Kama unapingana na CAG lete naww ushahid wako Ili umsafishe mwendazake,Huyu alifurushwa kutoka TRA anaweza akatumiwa vilevile. Sisi tuliona siku ya tatu baada ya maziko hii ripoti kupokelewa na ilikuwa Jumapili.
Wapambe nuksi wakaanza kumchafua mwenda zake kwamba ingekuwa ni yeye angekuwa kanisani akihutubia kutoka madhabahuni. Mungu akawa amewasahaulisha na wakasahau mwendazake ilikuwa ni zake pia kuapisha jumapili.
Mareheme siku ya tatu kaburini watu walianza kumpakaza hii oil chafu kama mafuta.
Magufuli anavuna alichopanda.Spidi aliyokuwa nayo Marehemu Magufuli ya kufanya mambo yaende na kufanyika kwa kasi inayoonekana wazi kwa kila mtu, ni challenge kwa waliopo iwe serikalini au bungeni au Mahakamani kuifikia baada ya kifo chake
Matarajio ya wananchi ni kuwa spidi itakuwa kubwa kuliko ile au itabaki ile ile.
Sasa hivi Marehemu anapondwa sana kuwa ohh alikuwa dikteta mara ohh alikuwa fisadi mara ohh staili yake haifai
Hakuna shida; cha msingi wananchi wanataka mambo yaende. Tukaneni matusi yote ila mwisho wa siku wananchi watalinganisha output yenu watukanaji na ya Magufuli kwenye kugusa maisha ya wananchi wanyonge
Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
Pia katuwachia jinamizi la udokozi wa mali za umma kupitia ufisafiAmetuachia deni la Trillioni 18 katika kipindi chake cha miaka 5 tu. Hili pia linapaswa lilipwe.
muulize mtaakamu yeyote wa uhalifu duniani atakuambia unapunguzwa haumalizwi!
Magufuli alijitahidi sana kuupunguxa
kinachofurahisha zaidi walewale waliompamba, wale wale waliokwenda kupokea ndege kwa mbwembwe - leo hii hata arobaini bado wanahoji Tuendelee kuzinunua ama tusiendeleeee.....? Wale wale waliojenga NYUNGU pale Muhimbili ndiyo walewale leo wanavaa barakoa na jengo lile halina mteja hata mmoja.Spidi aliyokuwa nayo Marehemu Magufuli ya kufanya mambo yaende na kufanyika kwa kasi inayoonekana wazi kwa kila mtu, ni challenge kwa waliopo iwe serikalini au bungeni au Mahakamani kuifikia baada ya kifo chake
Matarajio ya wananchi ni kuwa spidi itakuwa kubwa kuliko ile au itabaki ile ile.
Sasa hivi Marehemu anapondwa sana kuwa ohh alikuwa dikteta mara ohh alikuwa fisadi mara ohh staili yake haifai
Hakuna shida; cha msingi wananchi wanataka mambo yaende. Tukaneni matusi yote ila mwisho wa siku wananchi watalinganisha output yenu watukanaji na ya Magufuli kwenye kugusa maisha ya wananchi wanyonge
Marehemu Magufuli kila kona anakuwa attacked siyo kesi ila mambo yaende yasipoenda wananchi watawazomea kila kona Kila mtakakopita wadhalilisha Magufuli. Mtazomewa na kuambiwa Magufuli angekuwa hai hili lingefanyika na watawazomea.
Kwa akili zako kabisa unasema SGR imeleta hasara? Kweli tuma safari ndefu. Hiyo bilioni 3 ni tozo ya vibali ambayo ingepatikana kama hao wafanyakazi wa kigeni wangelipiwa vibali vya kazi. Kuna idara za serikali zinazopaswa kufanya ukaguzi sehemu za kazi ili kuona kama wafanyakazi wa kigeni wamefuata taratibu. Unaweza kuta kuna kipengele katika mkataba wa ujenzi ambacho kinamruhusu contractor kusamehewa hiyo tozo. Kama hakuna hicho kipengele basi bado idara husika inaweza kudai hizo pesa na zikalipwa. Kudai eti SGR ni hasara inaonyesha aidha unaongozwa na chuki dhidi ya Magufuli au huna uelewa. Kwanza gharama za kujenga SGR ukilinganisha na gharana zilizopangwa kutumika wakati wa JK utaona kuwa mkataba wa sasa ni nafuu mno.
Hajaacha deni tu acha uongo.kaacha vitu vilivyotumia hiyo pesa pia.Eti kaacha deni utafikiri hizo pesa alikopa akaenda kuweka pesa kwenye akaunti yake uswisi.
Lugha ya ki layman utafikiri mtu hata shule hukwenda. Hiyo miradi kila mkoa na wilaya huioni au ? Elimu bure huioni au ? umeme kila kijiji huuoni au? barabara kila kona huoni au? vituo vya afya kote nchini huoni au nk
Kipindi chake nchi ilikuwa inakopesheka na madeni yalikuwa yanalipika bila shida.Wakopeshaji walituamini
Twende sasa ni challenge kwa serikali iliyopo itamudu kukopesheka na kulipa madeni na kuendesha miradi nchi nzima kama Magufuli alivyomudu? muda ni mwalimu mzui.let us wait and see tuone matusi kwa Magufuli kama yana mantiki
ungetarajia kwa utu uzima wao ambao wengi wanao na mishahara mikubwa wanayolipwa ingewabadilisha kuwaondoa kwenye unafiki na kuwa wapigania wanyonge kama Magufuli lakini wapi.Hili limenistua .Mijitu ina watoto wakubwa sio tegemezi tena halafu bado minafiki .Shenzi typekinachofurahisha zaidi walewale waliompamba, wale wale waliokwenda kupokea ndege kwa mbwembwe - leo hii hata arobaini bado wanahoji Tuendelee kuzinunua ama tusiendeleeee.....? Wale wale waliojenga NYUNGU pale Muhimbili ndiyo walewale leo wanavaa barakoa na jengo lile halina mteja hata mmoja.
Hawa ndiyo wanasiasa na hii ndiyo Tanzania yetu.
Kama unabii ni kutabiri yajayo basi Lema anastahili ..... yote haya aliyatabiri kinagaubaga!!
Nikishajibu soma uzi wote
SGR haikaleta hasara, fikiria kama isingejengwa je bado ungesema tumepata faida? Kilichokosekana ni tozo ambayo haikulipwa na ambayo hata sasa inaweza kudaiwa na ikalipwa.Mkuu kuwa muelewa ,CAG amesema wazi kuna wafanyakazi wa kigeni wameajiriwa kufanya kazi kwenye SGR huku wakiwa hawana vibali vya kufanya kazi nchini.....Kitendo tu cha kufanya kazi bila vibali ina maana serikali imepoteza Tsh 3.5 Bilioni ,ngoja niweke sawa ili kukufurahisha ,serikali imepata faida ya Tsh 3.5 Bilioni kutokana na makusanyo ya vibali vya wafanyakazi wa kigeni wa SGR.
Kama wangekusanya ingekuwa ni Faida kwa serikali ila kama hawajakusanya sijui nini tuite mkuu? Kinyume cha faida ni nini?
Nilikua Ddodma St Gemma Hosp huku mtaani kusema Magu mbaya hawakuelewi yaani wamama wale wanamsifia na wanasema kabisa bila Magu mwanangu asingesoma yaani huyu baba sijui yani km tutapata km yeye.Mama SAMIA ajipange sana akifanya masihhara atazomewa kweliHajaacha deni tu acha uongo.kaacha vitu vilivyotumia hiyo pesa pia.Eti kaacha deni utafikiri hizo pesa alikopa akaenda kuweka pesa kwenye akaunti yake uswisi.
Lugha ya ki layman utafikiri mtu hata shule hukwenda. Hiyo miradi kila mkoa na wilaya huioni au ? Elimu bure huioni au ? umeme kila kijiji huuoni au? barabara kila kona huoni au? vituo vya afya kote nchini huoni au nk
Kipindi chake nchi ilikuwa inakopesheka na madeni yalikuwa yanalipika bila shida.Wakopeshaji walituamini
Twende sasa ni challenge kwa serikali iliyopo itamudu kukopesheka na kulipa madeni na kuendesha miradi nchi nzima kama Magufuli alivyomudu? muda ni mwalimu mzui.let us wait and see tuone matusi kwa Magufuli kama yana mantiki
Ameharibu snAmetuachia deni la Trillioni 18 katika kipindi chake cha miaka 5 tu. Hili pia linapaswa lilipwe.
Na hao ndio population kubwa ya Tanzania zaidi ya asilimia 80 na ndio wanyonge wenyewe waliompigia kura na ndio alijitahidi kuwapelekea miradi mingi na elimu bure nk
Ndio aliosimama nao.Lisu alisimama na wanaoielewa akaambulia kura milioni moja
Magufuli akasimama na wasiojielewa wenye elimu duni na uelewa duni na machinga na ma ntilie nk.
Nakubaliana na wewe alisimama na wengi wa chini hakusimama na wachaje wa juu au middle class
Ni kweli ila pia inasema "hakika mtenda dhambi atakufa" na imekuwa hivyo. Sema AmeenNadhani hata dini hujui kwa Wakristo.Biblia imeandika Mungu hafurahii kifo cha mwenye dhambi.