaelewe na tuwaamini wasijigeuze kitahisi kuwa mateka wa mwenyekiti wa ccm.
Njia gani unayoshauri?
 
Alishasema watendaji msitumie nguvu bali tumieni busara na akili...
 
Inavyoonekana siasa ni mchezo mgumu sana kuusoma na kuucheza, vitu vingi kwenye siasa vinategemea probability.

Kipindi cha hayati wapinzani walitumia ukandamizaji uliokuwepo kuomba sympathe ya dunia na kusema kweli dunia nzima ilisimama pamoja nao.

Kipindi cha huyu mama wapinzani wameachiwa free kabisa kufanya siasa, hakuna bughudha za wakuu wa wilaya mikoa wala figisu za polisi.

Jambo hilo limesababisha siasa za upinzani kupooza sana kwani hakuna tena jambo linalovuta hisia za watu kujaribu kuufuatilia upinzani.

Jambo lingine pia ni namna Rais binafsi anavyoonyesha kuwajali sana wapinzani, si tu kisiasa lakini pia kiubinadam.
Hali hiyo inafanya watu waone kwmba wapinzani wamefadhiliwa sana na huyu Rais kwa kiwanho cha kuyameza madai yao yote. Ni mfano wa mtu anaemtuhumu mtu kwamba ni mwizi halafu badae tunaku tunakuta mko mezani mnapanga mipango pamoja.

Nashauri wapinzani watafute njia nyingine ya kutuvutia tuwasikilize tuwaelewe na tuwaamini wasijigeuze kitahisi kuwa mateka wa mwenyekiti wa ccm.
IMG_20210620_193027.jpg
 
Back
Top Bottom