Hayati Magufuli aliwaamini sana marafiki zake Kagame na Bashiru

Hayati Magufuli aliwaamini sana marafiki zake Kagame na Bashiru

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Historia inatueleza bayana Hayati Magufuli na Paul Kagame walitokea kuwa marafiki wakubwa kupata kutokea!

Urafiki wa wawili hao ulikuwa wa kufa na kuzikana hali iliyopelekea waaminiane kwa kila jambo.

Kiungo wa marafiki wale uliunganishwa na rafiki yao mwingine Bashiru Ally.

Bashiru Ally na Profesa Lipumba ni marafiki wa mda mrefu wa Kagame na kwa nyakati fulani huko nyuma Paul Kagame aliwatumia wawili wale kumshauri kwenye mambo ya siasa (Bashiru) na mambo ya ki-uchumi (Lipumba) za Ukanda wetu wa Afrika ya Mashariki.

Hakika utatu wa Magufuli, Kagame na Bashiru ulikuwa na malengo/marengo chanya ya Ukanda wetu huo wa Afrika ya Mashariki.

NB: Bashiru siyo Ndugai.
 
Aliwaamini au ilikuwa project yake ya bahima empire

Bashir sio Mtanzania, neither Magufuli, hakuwa Mtanzania pia. Ni mapsndikizi ya asili ya watu ambao wanasumbua hadi Eastern Congo sasaivi wanajulikana kama M23.

It was a mistake kuruhusu wakalie ikulu yetu na mistake hiyo haitojirudia tena kamwe
 
Historia inatueleza bayana Hayati Magufuli na Paul Kagame walitokea kuwa marafiki wakubwa kupata kutokea!

Urafiki wa wawili hao ulikuwa wa kufa na kuzikana hali iliyopelekea waaminiane kwa kila jambo.

Kiungo wa marafiki wale uliunganishwa na rafiki yao mwingine Bashiru Ally.

Bashiru Ally na Profesa Lipumba ni marafiki wa mda mrefu wa Kagame na kwa nyakati fulani huko nyuma Paul Kagame aliwatumia wawili wale kumshauri kwenye mambo ya siasa (Bashiru) na mambo ya ki-uchumi (Lipumba) za Ukanda wetu wa Afrika ya Mashariki.

Hakika utatu wa Magufuli, Kagame na Bashiru ulikuwa na malengo/marengo chanya ya Ukanda wetu huo wa Afrika ya Mashariki.

NB: Bashiru siyo Ndugai.

Malengo chanya?Ben Saanane kupotea?lissu kupigwa risasi na Roma kutekwa ndo malengo chanya?
 
Aliwaamini au ilikuwa project yake ya bahima empire

Bashir sio Mtanzania, neither Magufuli, hakuwa Mtanzania pia. Ni mapsndikizi ya asili ya watu ambao wanasumbua hadi Eastern Congo sasaivi wanajulikana kama M23.

It was a mistake kuruhusu wakalie ikulu yetu na mistake hiyo haitojirudia tena kamwe
Bahati mbaya umeshachelewa!
 
Sidhani kama tall alikuwa ana mrate sana dikteta uchwara. Nadhani alikuwa anamtumia tu kwa mambo yake na kakurwa alikuwa Dalali na jiwe hakulijua Hilo na labd angelijua mambo yakiwa yameishaharibika.
 
Back
Top Bottom