Hayati Magufuli alivyomponza Mfugale mpaka akafa kwa presha

Mfugale na mahufuli nani alitangulia lufariki?
 
Umekurupuka kujibu!! Soma tena nilichoandika ukiwa umetuliza akili
 
wacha watu wajue na kujiridhisha makosa yao ya kuchagua jitu Mahiti kuongoza nchi ya Mchonga! ili wasirudie makosa yao tena!........halikusthili hata kuongoza jeshi la kuku!!

waliojitoa mapema kwenye huo uongozi walikuwa watu sana!........ni wazi wengi hawakuupenda ule uongozi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…