Hayati Magufuli alivyoifilisi familia ya Jamal Malinzi

Ulipendelea akiapishwa tu,Jamal atiwe pingu?Unaonesha uzuzu sana.
 
Taifa linahitaji kuponywa majeraha aisee
 
Nchi kama Tz unahitaji kufinya watu ili nchi inyooke.
Sasa hapo ulikuwa unamfinya malinzi na hao maskini wengine ili kunyoosha Nini hasa? Unfortunately majitu Kama wewe Ni utaishi Miaka mingi ila ningekuwa na namna ya kukupata nakudedisha kiukatili kabisa ili wengine wajifunze..

Hapa Tzn ukiwa tajiri uwe upande wa CCM maana huwa yanakuja tuu Mara tunaomba mafuta sijui mchango wa upuuzi gani kwenye chama na ushenzi wa dizaini hiyo,usipofanya hivyo ndio hayo ya kubambikiwa makesi n.k.

Ili kukomesha ushenzi Kama huu na mtu awe huru na Pesa zake na atimiaje Ni lazima tupate Katiba mpya walau ita guarantee security kiasi fulani..
 
Shetani hajawahi kosa watetezi..

Imagine watu wanapiga 1.5T afu hakuna Cha kuwafanya..

Lakini Kuna wizi mkubwa Sana umefanyika awamu ya Mwendazake Hakuna anayejali..

Kuna jamaa wa usalama ila Ni junior aliniambia hata hizo Pesa alizouliza Mpina kwamba haziko trap Wala trat zaidi ya Til.3 watu walishazila kinyemela na Hakuna Cha kufanya ndio kina Mwigulu wanazunguka zunguka tuu hawana majibu na Bunge kibogoyo badala lizichukue hizo kuwa hoja Wala hawana habari.
 
Duh...!. Japo sina any facts for or against to substantiate the facts of this story, but I seriously doubt the correctness of these facts presented here kwasababu familia ya Malinzi tunaifahamu, milioni 800 ni kama punje tuu ya mchele kwa familia hiyo, ni familia ya wacha Mungu wanao mtanguliza mbele Mungu kwenye kila kitu, hivyo Jamal hakutoka kwa plea bargain, kwasababu ya uadilifu.
Sorry siamini hii story!.

Naendelea kusisitiza JPM hakuwa malaika, ila pia hakuwa shetani kama watu wanavyo mdemonise sasa, naomba niendelee kuwajulisha mahali JPM alipo sasa Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani, msiendelee kuhangaika bure na kujichumia dhambi za bure kumsingizia marehemu.

P
 
Sio kweli. Malinzi alishakula keki yake kwa kuifisidi TFF. Akaambiwa alizochuma zimemtosha, atafute shughuli nyingine ya kufanya, akajiona mwamba. Akakomaa; akagombea kwa kipindi cha pili.
Kilichompata hatokisahau maishani...
Hata kama unayosema ni kweli, bado kuna shida kubwa! Kwanini DPP atumike kama fimbo ya kuchapa usioelewana nao?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…