Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Baba yakoAlimuua mama yako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba yakoAlimuua mama yako?
Ni mabaya tu maana Hana lolote zuriHata wewe unaweza ukamuelezea mazuri yake wakati mwengine bila kuongozwa na chuki kwake inayokufanya umuelezee kwa mabaya tu wakati wote kila anapotajwa Magufuli.
Hakubaliki na hatokubalikaHao jamaa hutoweza kuwaelewa maana watakwambia kipindi cha Magufuli watu wengi walimuogopa hivyo hawakuwa wakimkosoa wala kumpinga ila hapo hapo watakwambia watu wengi waliuliwa kimya kimya kwa kumkosoa na kumpinga Magufuli.
Safi sanaKwani Idd Amin alimuua mama yako? Mbona kila siku tunamuita muuaji? JPM alikua katili na haiwezi badilika.
Ubaya wa hali ya juu sanaMawazo hakuuwawa? Saanane? Lissu hakupigwa risasi? Azory gwanda? Na JPM mwenyewe alimpa maagizo Ndugai kuwa awatimue bungeni ili wakitoka nje awashughulikie!! Alafu mnataka kumtetea huyi mkatili?
Mimi binafsi kata nayoishi kuna wafanyabiashara wakubwa wawili walikua ndio wanadhamini CHADEMA. Moja ana hardware kubwa sana mwingine ni mwanajeshi mstaafu, eeh bwana JPM alipoingia alihakikisha anawaharass biashara zao na kutishia kuzifunga. So mpaka inafika 2020 hata pesa ya kulipia kodi ya ofisi ilikua kipengele. Imagine hiyo ni kata moja? Je kwingine ilikuaje hali? Acheni kutetea ujinga.
Mtu aliyeua watu na kubambikizia watu kesi anawezaje kuwa kiongozi wa malaika? Mpo serious kweli nyie majuha?Mtanikumbuka .......ni heri siku moja nikawe kiongozi wa malaika...
Juha mkuu kwenye ubora wako!Mtu aliyeua watu na kubambikizia watu kesi anawezaje kuwa kiongozi wa malaika? Mpo serious kweli nyie majuha?
Vuta ni kuvute!Huna cha kuandika wewe chawa
Kwanye ulanzi utulie!Tunayakumbuka mabaya yake
Kalime ming'oko na kukamata panyaBaba yako
Hakuwa na sifa ya uongozi. Alikuwa ni Nduli na diktetaHatuzungumzii uuwaji hapa, kiongozi ni zaidi ya kutokuwa muuwaji au katili.
"Na Mimi nataka niseme Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"NIiwakumbushe tu kitu kimoja, ukiyabeza ya mwenzio ya kwako yatafanywa hivyo hiyo.
Nizungumzie kitu kidogo tu cha usafi wa mazingira yetu ambalo lilikuwa ni maono ya kwanza ya JPM alipoingia madarakani, na ikapitishwa siku ya jumamosi ya mwisho wa mwezi watu wote tufanye usafi wa maeneo yetu.
Suala hili limezikwa pamoja naye kwani lilikuwa na ubaya gani, mifuko ya plastiki iliyokuwa imeharamishwa sasa inaonekana kwa kasi, hivi tuna tatizo gani? je?
Tuamini kwamba Dr Rais Samia akimaliza kipindi chake tutaacha kupanda miti?
Tutarudi kwenye kutumia kuni?
Tujisahihishe hii tabia haina Afya kwa Nchi yetu.
Ndio binadam tulivyo, ukifanya mazuri 99 na baya moja linakumbukwa baya zaidi ya mazuri.Tunayakumbuka mabaya maana hana mazuri
Hoja yangu ni kwamba huwa mnajicontradict kwenye maelezo yenu linapokuja suala la Magufuli, tumesikia mengi sana kutoka kwenu.Mawazo hakuuwawa? Saanane? Lissu hakupigwa risasi? Azory gwanda? Na JPM mwenyewe alimpa maagizo Ndugai kuwa awatimue bungeni ili wakitoka nje awashughulikie!! Alafu mnataka kumtetea huyi mkatili?
Mimi binafsi kata nayoishi kuna wafanyabiashara wakubwa wawili walikua ndio wanadhamini CHADEMA. Moja ana hardware kubwa sana mwingine ni mwanajeshi mstaafu, eeh bwana JPM alipoingia alihakikisha anawaharass biashara zao na kutishia kuzifunga. So mpaka inafika 2020 hata pesa ya kulipia kodi ya ofisi ilikua kipengele. Imagine hiyo ni kata moja? Je kwingine ilikuaje hali? Acheni kutetea ujinga.
Huyo Shetani tu dini zinatuambia aliwahi kuwa malaika na kwengine tunaambiwa alikuwa mchamungu na msomi.Hajawahi kuwa na mazuri
Mambo yameshaharibika sana - jkNIiwakumbushe tu kitu kimoja, ukiyabeza ya mwenzio ya kwako yatafanywa hivyo hiyo.
Nizungumzie kitu kidogo tu cha usafi wa mazingira yetu ambalo lilikuwa ni maono ya kwanza ya JPM alipoingia madarakani, na ikapitishwa siku ya jumamosi ya mwisho wa mwezi watu wote tufanye usafi wa maeneo yetu.
Suala hili limezikwa pamoja naye kwani lilikuwa na ubaya gani, mifuko ya plastiki iliyokuwa imeharamishwa sasa inaonekana kwa kasi, hivi tuna tatizo gani? je?
Tuamini kwamba Dr Rais Samia akimaliza kipindi chake tutaacha kupanda miti?
Tutarudi kwenye kutumia kuni?
Tujisahihishe hii tabia haina Afya kwa Nchi yetu.