Hayati Magufuli amekukosea nini kila mara unamkosoa kimafumbo kwa watu mbalimbali?

Hayati Magufuli amekukosea nini kila mara unamkosoa kimafumbo kwa watu mbalimbali?

Usimwamini mwanamke ndio inajidhihirisha sasa kila wakati bi mwarabu anamnanga shujaa hajui watu wanamkubali shujaa kuliko wanavomkubali yeye
 
Alafu bila aibu kila mara anajikimbiza kwenda Chato
Hivi familia ya JPM si wakatae?
wampige marufuku kwenda kwao?
Mtu haishi kumtusi na kumdhihaki marehemu alafu bila aibu eti anakuja kaburini!
Huu unafiki inabidi uwe na mwisho wake!
 
Kwani alichoma magufuli wale vifaranga? Na hata angechoma ingekuwa siyo sawa
 
Alafu bila aibu kila mara anajikimbiza kwenda Chato
Hivi familia ya JPM si wakatae?
wampige marufuku kwenda kwao?
Mtu haishi kumtusi na kumdhihaki marehemu alafu bila aibu eti anakuja kaburini!
Huu unafiki inabidi uwe na mwisho wake!
Hata Mimi huu Unafiki wa SSH hunishangaza.
 
Back
Top Bottom