SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Uzao kama wewe ni matumizi mabaya ya maniiKwahiyo unafikiri alitumia nguvu kubwa kuua upinzani ilhali uliishajifia sio? Hapo nimekuelewa.
Làbda anawanyima usingizi hao waliokuzaa, nobody elseHistoria imeandikwa na hakuna anaeweza ifuta kwamba John Pombe Magufuli ni rais bora kabisa kuwahi kutokea Afrika.
Dunia nzima na Watanzania wote wanajua namna alivyoipenda nchi yake na namna alivyowapigania Watanzania haswa wale wa hali ya chini.
Hii ni kitu hakuna anaeweza kuja kuifuta hata ishuke mbingu leo. Watoto wa uswahilini wanasemaga "imeisha iyooo"
Lakini wapinzani wa nchi hii hiyo kitu hawataki kabisa kukubaliana nayo, na ni kama bado wanamuogopa sana Magufuli.
Bado wamewekeza kupambana na Magufuli, wakilala wakiamka anaewasumbua sio kiongozi aliye madarakani. Wao anaewasumbua ni marehemu aliyepumzika kabulini.
Ama kwa hakika CCM inapaswa kujivunia sana Magu maana kama ni kazi ya kusimamisha chama dola aliifanya kwa mafanikio makubwa.
Haya mashambulizi ya wapinzani kwa marehemu inaonesha kabisa wanajua aliyewafuta kwenye ulimwengu wa siasa wanamjua na wanajua mpaka wananchi wamewapuuza na still wanamuamini sana hayati Magufuli.
Kiukweli hawaamini wanachokiona, mtu amekufa lakini bado ana nguvu mitaani kushinda walio hai.
Kuna siku atatokea mwanasiasa ataubiri sera na misimamo ya Magufuli na atawasumbua sana wapinzani.
Mama Samia amesafishiwa njia anachotakiwa ni kuteleza tu kwa kasi kubwa.
JPM ni talk of the town....kila kona kuna kilio cha kumkumbuka JPM...hata ukimchukia vipi kuna namna lazima ukubali aliweza kuconnect na watu wa chini.. ndio maana bado wapinzani wanamuona ni kikwazo kwaoWapinzani hawapambani na John mtoto wa Magufuli ila wanapamba na raisi wa awamu ya tano ili watawala wengine wasije kufanya Yale ambayo kwao waliona hayakua mazuri.. Ni jambo la kawaida kwene siasa na ulimwengu wa utawala... Hata Burundi nkurunzinza kafariki lakini warundi hasa waliokuwa wapinzani huendelea kuongelea utawala wake, hiyo ni jambo la kawaida Dunian kote once ikishika nafasi ya umma hata ufe people will still talk about your regime.... Hamna binadamu anaeogopa mtu aliekufa hiyo haipo labda kama anamatatizo yake ya akili[emoji23]..
Karibu Tanzania upite kwenye mitaa usikie wananchi wanayoongea kila leo kuhusu JPM.... mtaani ni hero upende ama usipende.Anawanyima usingizi nyie MATAGA ambao kwa upande mmoja mmegoma kabisa kuamini kuwa Mwendazake amefariki, na upande mwingine mnaendelea na ndoto za alinacha kuwa "ataendelea kuwa hai kupitia the so-called legacy yake."
Tatizo la nyie wahuni, "kila baya" lahusu WAPINZANI. Mfarakano kuhusu Magufuli upo ndani ya CCM, lakini haiwazuwii ninyi kugeuza kuwa suala hilo limebebwa na WAPINZANI.
Bottom line is, MTAPATA SHIDA SANA unless you come to terms with the reality kuwa Mwendazake is gone.... forever.
Point! Ameua wengi. Alaaniwe huko alikoKile kizee kilikuwa hayawani kwerikweri!Kuna msemo wa Kingoni kwamba..."I will forgive but not forget it"...! Kiumbe aliumiza watu anaweza kusamehewa,as long as he's gone for good.Ila hatosahaulika na kusemwa.
Ni jambo la kawaida kwa kila kiongozi unapokua madarakani lazm utakubalika mahala nakuna mahala hutokubalika... Hata wakati wa JPM Kuna watu weng tu waliona ni heri wakati wa JK, kumbuka nchi ya Tanzania haina watu wa hali ya Chini peke ake... Uwe Chini au juu maadam ww ni mtanzania unahaki ya kuneemeka na uongozi uliopo madarakani... Ni sahihi Kuna maeneo wanamkumbuka lakn kaa ukijua sio watu wote na pia vilevile Kuna wa Tz kibao wanaona afadhali wanaona samia ni bora kuliko JPM... Na ndo Maan ikaitwa nchi inawatu wengi so huwezi ukawa please wote JPM hakuwa Mungu... Kama nyerere baba wa Taifa alisemwa na kusimangwa who is magufuliJPM ni talk of the town....kila kona kuna kilio cha kumkumbuka JPM...hata ukimchukia vipi kuna namna lazima ukubali aliweza kuconnect na watu wa chini.. ndio maana bado wapinzani wanamuona ni kikwazo kwao
Kamfuate umbusu. Wewe itakuwa muuaji uliyetekeleza mauaji yote kwa amri yakeRIP THE BEST EVER PRESIDENT OF JMT, MUNGU ALIMTUMA KUFANYA KAZI MAALUM YA KUWEKA MIFANO KISHA AKAMUITA AKAMPE KAZI NYINGINE YA UTUKUFU MBINGUNI....
I miss my President soo much...
Nawewe si ni Kaburu tu mweusi Kama unàunga mkono udhalimu na mauaji ya JiweNaunga mkono hoja
P
Stop nonsense, Hilo jitu limeua watu! Mengine ya kuona Mali naweza samehe, lkn siyo roho za watu.JPM ameshafariki,lakini bado kuna watu wanateseka naye, Pamoja na wao kwa sasa kushika madaraka, vyeo kushangilia kifo chake.
Bado wanajihisi inferior mbele marehemu
jamaa alikuwa chuma kweli kweli, jiwe hasa
Hata hivyo wote tutakufa, na kifo sio adhabu
Wakati mwingine msiwe mnaweka upumbavu wenu in public, Magufuli alikuwa muuaji katili asiye na huruma ndo maana Mungu alimchukua haraka ili kuinusuru Tanzania, nyie mnaomwambudu hamieni Chato kwenye kaburi lake labda atafufuka aje kuwaongozaHistoria imeandikwa na hakuna anaeweza ifuta kwamba John Pombe Magufuli ni rais bora kabisa kuwahi kutokea Afrika.
Dunia nzima na Watanzania wote wanajua namna alivyoipenda nchi yake na namna alivyowapigania Watanzania haswa wale wa hali ya chini.
Hii ni kitu hakuna anaeweza kuja kuifuta hata ishuke mbingu leo. Watoto wa uswahilini wanasemaga "imeisha iyooo"
Lakini wapinzani wa nchi hii hiyo kitu hawataki kabisa kukubaliana nayo, na ni kama bado wanamuogopa sana Magufuli.
Bado wamewekeza kupambana na Magufuli, wakilala wakiamka anaewasumbua sio kiongozi aliye madarakani. Wao anaewasumbua ni marehemu aliyepumzika kabulini.
Ama kwa hakika CCM inapaswa kujivunia sana Magu maana kama ni kazi ya kusimamisha chama dola aliifanya kwa mafanikio makubwa.
Haya mashambulizi ya wapinzani kwa marehemu inaonesha kabisa wanajua aliyewafuta kwenye ulimwengu wa siasa wanamjua na wanajua mpaka wananchi wamewapuuza na still wanamuamini sana hayati Magufuli.
Kiukweli hawaamini wanachokiona, mtu amekufa lakini bado ana nguvu mitaani kushinda walio hai.
Kuna siku atatokea mwanasiasa ataubiri sera na misimamo ya Magufuli na atawasumbua sana wapinzani.
Mama Samia amesafishiwa njia anachotakiwa ni kuteleza tu kwa kasi kubwa.
Upumbavu wako uliwahi kukusaidia mara ngapi?DOMOKRASIA.
Habari.Historia imeandikwa kwa jitu katili , muuaji kuwahi kutawala Tanzania.
Azory Gwanda, Ben Saanane, maiti za kwenye sandarusi Coco Beach, MKIRU
Wewe ndo unapaswa kuacha upuuzi, Jamaa ni marehemu lakini bado unahangaika nae.Stop nonsense, Hilo jitu limeua watu! Mengine ya kuona Mali naweza samehe, lkn siyo roho za watu.
Yaani duniani Mtu kama Magufuli hutokea mtu mmoja kwa karne moja!
Ni HAKI yangu KIDOMOKRASIA kutopangiwa HOJA ya Kuchangia.Upumbavu wako uliwahi kukusaidia mara ngapi?
Kumbe kuwapoteza wapinzani kwa ukatili wa kuua na kubambika kesi nayo ni sifa?Upinzani unapata shida sana mpaka sasa kupambana na legacy yake. Jpm ndio aliwapoteza upinzani kwa wananchi kwa kupiga kazi. Sasa hivi wako bize kumchafua ila wapi...
Best president wa kuua na kubambika kesi?Naunga mkono hoja, hata mimi hili niliwahi kulisema humu
PRais Magufuli, so far, is the best president this country has ever had. Msikivu, ana upendo na huruma. Atabarikiwa sana. Tanzania itabarikiwa!
Wanabodi ANGALIZO: Naomba kuanza bandiko hili kwa angalizo, kuna watu humu wana allergy kila rais Magufuli akisifiwa na kupongezwa kila ananapofanya jambo zuri, au jambo jema lolote, wao wanakasirika, hivyo rais Magufuli akipongezwa kwa mazuri yoyote au mafanikio yoyote, wao wananuna...www.jamiiforums.com
Naunga mkono hoja ile ya zamani imenyofolewa kipengele cha ukomo!Huwa wanatokea wengi sana ila sio wote huwa wanafanikiwa kuyakwaa madaraka makubwa.
Tunahitaji katiba mpya.
Umerogwa sio bure!Toka nje uote jua kipara king'ae!