Hayati Magufuli aliweza kuondoa ucheleweshaji mizigo bandarini? Mbona hakutuambia Watanzania hatuwezi? CCM kwanini tunajidhalilisha?

Hayati Magufuli aliweza kuondoa ucheleweshaji mizigo bandarini? Mbona hakutuambia Watanzania hatuwezi? CCM kwanini tunajidhalilisha?

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Hoja iliyopo midomoni mwa watumishi wa serikali na watawala nikutuaminisha kwamba mizigo inacheleweshwa bandarini. Lakini miaka miwili nyuma tulisifia sana ufanisi wa bandari. Je haiwezekani kwamba tuliopo sasa tumeiua bandari?

Magufuli aliwezaje kuwatumia watu hawahawa akapata tija hadi sote tukawa tunaimba mafanikio ya JPM? Siyo sisi tuliokuwa tunasifia mabadiliko makubwa kwenye utumishi wa umma?

Lengo letu lakuacha kufanya kwa ufanisi ni ili tuikodishe bandari? Tunanufaikaje hujuma hizi? Kwanini tunapenda kusimama kwamba wenzetu wamehongwa wakati sisi tuliwaaminisha bandari inakwenda vyema?

Kwanini tunamhujumu Rais?
 
Mheeshimiwa wa awamu ya Nne aliiporomosha Ccm ktk mikakati mingi Kisha akaona tingatinga lenye akili natured linaingia kazeeka ghafla lkn saiv kwer hii kasi mpya, Ari mpya😆
 
Hoja iliyopo midomoni mwa watumishi wa serikali na watawala nikutuaminisha kwamba mizigo inacheleweshwa bandarini. Lakini miaka miwili nyuma tulisifia sana ufanisi wa bandari. Je haiwezekani kwamba tuliopo sasa tumeiua bandari?

Magufuli aliwezaje kuwatumia watu hawahawa akapata tija hadi sote tukawa tunaimba mafanikio ya JPM? Siyo sisi tuliokuwa tunasifia mabadiliko makubwa kwenye utumishi wa umma?

Lengo letu lakuacha kufanya kwa ufanisi ni ili tuikodishe bandari? Tunanufaikaje hujuma hizi? Kwanini tunapenda kusimama kwamba wenzetu wamehongwa wakati sisi tuliwaaminisha bandari inakwenda vyema?

Kwanini tunamhujumu Rais?
Uongozi ni kuweka mifumo sio makelele wala matisho. Ukiondoka yote yataishia hapo. Weka mifumo na Sheria ambavyo vitakuwa mwongozo kwa yeyote atakayekuja baada yako.
 
Hoja iliyopo midomoni mwa watumishi wa serikali na watawala nikutuaminisha kwamba mizigo inacheleweshwa bandarini. Lakini miaka miwili nyuma tulisifia sana ufanisi wa bandari. Je haiwezekani kwamba tuliopo sasa tumeiua bandari?

Magufuli aliwezaje kuwatumia watu hawahawa akapata tija hadi sote tukawa tunaimba mafanikio ya JPM? Siyo sisi tuliokuwa tunasifia mabadiliko makubwa kwenye utumishi wa umma?

Lengo letu lakuacha kufanya kwa ufanisi ni ili tuikodishe bandari? Tunanufaikaje hujuma hizi? Kwanini tunapenda kusimama kwamba wenzetu wamehongwa wakati sisi tuliwaaminisha bandari inakwenda vyema?

Kwanini tunamhujumu Rais?
Rekebisha rekodi zako hats Magufuli bandari ilimshinda,wizi kila mahala ,hukumbuki hats baada ya kukamatwa wezi waliokuwa wamejiwekea Bomba la Mafuta wakiteka kqma maji walipobainishwa na DC wa kigamboni SARA,hakuna kilichotokea na Huyo DC ndiye aliyeondolewa ,umesahau hili,na wezi wakaendelea kama kawa kawa kama dawa!,hapo bandarini pana madudu ya hatari na kutisha mengine ni hatari hats kwa maisha ya mtu,almost 40% ya gain inaingia pasipo! Ndipo sasa mwarobaini umepatikana ,hivyo BENEFICIARY WANA HOFU KUBWA SANA WAPO VIGOGO HATARI,TAASISI ZA DINI,NA N.K, wakiwamo wajanja wajanja na wahuni mbalimbali wanao temper hats mashine ili wizi ufanyike!,kelele ni lazima wapige,
mh.rais songa mbele hakuna kurudi nyuma kwa hili.
 
Hoja iliyopo midomoni mwa watumishi wa serikali na watawala nikutuaminisha kwamba mizigo inacheleweshwa bandarini. Lakini miaka miwili nyuma tulisifia sana ufanisi wa bandari. Je haiwezekani kwamba tuliopo sasa tumeiua bandari?

Magufuli aliwezaje kuwatumia watu hawahawa akapata tija hadi sote tukawa tunaimba mafanikio ya JPM? Siyo sisi tuliokuwa tunasifia mabadiliko makubwa kwenye utumishi wa umma?

Lengo letu lakuacha kufanya kwa ufanisi ni ili tuikodishe bandari? Tunanufaikaje hujuma hizi? Kwanini tunapenda kusimama kwamba wenzetu wamehongwa wakati sisi tuliwaaminisha bandari inakwenda vyema?

Kwanini tunamhujumu Rais?
Kwanini serikali ya CCM haiwachukulii hatua kali za kisheria wanaohujumu bandari yetu, wakati inawafahamu kwa majina yao, sura zao na anwani zao?
 
BENEFICIARY WANA HOFU KUBWA SANA WAPO VIGOGO HATARI,TAASISI ZA DINI,NA N.K, wakiwamo wajanja wajanja na wahuni mbalimbali wanao temper hats mashine ili wizi ufanyike!,kelele ni lazima wapige,
mh.rais songa mbele hakuna kurudi nyuma kwa hili.
Kwa hiyo serikali ya CCM imewapa majambazi status ya kuwa above the law, ndio maana inashindwa kuwafunga hata kwa makosa ya uhaini na uhujumu uchumi?
 
Hoja iliyopo midomoni mwa watumishi wa serikali na watawala nikutuaminisha kwamba mizigo inacheleweshwa bandarini. Lakini miaka miwili nyuma tulisifia sana ufanisi wa bandari. Je haiwezekani kwamba tuliopo sasa tumeiua bandari?

Magufuli aliwezaje kuwatumia watu hawahawa akapata tija hadi sote tukawa tunaimba mafanikio ya JPM? Siyo sisi tuliokuwa tunasifia mabadiliko makubwa kwenye utumishi wa umma?

Lengo letu lakuacha kufanya kwa ufanisi ni ili tuikodishe bandari? Tunanufaikaje hujuma hizi? Kwanini tunapenda kusimama kwamba wenzetu wamehongwa wakati sisi tuliwaaminisha bandari inakwenda vyema?

Kwanini tunamhujumu Rais?
Watakwambia aliwanyima uhuru watumishi wa bandari.
 
Hoja iliyopo midomoni mwa watumishi wa serikali na watawala nikutuaminisha kwamba mizigo inacheleweshwa bandarini. Lakini miaka miwili nyuma tulisifia sana ufanisi wa bandari. Je haiwezekani kwamba tuliopo sasa tumeiua bandari?

Magufuli aliwezaje kuwatumia watu hawahawa akapata tija hadi sote tukawa tunaimba mafanikio ya JPM? Siyo sisi tuliokuwa tunasifia mabadiliko makubwa kwenye utumishi wa umma?

Lengo letu lakuacha kufanya kwa ufanisi ni ili tuikodishe bandari? Tunanufaikaje hujuma hizi? Kwanini tunapenda kusimama kwamba wenzetu wamehongwa wakati sisi tuliwaaminisha bandari inakwenda vyema?

Kwanini tunamhujumu Rais?
Kwani Magufuli ndo nani mpk tufanye km alivyokuwa yeye!?
Lile si lishetani flani tu hivi!....
 
Hata Benki ya Dunia inathibitisha kuwa bandari ya Dar inaizidi ya Mombasa kwa ufanisi.

Dar port's $357m upgrade bears fruit, topples Mombasa from perch​



SUNDAY MAY 28 2023​

dar port

A carriage for the Tanzania's Standard Gauge Railway project is unloaded at the port in Dar es Salaam, Tanzania on November 25, 2022. PHOTO | ERICKY BONIPHACE | AFP

Summary

  • Mombasa has been losing business to Dar es Salaam, as transporters and importers from the Great Lakes region continue to reroute cargo to the Central Corridor.
  • Tanzania plans a process of finding a competent global investor to run the port.
  • The United Arab Emirates has in the past few years positioned itself in the region to run a chain of strategic ports in Africa.
ADVERTISEMENT

General Image

By ANTHONY KITIMO
More by this Author
General Image

By APOLINARI TAIRO
More by this Author

The $357 million Dar es Salaam Maritime Gateway Project (DMGP) seems to be bearing fruit: The World Bank has put Dar above its main regional competitor, Mombasa, in a new port efficiency ranking.

The Port of Dar es Salaam rose to position 312 in the 2022 Container Port Performance Index (CPPI) against Mombasa’s position 326 in the survey of 348 ports globally, making it the preferred facility by East African shippers. Djibouti ranked at 26 and the port of Berbera (Somalia) at 144.

The 2021 CPPI report had placed the port of Mombasa at 296, and Dar es Salaam at 316.

The news has been received well in Tanzania, even as comes at a time when legislators are pushing for privatisation of the port to increase efficiency.

Dar port managers attribute the noted success to infrastructure improvements and capacity building, which have helped address operational and physical constraints at the facility.

It goes back to a $345 million credit facility by the International Development Association’s Scale-up Facility and a $12 million grant from the UK’s Department for International Development disbursed in 2017.

DNCOASTKPACRANES1101B
https://www.theeastafrican.co.ke/te...mombasa-cargo-volumes-hit-5-year-low--4202144
 

Attachments

  • 1689230120688.png
    1689230120688.png
    68 bytes · Views: 3
Wewe inaelekea ulikuwa huijui bandari kabla ya Magufuli. Tafuta watu wakueleze bandari ilivyokuwa wakati wa fisadi Kikwete
Fisadi Magufuli.
Pesa ambayo ingetosha kujenga zaidi ya 500km za barabara za lami yeye kaipeleka kujenga daraja moja tu!
 
Kwa hiyo serikali ya CCM imewapa majambazi status ya kuwa above the law, ndio maana inashindwa kuwafunga hata kwa makosa ya uhaini na uhujumu uchumi?
Yes imeshindwa kudeal nao hasa kipindi cha Ngosha.
So ni bora apewe mwekezaji tu...
 
Uongozi ni kuweka mifumo sio makelele wala matisho. Ukiondoka yote yataishia hapo. Weka mifumo na Sheria ambavyo vitakuwa mwongozo kwa yeyote atakayekuja baada yako.
Mbona Samia ameuza wanyamapori wetu kwani kwani sheria inaruhusu? Kwani Wezi na wahujumu uchumi mbona hawa shtakiwi ? Kwani sheria hazipo za kuwashtaki ? Tanzania tatizo uongozi na siyo sheria wala katiba mpya, we unavyo fikiri itungwe sheria Raisi hasiende nje ya nchi bila kualikwa na Rais wa nchi usika unadhani Mama Samia atafata sheria?
 
Back
Top Bottom