mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
corona,na aliruhusu baadae.Sasa mbona alipiga marufuku malori ya Tanzania kuingia Rwanda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
corona,na aliruhusu baadae.Sasa mbona alipiga marufuku malori ya Tanzania kuingia Rwanda?
Kagame akumbu68shwe tu6uAnataka kumaanisha,ndugai alilopoka maoni yake !huyu katumwa na wakubwa KUONGEA!!
Anataka kumaanisha Bashiru,kagame na Lipumba sio wa kubeza hasa kagame!!
Mi nimeelewa Hivyo
Nasubiria wajuvi KWA uelewa ZAIDI!!
Hata wakati wa Yesu wasaliti waliuawa na kutekwa.
Kwa hiyo alimuona mwehu alivyo deal na Corona sio kama Kenyatta alivyomuona?corona,na aliruhusu baadae.
Wewe mhaya tatizo lako ni kujifanya unajua kumbe ni maskini flani unayetafuta kujipendekeza kwa watawala mitandaoni.Aliwaamini au ilikuwa project yake ya bahima empire
Bashir sio Mtanzania, neither Magufuli, hakuwa Mtanzania pia. Ni mapsndikizi ya asili ya watu ambao wanasumbua hadi Eastern Congo sasaivi wanajulikana kama M23.
It was a mistake kuruhusu wakalie ikulu yetu na mistake hiyo haitojirudia tena kamwe
Andiko lako lina hang.Historia inatueleza bayana Hayati Magufuli na Paul Kagame walitokea kuwa marafiki wakubwa kupata kutokea!
Urafiki wa wawili hao ulikuwa wa kufa na kuzikana hali iliyopelekea waaminiane kwa kila jambo.
Kiungo wa marafiki wale uliunganishwa na rafiki yao mwingine Bashiru Ally.
Bashiru Ally na Profesa Lipumba ni marafiki wa mda mrefu wa Kagame na kwa nyakati fulani huko nyuma Paul Kagame aliwatumia wawili wale kumshauri kwenye mambo ya siasa (Bashiru) na mambo ya ki-uchumi (Lipumba) za Ukanda wetu wa Afrika ya Mashariki.
Hakika utatu wa Magufuli, Kagame na Bashiru ulikuwa na malengo/marengo chanya ya Ukanda wetu huo wa Afrika ya Mashariki.
NB: Bashiru siyo Ndugai.
kumwona mtu mwehu haihusiani na wehu wake.pamoja na kufunga malori lakini bado alifata alichofanya jpm ktk janga lile.Kwa hiyo alimuona mwehu alivyo deal na Corona sio kama Kenyatta alivyomuona?
JPM alifanya nini ambacho Kagame aliiga?kumwona mtu mwehu haihusiani na wehu wake.pamoja na kufunga malori lakini bado alifata alichofanya jpm ktk janga lile.
mwehu nani hapo!!
So badala yake akaja nani kuwakilisha nchi??? nimeuliza tu, nimekaa paleeeekagame alikuwa nje kimatibabu wewe mbuzi acha kuabdika upuuzi.
kutofungia watu ndani kama nguruwe.JPM alifanya nini ambacho Kagame aliiga?
Aliwaamini au ilikuwa project yake ya bahima empire
Bashir sio Mtanzania, neither Magufuli, hakuwa Mtanzania pia. Ni mapsndikizi ya asili ya watu ambao wanasumbua hadi Eastern Congo sasaivi wanajulikana kama M23.
It was a mistake kuruhusu wakalie ikulu yetu na mistake hiyo haitojirudia tena kamwe
Eh?Aliwaamini au ilikuwa project yake ya bahima empire
Bashir sio Mtanzania, neither Magufuli, hakuwa Mtanzania pia. Ni mapsndikizi ya asili ya watu ambao wanasumbua hadi Eastern Congo sasaivi wanajulikana kama M23.
It was a mistake kuruhusu wakalie ikulu yetu na mistake hiyo haitojirudia tena kamwe
Haya maandishi yanakufanya uonekane kijana mdogo unayependa kusikiliza maneno ya vijiweni wakati wakubwa wakiongea huku wakinywa kahawa.Aliwaamini au ilikuwa project yake ya bahima empire
Bashir sio Mtanzania, neither Magufuli, hakuwa Mtanzania pia. Ni mapsndikizi ya asili ya watu ambao wanasumbua hadi Eastern Congo sasaivi wanajulikana kama M23.
It was a mistake kuruhusu wakalie ikulu yetu na mistake hiyo haitojirudia tena kamwe
Kasumba za kishamba zipo sana hapa Tanzania, kwamba kila mtu anayetoka mkoa wa Kagera au Kigoma anayo asili ya Rwanda au Burundi. Ukitoka Mara wewe unayo hatari ya kuitwa Mkenya ukitoka Mtwara au Lindi utaitwa mwenyeji wa Msumbiji.kwani JPM alikuwa mtusi ? maana KAGAME ni MTUSI .Na BASHIRU ni mtusi ?
mbona mlisema JPM ni mhutu ? leo amekuwa mtusi?
japo kufanya urafiki na kagame lilikuwa kosa kubwa la karne.KAGAME ni adui wa JK ,Sasa rafiki wa adui yako>>>>>>>>
Kitu gani hapo kilichosemwa ni cha uongo?Haya maandishi yanakufanya uonekane kijana mdogo unayependa kusikiliza maneno ya vijiweni wakati wakubwa wakiongea huku wakinywa kahawa.
Tumia akili ya kawaida tu. Mkapa na Kikwete waliompitishia JPM walikuwa na uhusiano wowote ule na Bahima Empire?.Kitu gani hapo kilichosemwa ni cha uongo?