Hayati Magufuli aliwaamini sana marafiki zake Kagame na Bashiru

Hayati Magufuli aliwaamini sana marafiki zake Kagame na Bashiru

Tumia akili ya kawaida tu. Mkapa na Kikwete waliompitishia JPM walikuwa na uhusiano wowote ule na Bahima Empire?.

Kagame alimtishia kumfanyia unyama Kikwete akiongea na kundi la wanafunzi wa chuo kikuu kule Kigali, angeweza vipi kupenyeza nia yake mpaka ndani ya mikutano ya siri ya CCM?.

Naamini hizi story zako ni za vijiweni za kufurahisha baraza wakati watu wanakunywa kahawa jioni baada ya kupata futari.
Jibu swali uliloulizwa.
 
Back
Top Bottom