Hayati Magufuli alivyoalika wazee wa kimila Ikulu kupiga dua(kutambika) ili mvua zinyeshe

Hayati Magufuli alivyoalika wazee wa kimila Ikulu kupiga dua(kutambika) ili mvua zinyeshe

Nikiri tu kuwa mimi nimezaliwa kwenye jamii zenye zinazodumisha mila zetu za asili(matambiko nisehemu ya maisha yetu).
Bibi yangu na babu yangu wapo vizuri.
Waliwahi kuniambia kuwa hakuna kazi nyepesi kama wa kuzuia au kuleta mvua.

Wazee wetu hawa wakiwa field huwa wanajaribiwa kwa hicho kitu,ukifeli unarudia somo.kuleta mvua au kuzuia mvua ni somo rahisi katika mitaala ya wazee wa kimila

Tangu uzaliwe ni lini ukaona mkutano wa vyama vya siasa ukavunjika kisa mvua?kwa taharifa yako mikutano hii huwa kuna kamati ya ufundi kuzuia mvua.

Hayati Magufuli baada ya kuingia madarakani aliwaita hawa wazee wa kimila (tamka wachawi)
toka kila mkoa Ikulu na kuwaambia kuwa anawapenda watanzania na asingependa kuona wanakufa njaa.hivyo aliwaomba wamsaidie kupiga dua(tamka kuroga) ili nchi iwe na mvua za kutosha.

Baada ya dua kila mzee alikutana na baasha nene ya kaki ikiwa na nauli na posho ya maana,

Wazee hawa hawakumuangusha ,mvua tuliziona,sasa mama Samia unafeli wapi?Babu yangu ni mmoja kati ya hawa wazee,mwaka wa pili sasa sijasikia simu yake kuwa anakwenda Dar au Dodoma Ikulu kupiga dua

Tangu mama aingie mjengoni mvua hazieleweki,sio mbaya kuiga mazuri ya JPM ,njaa zitatuua,mchele kilo 3500!!!
Mbona hangaya Kuna kipindi alipakizwa gari usiku usiku kwenda kufanyiwa manuva baada ya kiti kuwa Cha Moto?
Aliondoka bila escorts na kigari kimoja .

[emoji1787]Njiani walizuiliwa na mapongo maana hawakujua ndani Kuna Nani.[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Nikiri tu kuwa mimi nimezaliwa kwenye jamii zenye zinazodumisha mila zetu za asili(matambiko nisehemu ya maisha yetu).
Bibi yangu na babu yangu wapo vizuri.
Waliwahi kuniambia kuwa hakuna kazi nyepesi kama wa kuzuia au kuleta mvua.

Wazee wetu hawa wakiwa field huwa wanajaribiwa kwa hicho kitu,ukifeli unarudia somo.kuleta mvua au kuzuia mvua ni somo rahisi katika mitaala ya wazee wa kimila

Tangu uzaliwe ni lini ukaona mkutano wa vyama vya siasa ukavunjika kisa mvua?kwa taharifa yako mikutano hii huwa kuna kamati ya ufundi kuzuia mvua.

Hayati Magufuli baada ya kuingia madarakani aliwaita hawa wazee wa kimila (tamka wachawi)
toka kila mkoa Ikulu na kuwaambia kuwa anawapenda watanzania na asingependa kuona wanakufa njaa.hivyo aliwaomba wamsaidie kupiga dua(tamka kuroga) ili nchi iwe na mvua za kutosha.

Baada ya dua kila mzee alikutana na baasha nene ya kaki ikiwa na nauli na posho ya maana,

Wazee hawa hawakumuangusha ,mvua tuliziona,sasa mama Samia unafeli wapi?Babu yangu ni mmoja kati ya hawa wazee,mwaka wa pili sasa sijasikia simu yake kuwa anakwenda Dar au Dodoma Ikulu kupiga dua

Tangu mama aingie mjengoni mvua hazieleweki,sio mbaya kuiga mazuri ya JPM ,njaa zitatuua,mchele kilo 3500!!!
Ndio tunalipa zile mvua sasa kwa ukame huu.
 
Nikiri tu kuwa mimi nimezaliwa kwenye jamii zenye zinazodumisha mila zetu za asili(matambiko nisehemu ya maisha yetu).
Bibi yangu na babu yangu wapo vizuri.
Waliwahi kuniambia kuwa hakuna kazi nyepesi kama wa kuzuia au kuleta mvua.

Wazee wetu hawa wakiwa field huwa wanajaribiwa kwa hicho kitu,ukifeli unarudia somo.kuleta mvua au kuzuia mvua ni somo rahisi katika mitaala ya wazee wa kimila

Tangu uzaliwe ni lini ukaona mkutano wa vyama vya siasa ukavunjika kisa mvua?kwa taharifa yako mikutano hii huwa kuna kamati ya ufundi kuzuia mvua.

Hayati Magufuli baada ya kuingia madarakani aliwaita hawa wazee wa kimila (tamka wachawi)
toka kila mkoa Ikulu na kuwaambia kuwa anawapenda watanzania na asingependa kuona wanakufa njaa.hivyo aliwaomba wamsaidie kupiga dua(tamka kuroga) ili nchi iwe na mvua za kutosha.

Baada ya dua kila mzee alikutana na baasha nene ya kaki ikiwa na nauli na posho ya maana,

Wazee hawa hawakumuangusha ,mvua tuliziona,sasa mama Samia unafeli wapi?Babu yangu ni mmoja kati ya hawa wazee,mwaka wa pili sasa sijasikia simu yake kuwa anakwenda Dar au Dodoma Ikulu kupiga dua

Tangu mama aingie mjengoni mvua hazieleweki,sio mbaya kuiga mazuri ya JPM ,njaa zitatuua,mchele kilo 3500!!!

Acha kuamini ushirikina usio na tija, msimu wa mvua umekaribia, hivyo mvua itanyesha hivi karibuni bila maombi, wala hayo matambiko yenu. Kama nyie wazee mmeishiwa tafuteni njia nyingine za kupata hela, sio kupeleka ushirikina ikulu kwa utapeli kuwa mvua itanyesha.

Msitafute pointi za mezani ili mvua zikianza kunyesha mseme nyie ndio mlioombea zinyeshe. Huyo Magufuli alikuwa mshirikina ndio maana akawa anawaita, lakini hakuna mvua yoyote ilinyesha kutokana na ushirikina wenu. Upungufu wa mvua unatokana na mabadiliko ya tabia nchi, na sio sababu nyie hamjaloga.
 
Acha kuamini ushirikina usio na tija, msimu wa mvua umekaribia, hivyo mvua itanyesha hivi karibuni bila maombi, wala hayo matambiko yenu. Kama nyie wazee mmeishiwa tafuteni njia nyingine za kupata hela, sio kupeleka ushirikina ikulu kwa utapeli kuwa mvua itanyesha.

Msitafute pointi za mezani ili mvua zikianza kunyesha mseme nyie ndio mlioombea zinyeshe. Huyo Magufuli alikuwa mshirikina ndio maana akawa anawaita, lakini hakuna mvua yoyote ilinyesha kutokana na ushirikina wenu. Upungufu wa mvua unatokana na mabadiliko ya tabia nchi, na sio sababu nyie hamjaloga.
Umekulia mjini labda,huku mikoani mvua zinachezewa sana na sisi wazee wa kimila
 
Mbona hangaya Kuna kipindi alipakizwa gari usiku usiku kwenda kufanyiwa manuva baada ya kiti kuwa Cha Moto?
Aliondoka bila escorts na kigari kimoja .

[emoji1787]Njiani walizuiliwa na mapongo maana hawakujua ndani Kuna Nani.[emoji16][emoji16][emoji16]

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
Wacha wee
 
Acha kuamini ushirikina usio na tija, msimu wa mvua umekaribia, hivyo mvua itanyesha hivi karibuni bila maombi, wala hayo matambiko yenu. Kama nyie wazee mmeishiwa tafuteni njia nyingine za kupata hela, sio kupeleka ushirikina ikulu kwa utapeli kuwa mvua itanyesha.

Msitafute pointi za mezani ili mvua zikianza kunyesha mseme nyie ndio mlioombea zinyeshe. Huyo Magufuli alikuwa mshirikina ndio maana akawa anawaita, lakini hakuna mvua yoyote ilinyesha kutokana na ushirikina wenu. Upungufu wa mvua unatokana na mabadiliko ya tabia nchi, na sio sababu nyie hamjaloga.
Matambiko ambayo ni dini halali unaita ushirikina ila ushoga na usagaji unaita haki za binadamu ....endelea hivyo hivyo
 
Hakuna mzee mwenye uwezo wa kuchezea mvua boss, hao wazee wanacheza na akili za kizazi kilichonasa kwenye ujinga na ushirikina. Wangekuwa wanaweza kuchezea mvua wangeishi kwenye huo umasikini?
Hibi mlinzi wa bank ni tajiri
 
Wazee wanasaidia vitu Vinci hata Mama anajua isispokuwa hayo maswala yapo kimyakimya, lakini pia hayo mambo yana kamati maalumu na mwekiti wao analijua sema hayo mambo hayajadiliwi kwenye mitandao

Hivi George Mkuchika kwasasa ni Waziri wa Nini?
 
Nikiri tu kuwa mimi nimezaliwa kwenye jamii zenye zinazodumisha mila zetu za asili(matambiko nisehemu ya maisha yetu).
Bibi yangu na babu yangu wapo vizuri.
Waliwahi kuniambia kuwa hakuna kazi nyepesi kama wa kuzuia au kuleta mvua.

Wazee wetu hawa wakiwa field huwa wanajaribiwa kwa hicho kitu,ukifeli unarudia somo.kuleta mvua au kuzuia mvua ni somo rahisi katika mitaala ya wazee wa kimila

Tangu uzaliwe ni lini ukaona mkutano wa vyama vya siasa ukavunjika kisa mvua?kwa taharifa yako mikutano hii huwa kuna kamati ya ufundi kuzuia mvua.

Hayati Magufuli baada ya kuingia madarakani aliwaita hawa wazee wa kimila (tamka wachawi)
toka kila mkoa Ikulu na kuwaambia kuwa anawapenda watanzania na asingependa kuona wanakufa njaa.hivyo aliwaomba wamsaidie kupiga dua(tamka kuroga) ili nchi iwe na mvua za kutosha.

Baada ya dua kila mzee alikutana na baasha nene ya kaki ikiwa na nauli na posho ya maana,

Wazee hawa hawakumuangusha ,mvua tuliziona,sasa mama Samia unafeli wapi?Babu yangu ni mmoja kati ya hawa wazee,mwaka wa pili sasa sijasikia simu yake kuwa anakwenda Dar au Dodoma Ikulu kupiga dua

Tangu mama aingie mjengoni mvua hazieleweki,sio mbaya kuiga mazuri ya JPM ,njaa zitatuua,mchele kilo 3500!!!
Kichekesho kingine tena leo kimewasilishwa. Mvua kwa staili hiyo, mhhhh.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom