Hayati Magufuli aliwapenda sana CHADEMA, vinginevyo angekifutilia mbali. Ila kwa sasa kinaweza kufutwa na Msajili wa Vyama

Hayati Magufuli aliwapenda sana CHADEMA, vinginevyo angekifutilia mbali. Ila kwa sasa kinaweza kufutwa na Msajili wa Vyama

CDM kufutwa au kufa wewe si wa kwanza kutamka..!! Wasira ni mmojawapo kati ya waliowahi kusema hayo..!! Lakini hadi leo CDM bado ipo..
Kumbe kwenye ubongo wako Chadema iko imara sana?
 
Kuna watu walijiapiza kuimaliza CDM wameishia kujimaliza wao.. bwa shee chama kinafutwa kama kimekiua sheria za nchi, sasa kutaka kuifuta CDM kama unavyofuta nyumba ndogo yako hilo halipo ndugu.
 
Kiukweli hayati Magufuli aliwapenda sana na kuwavumilia Chadema vinginevyo mh Mutungi angekifutilia mbali.

CHADEMA na viongozi wenu msipofuata agizo la mwenyekiti Mbowe kwamba muache Mihemuko, Uzushi na Uchochezi basi chama chenu hakika kinaweza kufutwa kwenye daftari la Msajili wa vyama vya siasa.

Ni angalizo tu

Mtanikumbuka
Hatimaye Mungu akamfutilia mbali yy kwenye uso wa Dunia na Sasa HAKUNA kutekana ovyo ,maiti kukutwa kwenye fukwe ,kupora fedha kwenye akaunti za watu na kuwafungulia kesi za mchongo wana CHADEMA.
MUNGU KAAMUA UGOMVI .
BY NAPE.....
 
Hatimaye Mungu akamfutilia mbali yy kwenye uso wa Dunia na Sasa HAKUNA kutekana ovyo ,maiti kukutwa kwenye fukwe ,kupora fedha kwenye akaunti za watu na kuwafungulia kesi za mchongo wana CHADEMA.
MUNGU KAAMUA UGOMVI .
BY NAPE.....
Yule Twaha ni CCM?
 
Kiukweli hayati Magufuli aliwapenda sana na kuwavumilia Chadema vinginevyo mh Mutungi angekifutilia mbali.

CHADEMA na viongozi wenu msipofuata agizo la mwenyekiti Mbowe kwamba muache Mihemuko, Uzushi na Uchochezi basi chama chenu hakika kinaweza kufutwa kwenye daftari la Msajili wa vyama vya siasa.

Ni angalizo tu

Mtanikumbuka
Sina mengi ila ninachojua hata mchawi huwa anabembeleza mtoto ingawa usiku ndo mtesaji wa mtoto aliyembebeleza Mchana!!!
 
Mimi ni mfuasi wa chadema, binafsi naona Chadema imeshajifia zamani sana.

Hata marehemu huzungumziwa
 
Kiukweli hayati Magufuli aliwapenda sana na kuwavumilia Chadema vinginevyo mh Mutungi angekifutilia mbali.

CHADEMA na viongozi wenu msipofuata agizo la mwenyekiti Mbowe kwamba muache Mihemuko, Uzushi na Uchochezi basi chama chenu hakika kinaweza kufutwa kwenye daftari la Msajili wa vyama vya siasa.

Ni angalizo tu

Mtanikumbuka
Akifute tu kwa hicho unachoita mihemuko, uzushi na uchochezi. Maana hicho chama kipo kwa ridhaa ya Mutungi.

Amandla...
 
Kiukweli hayati Magufuli aliwapenda sana na kuwavumilia Chadema vinginevyo mh Mutungi angekifutilia mbali.

CHADEMA na viongozi wenu msipofuata agizo la mwenyekiti Mbowe kwamba muache Mihemuko, Uzushi na Uchochezi basi chama chenu hakika kinaweza kufutwa kwenye daftari la Msajili wa vyama vya siasa.

Ni angalizo tu

Mtanikumbuka
Huu ni ugoro kama goro nyingine hii ni nchi ya mfumo wa vyama vingi msijibu hoja za wapinzani kwa kuzipiga rungu
 
Back
Top Bottom