johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Kwa sasa mzee Wassira ni mjumbe wa Kamati kuu ya nchiUmezeeka vibaya sana. Babu yako Wassira alitamka hivi hivi na tarehe ya kufa CHADEMA akataja. Lakini kafutika yeye kaiacha CHADEMA.
Alijaribu akashindwa na badala yake yeye akafutiliwa mbali kwenye uso wa dunia leo hii anateseka motoni kwa ufedhuli wake,na yeyeote atakayejaribu yatamkuta mabaya zaidi.Kiukweli hayati Magufuli aliwapenda sana na kuwavumilia Chadema vinginevyo mh Mutungi angekifutilia mbali
Chadema na viongozi wenu msipofuata agizo la mwenyekiti Mbowe kwamba muache Mihemuko, Uzushi na Uchochezi basi chama chenu hakika kinaweza kufutwa kwenye daftari la Msajili wa vyama vya siasa
Ni angalizo tu
Mtanikumbuka
Hiyo kapewa akalale usingizi tu. Yeye alitaka ubunge na uwaziriKwa sasa mzee Wassira ni mjumbe wa Kamati kuu ya nchi
Hapana ni kivutio cha Tanapa kwanini msimuweke kwenye Royal Tour ili Wageni waje kumuona Hobo.Wassira ni mjumbe wa Kamati kuu ya nchi
Ukimwi umetafuna kumbukumbu yako Masanja Tumbo ndiye nani huyo?Sikumaanisha hakuna wachochezi na wazushi
Wapinzani walikuwa akina Masanja Tumbo
Tena kafa kibuduMagufuli alitamani chadema ife lkn badala yake kafa yeye
Ile ni nyara ya Taifa toka hifadhi ya GombeKwa sasa mzee Wassira ni mjumbe wa Kamati kuu ya nchi
CHADEMA IPO MIOYONI WATAKACHOFUTA NI JINA TUKiukweli hayati Magufuli aliwapenda sana na kuwavumilia Chadema vinginevyo mh Mutungi angekifutilia mbali
Chadema na viongozi wenu msipofuata agizo la mwenyekiti Mbowe kwamba muache Mihemuko, Uzushi na Uchochezi basi chama chenu hakika kinaweza kufutwa kwenye daftari la Msajili wa vyama vya siasa
Ni angalizo tu
Mtanikumbuka
Watalii wataletwa Hifadhi ya Taifa Ufipa KinondoniHapana ni kivutio cha Tanapa kwanini msimuweke kwenye Royal Tour ili Wageni waje kumuona Hobo.
Mkuu umechelewa,,hao hawafutwi kwa maneno ya jukwaani...Kiukweli hayati Magufuli aliwapenda sana na kuwavumilia Chadema vinginevyo mh Mutungi angekifutilia mbali
Chadema na viongozi wenu msipofuata agizo la mwenyekiti Mbowe kwamba muache Mihemuko, Uzushi na Uchochezi basi chama chenu hakika kinaweza kufutwa kwenye daftari la Msajili wa vyama vya siasa
Ni angalizo tu
Mtanikumbuka
Angalizo tuMkuu umechelewa,,hao hawafutwi kwa maneno ya jukwaani...
Nimejitoa muhangaHuo ujasiri wa kusema hivyo umeupata wapi?
Kiukweli hayati Magufuli aliwapenda sana na kuwavumilia Chadema vinginevyo mh Mutungi angekifutilia mbali
Chadema na viongozi wenu msipofuata agizo la mwenyekiti Mbowe kwamba muache Mihemuko, Uzushi na Uchochezi basi chama chenu hakika kinaweza kufutwa kwenye daftari la Msajili wa vyama vya siasa
Ni angalizo tu
Mtanikumbuka
Unadhani Mbowe kamfuata nani Ikulu?Ni ubovu wa akili na low thinking kufikiri ni sawa kwamba vyama vya siasa vipo kwa huruma ya rais. Mnakosa misingi ya haki tangu majumbani mwenu na mnaleta haya mapungufu hapa kila siku.
Endelea kukaririUchizi wako asbh. Vipi dawa za kutuliza dishi lako linalocheza zimeisha tuanze kukuchangia?
Umejitoa ufahamuNimejitoa muhanga
Unadhani Mbowe kamfuata nani Ikulu?
Zamani alikuwa anakimbilia kea Mabalozi, hehe nini kimembadilisha?
Umejitoa ufahamu
Chuo cha kuzalisha wapumbavu huko CCM kinafanya kazi,idadi ya wapumbavu huko inaongezeka kwa kasi sanaSawa kabisa huyu ni kati ya watanzania wengi walioamua kujitoa ufahamu na haoni shida yoyote.