Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wanachi ndio wanammiss sasa hivi kasoro wapumbavu, wajinga na wapinzani koko pekeeKwa bahati mbaya mnadhani tunasahau. Aliyewaambia kuwa wananchi wanasahau ameingiza chaka.
Amen🤛🤛jf Ina watu bwanaHii nyuzi isingekuwa ya maana basi hata wewe usingechangia. Ungesoma na kusepa tu. Lakini umechangia na wengine wanachangia. Kuongea uovu wa Magufuli ni kuitendea haki Tanzania yetu ili baadaye tusije tukazembea tukaleta tena mtu wa HOVYO na MSHAMBA kama Magufuli
Punguza umbea acha kabisa ikibidi kujadili marehemuPamoja na mapungufu yake Magufuli alikuwa na sifa moja, akikupenda na kukuamini utakula mema ya nchi na atakulinda, hakuwa kigeugeu ila akikuchukia imekula kwako.
Hakuwa mnafiki kujifanya anakupenda wakati hakupendi,
Marafiki zake walimpenda kwa hilo walijiaminisha kuwa atawalinda milele kwa lolote ambalo lingetokea wakasahau maandiko matakatifu kuwa amelaaniwa amtumainiaye mwanadamu.
Mmoja kati ya marafiki wa Magufuli alikuwa bwana Mfugale. Kiasili huyu bwana hakuwa fisadi, alikuwa mtu msafi ndio maana Magufuli alimpenda.
Mara kadhaa aliomba kustaafu ila alikataliwa na Magufuli maana kama nguvu alikuwa nazo na bado Taifa lilihitaji msaada wake.
Tatizo likaja ni kuwa Magufuli alifanya Tanroads kama kampuni yake kupatia humo akatengeneza madili mengi sana na akaipa kazi zisizokuwa za kwake kiasili, mfano usimamiaji na ununuzi wa mitambo ya kiwanda cha sukari Mkulazi cha mkoani Morogoro. Hii kazi ilipaswa kusimamiwa na TAMESA ila ikaagiea Tanroads waifanye, bilioni 68 zikapotea kimiujiza.
Pili uwanja wa ndege wa Chato uliotakiwa kusimamiwa na mamlaka ya viwanja vya ndege nchini jukumu hilo akapewa Tanroads ya Mfugale.
Bajeti ya awali ya uwanja ilikuwa sh bilioni 17.79 lakini mpaka uwanja unakamilika ilitumika bilioni 52.32 mara tatu ya bajeti, kiasi cha zaidi ya bilioni 34.
Nani angethubutu kuhoji matumizi hayo mbele ya John Pompeo.
Miezi michache baada ya Magufuli kufariki ndio mamlaka husika zikaanza kuimulika na kuomba ufafanuzi wa matumizi ya Tanroads.
Madudu yaliyoibuliwa huko ni mengi sana, yalikuwa yanaenda kuharibu heshima ya mzee Mfugale aliyoijenga kwa miaka mingi.
Siku chache kabla ya Mfugale kufariki iligundulika kuwa Tanroads ilifanya malipo mara mbili kwa kampuni fulani ya ujenzi kwa kazi moja yaani double payment.
Mzee wa watu akaingia kwenye sonona akajilaumu bora angestaafu mapema akalea wajukuu kuliko kuingia kwenye kashfa ambazo alikuwa tu akipokea maelekezo toka kwa mwendazake.
Sonona inaua akafa kwa presha na masikitiko moyoni
RIP Mfugale
Ila ninyi mkisemwa mnavimbamkuu waache watu waseme madukuduku yao, mengi yana ukweli sababu wanatoa na ref.
Vipi kuhusu majozi ya awamu hii?Dawa ya majizi ni kifo tu.
Mama yenu kaamua , nalipwa. Mwambie awahi kwenye foleniKuna huyu mnyaturu alitekuwa na kampuni ya full time security. Magufuli walimchukulia hela zake zote jamaa akashikwa na stroke. Isingekuwa ndugu zake mamtoni kumpiga jeki angeshakufa zamani. Na siye huto tu wengi sana wameporwa hela zao halafu eti kina Crimea Shujaa shujaa. Shujaa mafiiiii Yako?
Ndio maana watu kama wewe huitwa wapumbavu,eti wewe unajiweka kwenye kundi la watu wa maana na mjanja~kuwa na adabu wewe hata kizazi chako hakiwez kuwa rais~wakupuuzwa weweNimelipa Kodi ya PAYE wakati nikilitumikia Taifa. Hiyo inatosha kunifanya raia mwema
Huo ni ukweli kwako. Unaposema taifa lini ilifanyika sensa ya majinga na manafiki ikaleta majibu kuwa taifa zima ni majinga?Ukweli ni kuwa magufuli ni shujaaa hawez kusaulika alikuwa mzalendo wa kweli acha apumzike na circke nzima taifa halitakuja kumsahau
This might true cc those who like public figure.Pamoja na mapungufu yake Magufuli alikuwa na sifa moja, akikupenda na kukuamini utakula mema ya nchi na atakulinda, hakuwa kigeugeu ila akikuchukia imekula kwako.
Hakuwa mnafiki kujifanya anakupenda wakati hakupendi,
Marafiki zake walimpenda kwa hilo walijiaminisha kuwa atawalinda milele kwa lolote ambalo lingetokea wakasahau maandiko matakatifu kuwa amelaaniwa amtumainiaye mwanadamu.
Mmoja kati ya marafiki wa Magufuli alikuwa bwana Mfugale. Kiasili huyu bwana hakuwa fisadi, alikuwa mtu msafi ndio maana Magufuli alimpenda.
Mara kadhaa aliomba kustaafu ila alikataliwa na Magufuli maana kama nguvu alikuwa nazo na bado Taifa lilihitaji msaada wake.
Tatizo likaja ni kuwa Magufuli alifanya Tanroads kama kampuni yake kupatia humo akatengeneza madili mengi sana na akaipa kazi zisizokuwa za kwake kiasili, mfano usimamiaji na ununuzi wa mitambo ya kiwanda cha sukari Mkulazi cha mkoani Morogoro. Hii kazi ilipaswa kusimamiwa na TAMESA ila ikaagiea Tanroads waifanye, bilioni 68 zikapotea kimiujiza.
Pili uwanja wa ndege wa Chato uliotakiwa kusimamiwa na mamlaka ya viwanja vya ndege nchini jukumu hilo akapewa Tanroads ya Mfugale.
Bajeti ya awali ya uwanja ilikuwa sh bilioni 17.79 lakini mpaka uwanja unakamilika ilitumika bilioni 52.32 mara tatu ya bajeti, kiasi cha zaidi ya bilioni 34.
Nani angethubutu kuhoji matumizi hayo mbele ya John Pompeo.
Miezi michache baada ya Magufuli kufariki ndio mamlaka husika zikaanza kuimulika na kuomba ufafanuzi wa matumizi ya Tanroads.
Madudu yaliyoibuliwa huko ni mengi sana, yalikuwa yanaenda kuharibu heshima ya mzee Mfugale aliyoijenga kwa miaka mingi.
Siku chache kabla ya Mfugale kufariki iligundulika kuwa Tanroads ilifanya malipo mara mbili kwa kampuni fulani ya ujenzi kwa kazi moja yaani double payment.
Mzee wa watu akaingia kwenye sonona akajilaumu bora angestaafu mapema akalea wajukuu kuliko kuingia kwenye kashfa ambazo alikuwa tu akipokea maelekezo toka kwa mwendazake.
Sonona inaua akafa kwa presha na masikitiko moyoni
RIP Mfugale
Ila ilikuwa km sinema vile hakika tumepata bahati ya kuwa kizazi kitachosimulia historia hii ya kusisimuMwendazake kaponza wengi, mmoja aliponea chupuchupu dk ya 90 akarudi duniani dadadeq 😀 😀
Fafanua vizuri. Kupotezwa Saa8 na Azory kunalinusuru taifa kivipi au dhidi ya nini?Kupoteza mmoja mmoja kwa ajili ya Taifa hakuna shida.
Ni ni bora kugonga Bodaboda mmoja kwa ajili ya kunusuru ajali ya buss na kuua abiria wote.
😅😅😅kazi za wazalendoBajeti ya awali ya uwanja ilikuwa sh bilioni 17.79 lakini mpaka uwanja unakamilika ilitumika bilioni 52.32 mara tatu ya bajeti, kiasi cha zaidi ya bilioni 34.
ImeandikwaLakini ukiua Kwa upanga na wewe utakufa Kwa upanga
😅😅😅dahKuna huyu mnyaturu alitekuwa na kampuni ya full time security. Magufuli walimchukulia hela zake zote jamaa akashikwa na stroke. Isingekuwa ndugu zake mamtoni kumpiga jeki angeshakufa zamani. Na siye huto tu wengi sana wameporwa hela zao halafu eti kina Crimea Shujaa shujaa. Shujaa mafiiiii Yako?
Sawa sawa miungu watu nyie mtaishi mileKuuwa mpumbavu mmoja ili wapone mamia siyo mbaya, hiyo ipo dunia nzima!
Hako ka saa 8 kailikuwa kapumbavu sana,! Na tulikaonya hakakusikia.
Mtu ameshakuwa rais, wew na utaahir wako eti umekomaa unahoji sijui phd imejambia pemba ushuzi ukatokezea kagera! Kwa hiyo aache majukumu ya urais aanze kujibizana na ujinga wako?
Hata ni mimi nakupoteza tu.
Wewe ndiye muongo kwani hakuna kitu kinaitwa tanroads.Umeandika vitu vya uongo huijui hata tanroads
Kapora pesa nyingi sana,aliposrma tunajenga kwa pesa za ndani ndio hizo sasaKuna huyu mnyaturu alitekuwa na kampuni ya full time security. Magufuli walimchukulia hela zake zote jamaa akashikwa na stroke. Isingekuwa ndugu zake mamtoni kumpiga jeki angeshakufa zamani. Na siye huto tu wengi sana wameporwa hela zao halafu eti kina Crimea Shujaa shujaa. Shujaa mafiiiii Yako?