Kumbe kwenye ubongo wako Chadema iko imara sana?CDM kufutwa au kufa wewe si wa kwanza kutamka..!! Wasira ni mmojawapo kati ya waliowahi kusema hayo..!! Lakini hadi leo CDM bado ipo..
Hatimaye Mungu akamfutilia mbali yy kwenye uso wa Dunia na Sasa HAKUNA kutekana ovyo ,maiti kukutwa kwenye fukwe ,kupora fedha kwenye akaunti za watu na kuwafungulia kesi za mchongo wana CHADEMA.Kiukweli hayati Magufuli aliwapenda sana na kuwavumilia Chadema vinginevyo mh Mutungi angekifutilia mbali.
CHADEMA na viongozi wenu msipofuata agizo la mwenyekiti Mbowe kwamba muache Mihemuko, Uzushi na Uchochezi basi chama chenu hakika kinaweza kufutwa kwenye daftari la Msajili wa vyama vya siasa.
Ni angalizo tu
Mtanikumbuka
Hujaelewa, ulegele haina maara ya kufa.. Kufa ni kutoweka...!! Hata kama haipo imara, lakini ipoKumbe kwenye ubongo wako Chadema iko imara sana?
Yule Twaha ni CCM?Hatimaye Mungu akamfutilia mbali yy kwenye uso wa Dunia na Sasa HAKUNA kutekana ovyo ,maiti kukutwa kwenye fukwe ,kupora fedha kwenye akaunti za watu na kuwafungulia kesi za mchongo wana CHADEMA.
MUNGU KAAMUA UGOMVI .
BY NAPE.....
Sina mengi ila ninachojua hata mchawi huwa anabembeleza mtoto ingawa usiku ndo mtesaji wa mtoto aliyembebeleza Mchana!!!Kiukweli hayati Magufuli aliwapenda sana na kuwavumilia Chadema vinginevyo mh Mutungi angekifutilia mbali.
CHADEMA na viongozi wenu msipofuata agizo la mwenyekiti Mbowe kwamba muache Mihemuko, Uzushi na Uchochezi basi chama chenu hakika kinaweza kufutwa kwenye daftari la Msajili wa vyama vya siasa.
Ni angalizo tu
Mtanikumbuka
Na hii inatuaminisha kabisa kila anayeitakia CDM kifo,atakufa yeye.Magufuli alitamani chadema ife lkn badala yake kafa yeye
Masanja Tumbo,?Sikumaanisha hakuna wachochezi na wazushi
Wapinzani walikuwa akina Masanja Tumbo
Ulidhani Kasanga?Masanja Tumbo,?
Daraja la 4 ngazi ya Kata.
Akifute tu kwa hicho unachoita mihemuko, uzushi na uchochezi. Maana hicho chama kipo kwa ridhaa ya Mutungi.Kiukweli hayati Magufuli aliwapenda sana na kuwavumilia Chadema vinginevyo mh Mutungi angekifutilia mbali.
CHADEMA na viongozi wenu msipofuata agizo la mwenyekiti Mbowe kwamba muache Mihemuko, Uzushi na Uchochezi basi chama chenu hakika kinaweza kufutwa kwenye daftari la Msajili wa vyama vya siasa.
Ni angalizo tu
Mtanikumbuka
Ingekufa au ingeuliwa? Kama unandani ingekufa si uachie raia wakipuuze badala ya kuomba Mutungi akiue?Bila Magufuli Chadema ingekufa kitambo
Ni angalizo tuIngekufa au ingeuliwa? Kama unandani ingekufa si uachie raia wakipuuze badala ya kuomba Mutungi akiue?
Amandla...
Huu ni ugoro kama goro nyingine hii ni nchi ya mfumo wa vyama vingi msijibu hoja za wapinzani kwa kuzipiga runguKiukweli hayati Magufuli aliwapenda sana na kuwavumilia Chadema vinginevyo mh Mutungi angekifutilia mbali.
CHADEMA na viongozi wenu msipofuata agizo la mwenyekiti Mbowe kwamba muache Mihemuko, Uzushi na Uchochezi basi chama chenu hakika kinaweza kufutwa kwenye daftari la Msajili wa vyama vya siasa.
Ni angalizo tu
Mtanikumbuka
Ila wewe na baba yako mtoa roho Magufuri mmeifanya kuwa uadui.Siasa siyo uadui
Ni ushauri tu kea Jirani
Labda Chato na sukuma gangCHADEMA ilishajifia zamani.
What we see are just kicks of a dying horse.
Hakuipenda CHADEMA,hakuitaka CHADEMA,alipambana nayo kwa kila namna mwisho CHADEMA ikamzika yeye na kumbukumbu lake limepotea sukuma gang wamebaki kupuyanga tu.Bila Magufuli Chadema ingekufa kitambo
Chadema hakuna mataahira modeli yako weweMimi ni mfuasi wa chadema, binafsi naona Chadema imeshajifia zamani sana.
Hata marehemu huzungumziwa