Mshahara ulipanda maradufu nlipopandishwa tu daraja 2021 July.Mshahara umeongezewa Sh ngapi?? Hizi gharama za maisha zinaendana na hiyo nyongeza?? Ukweli unao moyoni mwako
Na mwaka huu April nimelipwa arrears zangu zote...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshahara ulipanda maradufu nlipopandishwa tu daraja 2021 July.Mshahara umeongezewa Sh ngapi?? Hizi gharama za maisha zinaendana na hiyo nyongeza?? Ukweli unao moyoni mwako
Dah! Ila Tanzania tumepoteza sana. Rest well Rais Magufuli, no one compares.
Nenda kamfufue, tunamuua Mara ya pili. Haiwezekani tutawaliwe na DIKTETA anayejufanya anajuwa kila kitu kumbe jitu la HOVYO tuMshamba ndo wewe kuandika hizo Pumba zote.
Bongofreva bana sio bongoflevaVitu ambavyo Bwana. February Makamba hapendi kuvisikia. R.I.P JPM, Mwendo wa majenereta Kulia kama midundo ya Bongofleva umerudi tena.
Sawa, damu itamwagika safari hii ikibidi tukiwa tunamuweka tena kiongozi shupavu wa calibre ya Rais Magufuli. Hatuwezi kukubali hata kwa namna gani kuacha wahuni wachache waturudishe alikotutoa.Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
...hantingi broko...Bongofreva bana sio bongofleva
Sawa, damu itamwagika safari hii ikibidi tukiwa tunamuweka tena kiongozi shupavu wa calibre ya Rais Magufuli. Hatuwezi kukubali hata kwa namna gani kuacha wahuni wachache waturudishe alikotutoa.
Ni lazima tumfukue atuambie 1.5t alipeleka wapi.
J P M ❤️View attachment 2399491
Ukweli usemwe Hayati Magufuli alifanya mengi kwa kadri mwenyezi Mungu alivyomjalia.
Vilevile, yapo aliyoweza kuyatatua kwa u haraka na ama yalikoma au yalipunguka kwa kiwango kikubwa.
R.I.P JPM.
Marehemu mapungufu yake makubwa ni kushidwa kabisa ku handle pressure za kisiasa, ikafikia hatua akaanza kuchukulia personal; akaanza ku deal na watu individually kwa kutumia mamlaka yake.. watu waliumia sana sana.
Angeweza ku balance siasa, angekuwa ni kiongozi mzuri mno; ila duh hata legacy kuandika watu wamekata tamaa, haiandikiki.
Vilaza lazima mumchukie.Hakuna mwenye akili timamu wakumkumbuka huyo
Mengi kama yapi unayoyajua wewe?View attachment 2399491
Ukweli usemwe Hayati Magufuli alifanya mengi kwa kadri mwenyezi Mungu alivyomjalia.
Vilevile, yapo aliyoweza kuyatatua kwa u haraka na ama yalikoma au yalipunguka kwa kiwango kikubwa.
R.I.P JPM.
Suzy, asante kutukumbusha, kuna maneno bonaadamu ukiyasema, unakuwa umeumba, mfano sadaka ni kitu cha Mungu!, mtu ukitamka umejitoa sadaka, Mungu anakuwa hana options bali kujitwallia sadaka yake.View attachment 2399491
Ukweli usemwe Hayati Magufuli alifanya mengi kwa kadri mwenyezi Mungu alivyomjalia.
Vilevile, yapo aliyoweza kuyatatua kwa u haraka na ama yalikoma au yalipunguka kwa kiwango kikubwa.
R.I.P JPM.
View attachment 2399491
Ukweli usemwe Hayati Magufuli alifanya mengi kwa kadri mwenyezi Mungu alivyomjalia.
Vilevile, yapo aliyoweza kuyatatua kwa u haraka na ama yalikoma au yalipunguka kwa kiwango kikubwa.
R.I.P JPM.
Alikuwa mzuri sana kwenye kuamua, alikuwa anafanya maamuzi haraka sana. Yawe mabaya au mazuri sijui,ila aliyachukua haraka sana. Sasa jichanganye upinge maamuzi yake.
Mwananzengo! Rest well Sir😢😢View attachment 2399491
Ukweli usemwe Hayati Magufuli alifanya mengi kwa kadri mwenyezi Mungu alivyomjalia.
Vilevile, yapo aliyoweza kuyatatua kwa u haraka na ama yalikoma au yalipunguka kwa kiwango kikubwa.
R.I.P JPM.
Na kiongozi asiyechukua maamuzi ni wa hivyo kama huyu wakwetu wa stupid / mtupisheKwenye kutake action JPM was faster.
-Kaveli-