Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Hayo sie hayatuhusu ni ya kwake yeye na Mungu wake kama ilivyo mazuri yako wewe ni kwa faida yako, sie tunamzungumzia katika nafasi ya uongozi.Ni mabaya tu maana Hana lolote zuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo sie hayatuhusu ni ya kwake yeye na Mungu wake kama ilivyo mazuri yako wewe ni kwa faida yako, sie tunamzungumzia katika nafasi ya uongozi.Ni mabaya tu maana Hana lolote zuri
Unawazungumzia nani akina Nape au?Hakubaliki na hatokubalika
Mazuri yake si yatatusaidia nini hayo yana muhusu yeye na Mungu wake, hapa tunazungumzia kama kiongozi.Hana zuri hata moja kenge huyo
Alikuwa mtu sahihi kwa wakati sahih kwa nchi husika, yazingatie hayo ili uelewe kwanini watu wanamkumbuka Magufuli pamoja na kuwa hakuwa na sifa za uongozi na ni dikteta maana wengi mnashindwa kuelewa kwanini watu wamkumbuke ili hali nyie mnamchukia na kumuelezea kwa kila aina ya ubaya.Hakuwa na sifa ya uongozi. Alikuwa ni Nduli na dikteta