Hayati Magufuli bado anawanyima usingizi wapinzani wa Tanzania

Hayati Magufuli bado anawanyima usingizi wapinzani wa Tanzania

Upinzani unapata shida sana mpaka sasa kupambana na legacy yake. Jpm ndio aliwapoteza upinzani kwa wananchi kwa kupiga kazi. Sasa hivi wako bize kumchafua ila wapi...
Anayepigania "regase" ni majinga kama weye mccm!Nani apiganie upumbavu wake?😝😝😝😝😝
 
Hata Adolf Hitler anakumbukwa hadi leo, miaka 76 baada ya kifo chake. Kukumbukwa si kigezo cha kuwa mtu alikuwa bora.
Wengine wanaokumbukwa:
  1. Idi Amin wa Uganda
  2. Jean Bedel Bokassa wa Central Africa Republic
  3. P.W. Botha kaburu mbaguzi mkuu wa South Africa
  4. Pol Pot wa Cambodia
  5. Samuel Doe wa Liberia
Na wengine wengi wa aina hiyo. Na wote hao wana mashabiki wao wanaoamini kuwa hao watu walikuwa viongozi wazuri sana wa kuigwa.
Kwa hiyo si ajabu ukiwa shabiki wa huyo uliyeamua kumshabikia. Walisema wahenga "ndege wafananao huruka pamoja".
Ruka naye tu kaka Pascal Mayalla
Hata shetani ana wafuasi ni nature

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Wapinzani hawapambani na John mtoto wa Magufuli ila wanapamba na raisi wa awamu ya tano ili watawala wengine wasije kufanya Yale ambayo kwao waliona hayakua mazuri.. Ni jambo la kawaida kwene siasa na ulimwengu wa utawala... Hata Burundi nkurunzinza kafariki lakini warundi hasa waliokuwa wapinzani huendelea kuongelea utawala wake, hiyo ni jambo la kawaida Dunian kote once ikishika nafasi ya umma hata ufe people will still talk about your regime.... Hamna binadamu anaeogopa mtu aliekufa hiyo haipo labda kama anamatatizo yake ya akili[emoji23]..
 
RIP THE BEST EVER PRESIDENT OF JMT, MUNGU ALIMTUMA KUFANYA KAZI MAALUM YA KUWEKA MIFANO KISHA AKAMUITA AKAMPE KAZI NYINGINE YA UTUKUFU MBINGUNI....
I miss my President soo much...
Kwa kweli jiwe katupa ccm ujasiri wa kutumia polisi vizuri, kikwete alisambaza maandamano kwa majiwasha lkn chuma kilisambaza maandamano kwa risasi za Moto, tunawasubiri waingie road wakione Cha Moto.
 
Kwa kweli jiwe katupa ccm ujasiri wa kutumia polisi vizuri, kikwete alisambaza maandamano kwa majiwasha lkn chuma kilisambaza maandamano kwa risasi za Moto, tunawasubiri waingie road wakione Cha Moto.
Hata kwenda chooni alikuwa analindwa na 'battalion'
 
Historia imeandikwa na hakuna anaeweza ifuta kwamba John Pombe Magufuli ni rais bora kabisa kuwahi kutokea Africa.

Dunia nzima na Watanzania wote wanajua namna alivyoipenda nchi yake na namna alivyowapigania Watanzania haswa wale wa hali ya chini.

Hii ni kitu hakuna anaeweza kuja kuifuta hata ishuke mbingu leo. Watoto wa uswahilini wanasemaga "imeisha iyooo"

Lakini wapinzani wa nchi hii hiyo kitu hawataki kabisa kukubaliana nayo, na ni kama bado wanamuogopa sana Magufuli.

Bado wamewekeza kupambana na Magufuli, wakilala wakiamka anaewasumbua sio kiongozi aliye madarakani. Wao anaewasumbua ni marehemu aliyepumzika kabulini.

Ama kwa hakika CCM inapaswa kujivunia sana Magu maana kama ni kazi ya kusimamisha chama dola aliifanya kwa mafanikio makubwa.

Haya mashambulizi ya wapinzani kwa marehemu inaonesha kabisa wanajua aliyewafuta kwenye ulimwengu wa siasa wanamjua na wanajua mpaka wananchi wamewapuuza na still wanamuamini sana hayati Magufuli.

Kiukweli hawaamini wanachokiona, mtu amekufa lakini bado ana nguvu mitaani kushinda walio hai.

Kuna siku atatokea mwanasiasa ataubiri sera na misimamo ya Magufuli na atawasumbua sana wapinzani.

Mama Samia amesafishiwa njia anachotakiwa ni kuteleza tu kwa kasi kubwa.
Anawanyima usingizi nyie MATAGA ambao kwa upande mmoja mmegoma kabisa kuamini kuwa Mwendazake amefariki, na upande mwingine mnaendelea na ndoto za alinacha kuwa "ataendelea kuwa hai kupitia the so-called legacy yake."

Tatizo la nyie wahuni, "kila baya" lahusu WAPINZANI. Mfarakano kuhusu Magufuli upo ndani ya CCM, lakini haiwazuwii ninyi kugeuza kuwa suala hilo limebebwa na WAPINZANI.

Bottom line is, MTAPATA SHIDA SANA unless you come to terms with the reality kuwa Mwendazake is gone.... forever.
 
Back
Top Bottom