Hayati Magufuli hakuwa Dikteta

Hayati Magufuli hakuwa Dikteta

View attachment 2862194
Magufuli hakuwa Dikteta kama baadhi ya wananchi walivyokuwa wakimlaani
Alikuwa akichukizwa na watu vigeugeu au wasaliti

Alitaka akiagiza tufanye kazi basi tufanye wote sio wengine waende kinyume

Na jambo jema ni kuwa maagizo yake yalikuwa ya kuleta maendeleo

Tatizo la Watanzania 80% ni vigeugeu na wasaliti waliokubuhu
Mnakubaliana jambo wote lakini wote wanasaliti na kwenda kinyume ndio maana Tanzania inasuasua sana kwenye maendeleo

Tatizo hili ndilo lililomchukiza Mh Magufuli na alipokuwa mkali wakaanza kumlaani

Hata Shetani aliacha razi kwa Wanadamu akasema ninyi wanadamu mnanitukana kila siku na kumsifia Mungu wakati amewaandalia moto wa kuwachoma
Mnanitukana kwasababu mpo hai ila mtakapokufa mtatumbukia kwenye moto wa milele aliowaandalia

Siku zenu za kuchomwa moto wake ndipo mtamlaani kuwa ni katili na mtajuta sana mkilia na kulaani kuwa anawakatili
Wote tunajua alikuwa dictator uchwara kuelekeza dictator kamili wewe unakuja na swaga zako za kula mihogo asubuhi. Punguza kula mihogo mana siyo mizuru kwa afya yako
 
Hapana, utakapokumbana na watu vigeugeu na wasaliti na ukachukua hatua ndipo utaitwa dikteta
Wakurugenzi mpinzani akishinda eneo lako huna kazi... uchaguzi umepita, tufanye kazi hakuna mikutano mpaka miaka 5 ipite....Spika watoe nje wapinzani, wakijua huku nje nawashughulikia...Mhimili ni mmoja tu uliojichimba chini, Hawa wengine( mahakama na bunge) wanangoja kupakuliwa kilichoiva jikoni...


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Katika nchi iliyojaa uozo wa maadili,wizi na uhuni,hiyo nchi ni ngumu kwa kiongozi anayejitambua.Katika nchi ambayo kuna kikundi cha watu ambacho kina nguvu kubwa kuliko Serikali,hiyo nchi ngumu sana kwa kiongozi anayejitambua.Katika nchi ambayo vijana wengi wameshughulishwa na kamari,pool table,Simba, Yanga,Man U,Real Madrid,fb,istagram n.k hiyo nchi ni ngumu sana kwa kiongozi anayejitambua.
 
Alitaka amalize kila kitu yeye,kila rais anafanya kwa sehemu yake.Ni sawa na chura anaevimba gari ikipita lazima apasuke.Do for your portion then relax,hii nchi ngumu na kubwa huwezi maliza maadui au vita ya uchumi na ufisadi kwa miaka kumi
 
Katika nchi iliyojaa uozo wa maadili,wizi na uhuni,hiyo nchi ni ngumu kwa kiongozi anayejitambua.Katika nchi ambayo kuna kikundi cha watu ambacho kina nguvu kubwa kuliko Serikali,hiyo nchi ngumu sana kwa kiongozi anayejitambua.Katika nchi ambayo vijana wengi wameshughulishwa na kamari,pool table,Simba, Yanga,Man U,Real Madrid,fb,istagram n.k hiyo nchi ni ngumu sana kwa kiongozi anayejitambua.
Hii nchi kila siku itakuwa ikitamani nchi zilizoendelea kwasababu ya kuwasaliti viongozi wanaojielewa
Asilimia 80% ya watanzania ni wasaliti na vigeugeu kwahiyo kiongozi mwenye akili kama Magufuli atapata shida sana kuwaendesha kwasababu hawana msimamo
 
Tatizo la Watanzania 80% ni vigeugeu na wasaliti waliokubuhu
Mnakubaliana jambo wote lakini wote wanasaliti na kwenda kinyume ndio maana Tanzania inasuasua sana kwenye maendeleo
Watanzania gani walikubaliana nini? wapi? kwa namna gani?
 
View attachment 2862194
Magufuli hakuwa Dikteta kama baadhi ya wananchi walivyokuwa wakimlaani
Alikuwa akichukizwa na watu vigeugeu au wasaliti

Alitaka akiagiza tufanye kazi basi tufanye wote sio wengine waende kinyume

Na jambo jema ni kuwa maagizo yake yalikuwa ya kuleta maendeleo

Tatizo la Watanzania 80% ni vigeugeu na wasaliti waliokubuhu
Mnakubaliana jambo wote lakini wote wanasaliti na kwenda kinyume ndio maana Tanzania inasuasua sana kwenye maendeleo

Tatizo hili ndilo lililomchukiza Mh Magufuli na alipokuwa mkali wakaanza kumlaani

Hata Shetani aliacha razi kwa Wanadamu akasema ninyi wanadamu mnanitukana kila siku na kumsifia Mungu wakati amewaandalia moto wa kuwachoma
Mnanitukana kwasababu mpo hai ila mtakapokufa mtatumbukia kwenye moto wa milele aliowaandalia

Siku zenu za kuchomwa moto wake ndipo mtamlaani kuwa ni katili na mtajuta sana mkilia na kulaani kuwa anawakatili
Kwahiyo Lissu alikuwa ni kigeugeu?
 
View attachment 2862194
Magufuli hakuwa Dikteta kama baadhi ya wananchi walivyokuwa wakimlaani
Alikuwa akichukizwa na watu vigeugeu au wasaliti

Alitaka akiagiza tufanye kazi basi tufanye wote sio wengine waende kinyume

Na jambo jema ni kuwa maagizo yake yalikuwa ya kuleta maendeleo

Tatizo la Watanzania 80% ni vigeugeu na wasaliti waliokubuhu
Mnakubaliana jambo wote lakini wote wanasaliti na kwenda kinyume ndio maana Tanzania inasuasua sana kwenye maendeleo

Tatizo hili ndilo lililomchukiza Mh Magufuli na alipokuwa mkali wakaanza kumlaani

Hata Shetani aliacha razi kwa Wanadamu akasema ninyi wanadamu mnanitukana kila siku na kumsifia Mungu wakati amewaandalia moto wa kuwachoma
Mnanitukana kwasababu mpo hai ila mtakapokufa mtatumbukia kwenye moto wa milele aliowaandalia

Siku zenu za kuchomwa moto wake ndipo mtamlaani kuwa ni katili na mtajuta sana mkilia na kulaani kuwa anawakatili
Mimi ni aina ya wa watu mfano wa JPM ila wengine Tupo mbali na siasa...
 
Mimi ni aina ya wa watu mfano wa JPM ila wengine Tupo mbali na siasa...
Huyu tuliokuwa naye haweiz kukemia hata nzi ndo maana kila kitu mambo hayaendi miradi kila siku visingizio kila kona akija kiongozi akaachana na mambo ya mchakato tunaona shida.. lakin tukuenda kwa nchi za wenzetu tunataman miji yao ilovyopangiliwa
 
Back
Top Bottom