Hayati Magufuli aliweza kuondoa ucheleweshaji mizigo bandarini? Mbona hakutuambia Watanzania hatuwezi? CCM kwanini tunajidhalilisha?

Hatuko serious. Tumekabidhi nchi kwa dalali asiye na uchungu na nchi ya Tanganyika.

Teuzi zake ni udini, hovyo, mikataba kuhusu Tanganyika inawekwa na Wazinbari. Nchi nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…