Hayati Magufuli anashambuliwa kila kona. Siyo kesi, ila mambo yaende; yasipoenda wananchi watawazomea kila kona

Nasubiri baada ya miaka miwili nitawapima kwa indicator zifuatazo
1. Thamani ya pesa yetu shilingi dhidi ya dola ya kimarekani
2. Mfumuko wa bei hasa bei ya mafuta (petrol & Dieseli)
3. Madeni ya nchi
4. Miradi mipya ya maendeleo
5. Ajira
6. Upandaji wa mishahara na madaraja
7. Hospitali mpya na vituo vya afya
8. Huduma za kijamii pamoja na elimu
9. Miundo mbinu ya barabara, reli nk
10. Umaliziwaji wa miradi iliyoachwa
11. Hali ya madawa ya kulevya nchini pamoja na ufisadi
12. Kuongezeka kwa makusanyo serikalini
 
Power and speed is nothing without control,kama ubabe wake wote ule mwisho wake ni huu wizi na ugumu wa maisha tunaoupata,tunaendaje mbele nayeye katukwamisha??tunahitaj kuweka mambo sawa kwanza Ili twende mbele,,that's why unaona lazima hii misukule yake tuipige chini
 
Sawa, lakini alituaminisha kabana mianya ya rushwa kweri kweri kumbe porojo
muulize mtaakamu yeyote wa uhalifu duniani atakuambia unapunguzwa haumalizwi!

Magufuli alijitahidi sana kuupunguxa
 
Kama unapingana na CAG lete naww ushahid wako Ili umsafishe mwendazake,

Ukweli lazima usemwe tuh,alikua kibaka,ni kibaka tuh no way out lazima tuseme
 
Magufuli anavuna alichopanda.
Wakati wa uhai wake mlikuwa mnamshangilia kila afanyalo kwa unafiki tu.

Mlikuwa mnapalilia kitumbua chenu kisiingie mchanga.

Watu walilazimishwa kumshangilia na kumuimbia nyimbo za mapambio.
 
muulize mtaakamu yeyote wa uhalifu duniani atakuambia unapunguzwa haumalizwi!

Magufuli alijitahidi sana kuupunguxa

Kapunguza wapi?angewepo leo hapa ukweli huu tusingeujua,lazima angembana CAG asiongee...

Yule mwizi tuh,na tutaujua ukweli mwingi saiz,tulieni
 
kinachofurahisha zaidi walewale waliompamba, wale wale waliokwenda kupokea ndege kwa mbwembwe - leo hii hata arobaini bado wanahoji Tuendelee kuzinunua ama tusiendeleeee.....? Wale wale waliojenga NYUNGU pale Muhimbili ndiyo walewale leo wanavaa barakoa na jengo lile halina mteja hata mmoja.

Hawa ndiyo wanasiasa na hii ndiyo Tanzania yetu.

Kama unabii ni kutabiri yajayo basi Lema anastahili ..... yote haya aliyatabiri kinagaubaga!!
 

Mkuu kuwa muelewa ,CAG amesema wazi kuna wafanyakazi wa kigeni wameajiriwa kufanya kazi kwenye SGR huku wakiwa hawana vibali vya kufanya kazi nchini.....Kitendo tu cha kufanya kazi bila vibali ina maana serikali imepoteza Tsh 3.5 Bilioni ,ngoja niweke sawa ili kukufurahisha ,serikali imepata faida ya Tsh 3.5 Bilioni kutokana na makusanyo ya vibali vya wafanyakazi wa kigeni wa SGR.

Kama wangekusanya ingekuwa ni Faida kwa serikali ila kama hawajakusanya sijui nini tuite mkuu? Kinyume cha faida ni nini?
 
Mkuu, mbona tulikua tunaambiwa kila pesa iliyokua inatumika ni kutokana na mapato yetu ya ndani? Unataka kusema tulikua tunakopa tena?
 
ungetarajia kwa utu uzima wao ambao wengi wanao na mishahara mikubwa wanayolipwa ingewabadilisha kuwaondoa kwenye unafiki na kuwa wapigania wanyonge kama Magufuli lakini wapi.Hili limenistua .Mijitu ina watoto wakubwa sio tegemezi tena halafu bado minafiki .Shenzi type

Tunakoenda tunahitaji kizazi kipya cha wa wanasiasa hawa wengi waliopo ni hopeless kabisa .
 
SGR haikaleta hasara, fikiria kama isingejengwa je bado ungesema tumepata faida? Kilichokosekana ni tozo ambayo haikulipwa na ambayo hata sasa inaweza kudaiwa na ikalipwa.
 
Nilikua Ddodma St Gemma Hosp huku mtaani kusema Magu mbaya hawakuelewi yaani wamama wale wanamsifia na wanasema kabisa bila Magu mwanangu asingesoma yaani huyu baba sijui yani km tutapata km yeye.Mama SAMIA ajipange sana akifanya masihhara atazomewa kweli
 
Mwendazake ni raisi m'bovu kuwahi kutokea katika sayari hii na karne hii.

Mwendazake alimzidi hadi Mobutu Seseseko Wa Zamboanga Wa Zaire.

Mwendazake alikuwa mropokaji na mkurupukaji sana na amelitia taifa laana kubwa kusema uwongo wake.

Mwendazake alikuwa hajiamini maana alijenga bifu na wafanyabiashara eti serikali ndo ifanye biashara ..

Mwendazake hakupaswa kuzikwa kwa heshima, yeye alipaswa kufanyiwa kama Gaddafi alivyofanyiwa.

Mwendazake bora Mungu alimchukua mapema. Sasa hivi atakuwa kuzimu huko anakaangika kweli kweli.


Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
 
Kura zilipigwa au zililazimishwa kweli kupenda Chongo utaita kengeza
 
Nadhani hata dini hujui kwa Wakristo.Biblia imeandika Mungu hafurahii kifo cha mwenye dhambi.
Ni kweli ila pia inasema "hakika mtenda dhambi atakufa" na imekuwa hivyo. Sema Ameen
 
Ni kweli ila pia inasema "hakika mtenda dhambi atakufa" na imekuwa hivyo. Sema Ameen
Yesu na Manabii na mitume walikufa walikuwa na dhambi ? Wewe utaishi milele?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…