Hayati Magufuli miongoni mwa viongozi bora kuwahi kutokea katika historia ya Tanzania

Wewe ni kati ya vichaa wa kalne
 
Aliwauwa wewe ulimuona? Mbona hukutoa ushahidi akiwa hai? Staki kujua nani alifanya kwa wakati ule niliumia ila baada ya kujua upuuzi wao, ndipo nilipojua uongozi ni mgumu.

Mtetezi anapokuwa rafiki wa siri wa wanyonya nchi ndo utajua hujui.

Hawa ndio wale wapumbavu nikiowataja a kwenye uzi mkuu. Take them as they are.
 
Aliwauwa wewe ulimuona? ..... wakati ule niliumia ila baada ya kujua upuuzi wao, ndipo nilipojua uongozi ni mgumu.

Mtetezi anapokuwa rafiki wa siri wa wanyonya nchi ndo utajua hujui.
Mbona kama kuna jambo unalijua...?

Mtu kuuawa au kujenga daraja lipi linatakiwa likutoe machozi??
 
Mkuu unamwambia nani kwani? Au umeona Watanzania wamempuuza? Mbona Nyerere Watanzania wanamwelewa sana lakini huwezi kuta hata chawa mmoja anapiga kelele.
 
Mkuu unamwambia nani kwani? Au umeona Watanzania wamempuuza? Mbona Nyerere Watanzania wanamwelewa sana lakini huwezi kuta hata chawa mmoja anapiga kelele.

Naweka Kumbukumbu Sawa mkuu,
Angalau na mimi nilibahatika kuona uongozi uliotukuka.
 
Kiongozi wa aina hile haitakaa Tanzania na Africa ikabarikiwa kumpata.
Ndani ya miaka 5 aliwezesha kufanyika yaliyoshindikana kwenye awamu 3.

Kuna wakati tuliona maisha magumu kwa sababu ya udikteta wake.
Kwa sasa maisha ni rahisi mno enzi hizi za udemokrasia!
 
, ilikuwa ni bahati sana kumpata kiongozi mwenye maono na uthubutu kama JPM,
Angalau his stay opened our eyes. We can do much and much better. Ila sio kwa hawa viongozi incompetent selfish waliopo maofisini
Na kwa sasa ukitaka panda daraja, cheo we onyesha kumpinga Hayati.
 
Watoto zenu wanakalia wanabukua free msingi to sec. Japo mnasema ni elimu duni
 
wanaenda bank, wanachungulia accounts za watu, ukikutwa na mzigo unapewa case ya UHUJUMU UCHUMI... Unasota mahabusu wee siku moja ukiwa mahakamani pale kisutu unaitwa chemba juu
hapo unamkuta BISWALO Mnabaki wawili tu
anakuita kwa jina lako. anakutajia kesi yako na kutaja kiasi cha pesa ulichokuwa nacho unaambiwa unatakiwa kulipa kiasi hiki ili utoke hivyo saini hapa
kwakuwa umejawa na hofu unasaini
wakichukua mzigo unaachiliwa
haki ipo wapi?
 
KUNA WAFANYA BIASHARA WENGI WALINEEMEKA KWA RUSHWA AWAMU YA NNE.
AWAMU YA TANO WALIJUA NI VILEVILE, HAWA NDIO WANASAMBAZA PROPAGANDA HIZI.
KATIKA HAO, MO, MENGI, BARESA WALIFANYIWA HIVYO?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…