Hayati Magufuli alivyomponza Mfugale mpaka akafa kwa presha

Hayati Magufuli alivyomponza Mfugale mpaka akafa kwa presha

Mtateseka sana na Magufuli lihali yeye kashalala kwenye usingizi wa maisha.

Mods nyuzi kama hizi nikujaza Sever utumbo na mavi.
Leo hao wote ni marehem sasa uzi huu una faida gani kwa hivi leo...???
Magufuli amekuwa wimbo kah.
Kwani shida iko wapi...???

Mods nipeni kitengo cha Ban niwalambe majinga jinga kama huyu mtoa hoja.
Unaumia eeee!
Na bado!!1
 
Ila hizo zote umetaja bado top wao ni rais tu ndo mwenye maamuzi ya mwisho
 
Ilibaki kidogo asababishe kifo cha kiongozi mmoja kwa kumlazimisha afanye press kudanganya haumwi hili hali kovidi ilikua imemkaba akaanza kukohoa hadi kamera zikazimwa upesi, behind the scene akarudishwa kwenye mtungi wa oxygen kumnusuru.
Daa, ule ulikuwa ni uchizi wa hali ya juu, woga wa namna hii ni kero
 
Pamoja na mapungufu yake Magufuli alikuwa na sifa moja, akikupenda na kukuamini utakula mema ya nchi na atakulinda, hakuwa kigeugeu ila akikuchukia imekula kwako.

Hakuwa mnafiki kujifanya anakupenda wakati hakupendi,
Marafiki zake walimpenda kwa hilo walijiaminisha kuwa atawalinda milele kwa lolote ambalo lingetokea wakasahau maandiko matakatifu kuwa amelaaniwa amtumainiaye mwanadamu.

Mmoja kati ya marafiki wa Magufuli alikuwa bwana Mfugale. Kiasili huyu bwana hakuwa fisadi, alikuwa mtu msafi ndio maana Magufuli alimpenda.

Mara kadhaa aliomba kustaafu ila alikataliwa na Magufuli maana kama nguvu alikuwa nazo na bado Taifa lilihitaji msaada wake.

Tatizo likaja ni kuwa Magufuli alifanya Tanroads kama kampuni yake kupatia humo akatengeneza madili mengi sana na akaipa kazi zisizokuwa za kwake kiasili, mfano usimamiaji na ununuzi wa mitambo ya kiwanda cha sukari Mkulazi cha mkoani Morogoro. Hii kazi ilipaswa kusimamiwa na TAMESA ila ikaagiea Tanroads waifanye, bilioni 68 zikapotea kimiujiza.

Pili uwanja wa ndege wa Chato uliotakiwa kusimamiwa na mamlaka ya viwanja vya ndege nchini jukumu hilo akapewa Tanroads ya Mfugale.

Bajeti ya awali ya uwanja ilikuwa sh bilioni 17.79 lakini mpaka uwanja unakamilika ilitumika bilioni 52.32 mara tatu ya bajeti, kiasi cha zaidi ya bilioni 34.

Nani angethubutu kuhoji matumizi hayo mbele ya John Pompeo.

Miezi michache baada ya Magufuli kufariki ndio mamlaka husika zikaanza kuimulika na kuomba ufafanuzi wa matumizi ya Tanroads.

Madudu yaliyoibuliwa huko ni mengi sana, yalikuwa yanaenda kuharibu heshima ya mzee Mfugale aliyoijenga kwa miaka mingi.

Siku chache kabla ya Mfugale kufariki iligundulika kuwa Tanroads ilifanya malipo mara mbili kwa kampuni fulani ya ujenzi kwa kazi moja yaani double payment.

Mzee wa watu akaingia kwenye sonona akajilaumu bora angestaafu mapema akalea wajukuu kuliko kuingia kwenye kashfa ambazo alikuwa tu akipokea maelekezo toka kwa mwendazake.

Sonona inaua akafa kwa presha na masikitiko moyoni

RIP Mfugale
Lakini yote hayo yamepita sasa Tanzania ipo katika mikono salama ya Rais Samia Suluhu
 
Mtateseka sana na Magufuli lihali yeye kashalala kwenye usingizi wa maisha.

Mods nyuzi kama hizi nikujaza Sever utumbo na mavi.
Leo hao wote ni marehem sasa uzi huu una faida gani kwa hivi leo...???
Magufuli amekuwa wimbo kah.
Kwani shida iko wapi...???

Mods nipeni kitengo cha Ban niwalambe majinga jinga kama huyu mtoa hoja.

Acha watu waongee. Mwenye kusifia na kumponda.
 
Ukweli ni kuwa magufuli ni shujaaa hawez kusaulika alikuwa mzalendo wa kweli acha apumzike na circke nzima taifa halitakuja kumsahau

Alikuwa juha tu. Mtu muoga anaiogopa CHADEMA mpaka kuharibu uchaguzi. Akifikia hatua ya kuzima mtandao wa internet siku ya kupinga kura ili aibe vizuri. Zanzibar yenye watu milioni moja ilipiga kura siku mbili ili tu Maalim asiwe Rais. Yule jamaa alipata kinachomstahili.

Alivyo juha akaharibu uchaguzi akidhani ataishi milele kumbe hakuna kitu.
 
Jpm ana bahati mbaya Sana. Nyerere anasifiwa kila Kona ya nchi na hakuna anayemsema vibaya kwa lolote lakini jpm anaandamwa kila kitu. Hilo ni funzo kubwa sana kwamba tuwsiwe Kama yeye kwa kujitakia sifa at the expense of other's sufferings.

Halafu alikosea Sana kujilinganisha na Nyerere. Akawa anauliza kwanini hapakujengwa ukuta mererani mwaka 1961. Bila kujua Tanzanite imegundulika mwaka 1980s. Kisa tu aonekane Bora kuliko Nyerere.
 
Pamoja na mapungufu yake Magufuli alikuwa na sifa moja, akikupenda na kukuamini utakula mema ya nchi na atakulinda, hakuwa kigeugeu ila akikuchukia imekula kwako.

Hakuwa mnafiki kujifanya anakupenda wakati hakupendi,
Marafiki zake walimpenda kwa hilo walijiaminisha kuwa atawalinda milele kwa lolote ambalo lingetokea wakasahau maandiko matakatifu kuwa amelaaniwa amtumainiaye mwanadamu.

Mmoja kati ya marafiki wa Magufuli alikuwa bwana Mfugale. Kiasili huyu bwana hakuwa fisadi, alikuwa mtu msafi ndio maana Magufuli alimpenda.

Mara kadhaa aliomba kustaafu ila alikataliwa na Magufuli maana kama nguvu alikuwa nazo na bado Taifa lilihitaji msaada wake.

Tatizo likaja ni kuwa Magufuli alifanya Tanroads kama kampuni yake kupatia humo akatengeneza madili mengi sana na akaipa kazi zisizokuwa za kwake kiasili, mfano usimamiaji na ununuzi wa mitambo ya kiwanda cha sukari Mkulazi cha mkoani Morogoro. Hii kazi ilipaswa kusimamiwa na TAMESA ila ikaagiea Tanroads waifanye, bilioni 68 zikapotea kimiujiza.

Pili uwanja wa ndege wa Chato uliotakiwa kusimamiwa na mamlaka ya viwanja vya ndege nchini jukumu hilo akapewa Tanroads ya Mfugale.

Bajeti ya awali ya uwanja ilikuwa sh bilioni 17.79 lakini mpaka uwanja unakamilika ilitumika bilioni 52.32 mara tatu ya bajeti, kiasi cha zaidi ya bilioni 34.

Nani angethubutu kuhoji matumizi hayo mbele ya John Pompeo.

Miezi michache baada ya Magufuli kufariki ndio mamlaka husika zikaanza kuimulika na kuomba ufafanuzi wa matumizi ya Tanroads.

Madudu yaliyoibuliwa huko ni mengi sana, yalikuwa yanaenda kuharibu heshima ya mzee Mfugale aliyoijenga kwa miaka mingi.

Siku chache kabla ya Mfugale kufariki iligundulika kuwa Tanroads ilifanya malipo mara mbili kwa kampuni fulani ya ujenzi kwa kazi moja yaani double payment.

Mzee wa watu akaingia kwenye sonona akajilaumu bora angestaafu mapema akalea wajukuu kuliko kuingia kwenye kashfa ambazo alikuwa tu akipokea maelekezo toka kwa mwendazake.

Sonona inaua akafa kwa presha na masikitiko moyoni

RIP Mfugale
Nimesoma nimebaki kusikitika natamani niandika chanzo cha kifo chake lakini ngoja tuache .......inshort Eng mfugale amekufa akipambania nchi yake Tz
 
Kuuwa mpumbavu mmoja ili wapone mamia siyo mbaya, hiyo ipo dunia nzima!

Hako ka saa 8 kailikuwa kapumbavu sana,! Na tulikaonya hakakusikia.

Mtu ameshakuwa rais, wew na utaahir wako eti umekomaa unahoji sijui phd imejambia pemba ushuzi ukatokezea kagera! Kwa hiyo aache majukumu ya urais aanze kujibizana na ujinga wako?

Hata ni mimi nakupoteza tu.

Kama yeye alikuwa anaona halali kuua basi aliyemuua naye alikuwa halali.
 
Ndio na 2025 hata sisi machadema tutaungana na ccm kumpitisha kwa kishindo Samia ili kumkomoa marehemu jiwe!

Lisu tupa kule yani.

Punguza stress kijana. Magufuli kafa kamuacha Lissu akiwa hai huo ni ushindi tosha.
 
Nimesoma nimebaki kusikitika natamani niandika chanzo cha kifo chake lakini ngoja tuache .......inshort Eng mfugale amekufa akipambania nchi yake Tz
Hakuna aliyemsema vibaya Mfugale vyovyote vile alivyokufa aliponzwa na John
 
hayo ni majungu tu kama ulikuwa na chuki binafsi ungeandika hayo wakati yuko hai.angewezaje kuzipa fedha hizo taasisi zilizo jaa majizi matupu.kwani baada ya JPM kufa hizo taasisi ziko salama,zinafanya kazi kwa uadilifu?10% tanroads zimeish au kupungua.Temesa ukiritimba umeisha?mbona hamsemi yale mazuri yake aliyoyafanya mnaandika mabaya tu?

Mtu alisema hashairiki, ungemwambia Nini?. Nimeamini kiburi ni anguko kubwa. Alijiona yeye ndio mmiliki wa Tanzania. Kaondoka kaiacha Tanzania inaendelea. Ibilisi mkubwa.
 
Back
Top Bottom