Hayati Magufuli aliwaamini sana marafiki zake Kagame na Bashiru

Hayati Magufuli aliwaamini sana marafiki zake Kagame na Bashiru

JPM alienda kuficha Hela Rwanda, PAKA akapita nazo, wakaanza ugomvi
 
Aliwaamini au ilikuwa project yake ya bahima empire

Bashir sio Mtanzania, neither Magufuli, hakuwa Mtanzania pia. Ni mapsndikizi ya asili ya watu ambao wanasumbua hadi Eastern Congo sasaivi wanajulikana kama M23.

It was a mistake kuruhusu wakalie ikulu yetu na mistake hiyo haitojirudia tena kamwe
Wewe mhaya tatizo lako ni kujifanya unajua kumbe ni maskini flani unayetafuta kujipendekeza kwa watawala mitandaoni.
 
Historia inatueleza bayana Hayati Magufuli na Paul Kagame walitokea kuwa marafiki wakubwa kupata kutokea!

Urafiki wa wawili hao ulikuwa wa kufa na kuzikana hali iliyopelekea waaminiane kwa kila jambo.

Kiungo wa marafiki wale uliunganishwa na rafiki yao mwingine Bashiru Ally.

Bashiru Ally na Profesa Lipumba ni marafiki wa mda mrefu wa Kagame na kwa nyakati fulani huko nyuma Paul Kagame aliwatumia wawili wale kumshauri kwenye mambo ya siasa (Bashiru) na mambo ya ki-uchumi (Lipumba) za Ukanda wetu wa Afrika ya Mashariki.

Hakika utatu wa Magufuli, Kagame na Bashiru ulikuwa na malengo/marengo chanya ya Ukanda wetu huo wa Afrika ya Mashariki.

NB: Bashiru siyo Ndugai.
Andiko lako lina hang.
 
Kwa hiyo alimuona mwehu alivyo deal na Corona sio kama Kenyatta alivyomuona?
kumwona mtu mwehu haihusiani na wehu wake.pamoja na kufunga malori lakini bado alifata alichofanya jpm ktk janga lile.

mwehu nani hapo!!
 
Aliwaamini au ilikuwa project yake ya bahima empire

Bashir sio Mtanzania, neither Magufuli, hakuwa Mtanzania pia. Ni mapsndikizi ya asili ya watu ambao wanasumbua hadi Eastern Congo sasaivi wanajulikana kama M23.

It was a mistake kuruhusu wakalie ikulu yetu na mistake hiyo haitojirudia tena kamwe

kwani JPM alikuwa mtusi ? maana KAGAME ni MTUSI .Na BASHIRU ni mtusi ?

mbona mlisema JPM ni mhutu ? leo amekuwa mtusi?

japo kufanya urafiki na kagame lilikuwa kosa kubwa la karne.KAGAME ni adui wa JK ,Sasa rafiki wa adui yako>>>>>>>>
 
hivi mbona CV ya Mh BASHIRU kwenye tovuti ya Bunge haijakamalilika? au imeondolewa???
 
Aliwaamini au ilikuwa project yake ya bahima empire

Bashir sio Mtanzania, neither Magufuli, hakuwa Mtanzania pia. Ni mapsndikizi ya asili ya watu ambao wanasumbua hadi Eastern Congo sasaivi wanajulikana kama M23.

It was a mistake kuruhusu wakalie ikulu yetu na mistake hiyo haitojirudia tena kamwe
Eh?
 
Aliwaamini au ilikuwa project yake ya bahima empire

Bashir sio Mtanzania, neither Magufuli, hakuwa Mtanzania pia. Ni mapsndikizi ya asili ya watu ambao wanasumbua hadi Eastern Congo sasaivi wanajulikana kama M23.

It was a mistake kuruhusu wakalie ikulu yetu na mistake hiyo haitojirudia tena kamwe
Haya maandishi yanakufanya uonekane kijana mdogo unayependa kusikiliza maneno ya vijiweni wakati wakubwa wakiongea huku wakinywa kahawa.
 
kwani JPM alikuwa mtusi ? maana KAGAME ni MTUSI .Na BASHIRU ni mtusi ?

mbona mlisema JPM ni mhutu ? leo amekuwa mtusi?

japo kufanya urafiki na kagame lilikuwa kosa kubwa la karne.KAGAME ni adui wa JK ,Sasa rafiki wa adui yako>>>>>>>>
Kasumba za kishamba zipo sana hapa Tanzania, kwamba kila mtu anayetoka mkoa wa Kagera au Kigoma anayo asili ya Rwanda au Burundi. Ukitoka Mara wewe unayo hatari ya kuitwa Mkenya ukitoka Mtwara au Lindi utaitwa mwenyeji wa Msumbiji.

Ni uvivu wa kufikiri unaoambatana na roho mbaya.
 
Kitu gani hapo kilichosemwa ni cha uongo?
Tumia akili ya kawaida tu. Mkapa na Kikwete waliompitishia JPM walikuwa na uhusiano wowote ule na Bahima Empire?.

Kagame alimtishia kumfanyia unyama Kikwete akiongea na kundi la wanafunzi wa chuo kikuu kule Kigali, angeweza vipi kupenyeza nia yake mpaka ndani ya mikutano ya siri ya CCM?.

Naamini hizi story zako ni za vijiweni za kufurahisha baraza wakati watu wanakunywa kahawa jioni baada ya kupata futari.
 
Back
Top Bottom