Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayepigania "regase" ni majinga kama weye mccm!Nani apiganie upumbavu wake?😝😝😝😝😝Upinzani unapata shida sana mpaka sasa kupambana na legacy yake. Jpm ndio aliwapoteza upinzani kwa wananchi kwa kupiga kazi. Sasa hivi wako bize kumchafua ila wapi...
😝😝😝😝😝😝😝JPM is our country's best president so far, and his wonderful legacy lives to date.
Wamekwama!Upinzani unapata shida sana mpaka sasa kupambana na legacy yake. Jpm ndio aliwapoteza upinzani kwa wananchi kwa kupiga kazi. Sasa hivi wako bize kumchafua ila wapi...
Hata mimi nilitegemea utafanya hivyo.Naunga mkono hoja
P
Toka nje uote jua kipara king'ae!Wamekwama!
Hata shetani ana wafuasi ni natureHata Adolf Hitler anakumbukwa hadi leo, miaka 76 baada ya kifo chake. Kukumbukwa si kigezo cha kuwa mtu alikuwa bora.
Wengine wanaokumbukwa:
Na wengine wengi wa aina hiyo. Na wote hao wana mashabiki wao wanaoamini kuwa hao watu walikuwa viongozi wazuri sana wa kuigwa.
- Idi Amin wa Uganda
- Jean Bedel Bokassa wa Central Africa Republic
- P.W. Botha kaburu mbaguzi mkuu wa South Africa
- Pol Pot wa Cambodia
- Samuel Doe wa Liberia
Kwa hiyo si ajabu ukiwa shabiki wa huyo uliyeamua kumshabikia. Walisema wahenga "ndege wafananao huruka pamoja".
Ruka naye tu kaka Pascal Mayalla
Hivi sasa anapambana kujibu mashtaka ya mauaji ya watanzania wasio na hatiaRIP THE BEST EVER PRESIDENT OF JMT, MUNGU ALIMTUMA KUFANYA KAZI MAALUM YA KUWEKA MIFANO KISHA AKAMUITA AKAMPE KAZI NYINGINE YA UTUKUFU MBINGUNI....
I miss my President soo much...
Huku analia na kupiga pushapu za mgambo!😝😝😝😝Hivi sasa anapambana kujibu mashtaka ya mauaji ya watanzania wasio na hatia
Umekalia nyama ndefu naona unatekenywa eeeh...Anayepigania "regase" ni majinga kama weye mccm!Nani apiganie upumbavu wake?😝😝😝😝😝
Kwa kweli jiwe katupa ccm ujasiri wa kutumia polisi vizuri, kikwete alisambaza maandamano kwa majiwasha lkn chuma kilisambaza maandamano kwa risasi za Moto, tunawasubiri waingie road wakione Cha Moto.RIP THE BEST EVER PRESIDENT OF JMT, MUNGU ALIMTUMA KUFANYA KAZI MAALUM YA KUWEKA MIFANO KISHA AKAMUITA AKAMPE KAZI NYINGINE YA UTUKUFU MBINGUNI....
I miss my President soo much...
Hata kwenda chooni alikuwa analindwa na 'battalion'Kwa kweli jiwe katupa ccm ujasiri wa kutumia polisi vizuri, kikwete alisambaza maandamano kwa majiwasha lkn chuma kilisambaza maandamano kwa risasi za Moto, tunawasubiri waingie road wakione Cha Moto.
Haujaacha tabia zako chafu?Utapewa ujauzito uzeeni,chunga!Umekalia nyama ndefu naona unatekenywa eeeh...
Lkn tumekuja kumpoteza Kama vile unabada panzi, hakuna nguvu ya masilaha iliyotumika kumpoteza mwamba.Hata kwenda chooni alikuwa analindwa na 'battalion'
MzilankendeMagufuli alikuwa mbakaji wa demokrasia
Kwahiyo unafikiri alitumia nguvu kubwa kuua upinzani ilhali uliishajifia sio? Hapo nimekuelewa.Magufuli hakuwa great thinker. Nguvu nyingi sana alizitumia sehemu hata ambapo hazikuhitajika
Anawanyima usingizi nyie MATAGA ambao kwa upande mmoja mmegoma kabisa kuamini kuwa Mwendazake amefariki, na upande mwingine mnaendelea na ndoto za alinacha kuwa "ataendelea kuwa hai kupitia the so-called legacy yake."Historia imeandikwa na hakuna anaeweza ifuta kwamba John Pombe Magufuli ni rais bora kabisa kuwahi kutokea Africa.
Dunia nzima na Watanzania wote wanajua namna alivyoipenda nchi yake na namna alivyowapigania Watanzania haswa wale wa hali ya chini.
Hii ni kitu hakuna anaeweza kuja kuifuta hata ishuke mbingu leo. Watoto wa uswahilini wanasemaga "imeisha iyooo"
Lakini wapinzani wa nchi hii hiyo kitu hawataki kabisa kukubaliana nayo, na ni kama bado wanamuogopa sana Magufuli.
Bado wamewekeza kupambana na Magufuli, wakilala wakiamka anaewasumbua sio kiongozi aliye madarakani. Wao anaewasumbua ni marehemu aliyepumzika kabulini.
Ama kwa hakika CCM inapaswa kujivunia sana Magu maana kama ni kazi ya kusimamisha chama dola aliifanya kwa mafanikio makubwa.
Haya mashambulizi ya wapinzani kwa marehemu inaonesha kabisa wanajua aliyewafuta kwenye ulimwengu wa siasa wanamjua na wanajua mpaka wananchi wamewapuuza na still wanamuamini sana hayati Magufuli.
Kiukweli hawaamini wanachokiona, mtu amekufa lakini bado ana nguvu mitaani kushinda walio hai.
Kuna siku atatokea mwanasiasa ataubiri sera na misimamo ya Magufuli na atawasumbua sana wapinzani.
Mama Samia amesafishiwa njia anachotakiwa ni kuteleza tu kwa kasi kubwa.