MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Tangu 2014 nimekuwa mtumiaji mzuri wa Bandari. Siongei kisiasa.Uongo wa chawa mkubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu 2014 nimekuwa mtumiaji mzuri wa Bandari. Siongei kisiasa.Uongo wa chawa mkubwa
Drink water and mind your businessPathetic
Wakati wa Kikwete mizigo ilikuwa inawahi kutoka ila ufisadi ulikuwa wa kutisha.Wewe inaelekea ulikuwa huijui bandari kabla ya Magufuli. Tafuta watu wakueleze bandari ilivyokuwa wakati wa fisadi Kikwete
Hatuko serious. Tumekabidhi nchi kwa dalali asiye na uchungu na nchi ya Tanganyika.Hoja iliyopo midomoni mwa watumishi wa serikali na watawala nikutuaminisha kwamba mizigo inacheleweshwa bandarini. Lakini miaka miwili nyuma tulisifia sana ufanisi wa bandari. Je haiwezekani kwamba tuliopo sasa tumeiua bandari?
Magufuli aliwezaje kuwatumia watu hawahawa akapata tija hadi sote tukawa tunaimba mafanikio ya JPM? Siyo sisi tuliokuwa tunasifia mabadiliko makubwa kwenye utumishi wa umma?
Lengo letu lakuacha kufanya kwa ufanisi ni ili tuikodishe bandari? Tunanufaikaje hujuma hizi? Kwanini tunapenda kusimama kwamba wenzetu wamehongwa wakati sisi tuliwaaminisha bandari inakwenda vyema?
Kwanini tunamhujumu Rais?