Wimbo
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 866
- 625
NIiwakumbushe tu kitu kimoja, ukiyabeza ya mwenzio ya kwako yatafanywa hivyo hiyo.
Nizungumzie kitu kidogo tu cha usafi wa mazingira yetu ambalo lilikuwa ni maono ya kwanza ya JPM alipoingia madarakani, na ikapitishwa siku ya jumamosi ya mwisho wa mwezi watu wote tufanye usafi wa maeneo yetu.
Suala hili limezikwa pamoja naye kwani lilikuwa na ubaya gani, mifuko ya plastiki iliyokuwa imeharamishwa sasa inaonekana kwa kasi, hivi tuna tatizo gani? je?
Tuamini kwamba Dr Rais Samia akimaliza kipindi chake tutaacha kupanda miti?
Tutarudi kwenye kutumia kuni?
Tujisahihishe hii tabia haina Afya kwa Nchi yetu.
Nizungumzie kitu kidogo tu cha usafi wa mazingira yetu ambalo lilikuwa ni maono ya kwanza ya JPM alipoingia madarakani, na ikapitishwa siku ya jumamosi ya mwisho wa mwezi watu wote tufanye usafi wa maeneo yetu.
Suala hili limezikwa pamoja naye kwani lilikuwa na ubaya gani, mifuko ya plastiki iliyokuwa imeharamishwa sasa inaonekana kwa kasi, hivi tuna tatizo gani? je?
Tuamini kwamba Dr Rais Samia akimaliza kipindi chake tutaacha kupanda miti?
Tutarudi kwenye kutumia kuni?
Tujisahihishe hii tabia haina Afya kwa Nchi yetu.