Hayati Magufuli miongoni mwa viongozi bora kuwahi kutokea katika historia ya Tanzania

Hayati Magufuli miongoni mwa viongozi bora kuwahi kutokea katika historia ya Tanzania

Moja kwa moja kwenye mada.

Haya ni baadhi ya mafanikio hayati JPM aliyapata akiwa kama Rais wa JMT kwa awamu moja.

1. Ujenzi wa Miundombinu ya barabara, reli, viwanja vya ndege, vituo vya afya nk.

Ujenzi wa bwawa la umeme la Mwl. Nyerere ulihitaji uthubutu wa hali ya juu hasa ukizingatia vita iliyokuwepo dhidi ya mradi huu toka kwa jamii za wanaharakati wa kimataifa na baadhi ya wanasiasa uchwara (waafrica).

JPM alifanikiwa sana kwenye hili eneo tangu akiwa Waziri na hata alipokuwa Rais, Mh Jakaya Kikwete alifanikiwa sana kwenye ujenzi wa Barabara na madaraja kwa sababu ya uwepo wa Jembe JPM kama Waziri wake wa Wizara husika. Kuna wakati walitokea wanasiasa wapumbavu wakasema hawataki maendeleo ya vitu, Huu ni upumbvavu wa hali ya juu uliotokana na kokosa agenda. Hakuna nchi duniani inayoendelea bila kuwa na maendeleo ya Vitu.

Ni lazima kuwe na maendeleo ya vitu ili yalete maendeleo ya watu. Hiyo hatua haiepukiki.

2. Kufufua Shirika la ndege la Air Tanzania. Tunajua umuhimu wa shirika la ndege hasa kwenye utalii, ukizingatia potential tuliyonayo kwenye sekta ya utalii. Ilikuwa ni aibu sana kwa nchi inayongiza dola karibu bilioni 2 kila mwaka kwa utalii halafu kusiwe na shirika la ndege.

3. Kulinda na kusimamia vema rasilimali za nchi, ikumbukwe awamu ya nne tembo waliwindwa kwa kasi kiasi kwamba waliwekwa kwenye kundi la endangered species na twiga wakapanda ndege. Hapa pia reforms zilizofanyika kwenye Mining industry zimekuwa na manufaa kwa serikali na wachimbaji hasa wadogo ambao ni wengi sana. (walioko kwenye hii industry wanaelewa), among many.

4. Kusimamia nidhamu na uwajibikaji kwa watumishi wa umma, ikiwemo kuwaondoa wale wenye vyeti feki. Ilifika mahala watu wakaona nini haja ya kupoteza muda darasani, watu walipeana kazi kwa connections na upendeleo.

5. Alituheshimisha watu weusi, ambapo hadi sasa anazungumzwa kama Shujaa, aliyekuwa na uthubutu, nia njema kwa watu wake, na a true Pan Africanist. Haya ni Maoni ya walio wengi Tanzania, Africa na kwingineko duniani. Hii ilituheshimisha sana kama nchi.

6. Alitukumbusha watanzania kuwajibika na kuacha kuishi kwa mazoea, kama tunavyofahamu watanzania wengi ni wavivu na wazembe, na hawako tayari kuwajibika, hata walioko kwenye huduma za umma. Wao huwa ni kuangalia mianya ya upigaji tu, kazi kwao wala sio muhimu. Ndio maana kifo chake bado kinafurahiwa na baadhi ya wapumbavu wachache, wengine wapo humu JF.

7. Uchumi wan nchi uliimarika kutoka Lower Income hadi Lower Middle income Economy

8. Alisimama imara akaivusha nchi wakati wa janga la Korona, Uganda wamefungua mashule mwaka huu.

9. Upigaji serikalini ulipungua sana

10. Na mengineyo mengi.

Mwisho. Kuna namna tumepiga hatua kama nchi, ila bado Nchi yetu ni masikini (Very Poor). Siasa zetu pia ni za kipuuzi mno. Tuambizane tu ukweli. Tutachukua muda sana kusogea mbele. Pamoja na mambo mengine mengi ikiwemo wananchi kujituma kwa nafasi zao,, tunahitaji viongozi wazalendo, wenye maono, bidii na uthubutu kama JPM. Apumzike kwa Amani.

Muwe na siku njema.
Nasifu msimamo wake kuhusu korona tu,Mengine aliboronga sana,alijenga miundombinu kwa kukopa sana kwenye mashirika ya fedha na dhuruma hapa ndani,hakuna Cha upekee katika hili,alikuwa jambazi tu,
Mkapa,alijenga TRA,alikuza uchumi,aliweka miundombinu ya kukusanya mapato,
Jiwe qliyedanganya kuhusu tilioni 360!!
Alikuwa mwizi tu
 
Nasifu msimamo wake kuhusu korona tu,Mengine aliboronga sana,alijenga miundombinu kwa kukopa sana kwenye mashirika ya fedha na dhuruma hapa ndani,hakuna Cha upekee katika hili,alikuwa jambazi tu,
Mkapa,alijenga TRA,alikuza uchumi,aliweka miundombinu ya kukusanya mapato,
Jiwe qliyedanganya kuhusu tilioni 360!!
Alikuwa mwi

Nasifu msimamo wake kuhusu korona tu,Mengine aliboronga sana,alijenga miundombinu kwa kukopa sana kwenye mashirika ya fedha na dhuruma hapa ndani,hakuna Cha upekee katika hili,alikuwa jambazi tu,
Mkapa,alijenga TRA,alikuza uchumi,aliweka miundombinu ya kukusanya mapato,
Jiwe qliyedanganya kuhusu tilioni 360!!
Alikuwa mwizi tu
Amekopa kwenye mashirika yapi!
 
Sijaona mtandao unaomchukia Magu kama huu 86% humu ndani hawamkubali

Ni wachache sana, Hawafiki hata 5%, they are always available to troll. Some are paid for that job na wana multiple accounts.
 
Nasifu msimamo wake kuhusu korona tu,Mengine aliboronga sana,alijenga miundombinu kwa kukopa sana kwenye mashirika ya fedha na dhuruma hapa ndani,hakuna Cha upekee katika hili,alikuwa jambazi tu,
Mkapa,alijenga TRA,alikuza uchumi,aliweka miundombinu ya kukusanya mapato,
Jiwe qliyedanganya kuhusu tilioni 360!!
Alikuwa mwizi tu

Better ukope ufanye kitu kinaonekana, kuliko kutokopa kabisa, au kukopa halafu usifanyie chochote.
 
I mean hakuna facts kwenye maandishi yako. Sasa nitafakari nini ? Usiwe mpumbavu, andika maandishi yenye facts and we challenge each other. How will I challenge empty words ?
Kuna mtu amekukataza kuandika hizo facts zako?Andika usomwe.Mabinti msioridhika mna shida sana!
 
Moja kwa moja kwenye mada.

Haya ni baadhi ya mafanikio hayati JPM aliyapata akiwa kama Rais wa JMT kwa awamu moja.

1. Ujenzi wa Miundombinu ya barabara, reli, viwanja vya ndege, vituo vya afya nk.

Ujenzi wa bwawa la umeme la Mwl. Nyerere ulihitaji uthubutu wa hali ya juu hasa ukizingatia vita iliyokuwepo dhidi ya mradi huu toka kwa jamii za wanaharakati wa kimataifa na baadhi ya wanasiasa uchwara (waafrica).

JPM alifanikiwa sana kwenye hili eneo tangu akiwa Waziri na hata alipokuwa Rais, Mh Jakaya Kikwete alifanikiwa sana kwenye ujenzi wa Barabara na madaraja kwa sababu ya uwepo wa Jembe JPM kama Waziri wake wa Wizara husika. Kuna wakati walitokea wanasiasa wapumbavu wakasema hawataki maendeleo ya vitu, Huu ni upumbvavu wa hali ya juu uliotokana na kokosa agenda. Hakuna nchi duniani inayoendelea bila kuwa na maendeleo ya Vitu.

Ni lazima kuwe na maendeleo ya vitu ili yalete maendeleo ya watu. Hiyo hatua haiepukiki.

2. Kufufua Shirika la ndege la Air Tanzania. Tunajua umuhimu wa shirika la ndege hasa kwenye utalii, ukizingatia potential tuliyonayo kwenye sekta ya utalii. Ilikuwa ni aibu sana kwa nchi inayongiza dola karibu bilioni 2 kila mwaka kwa utalii halafu kusiwe na shirika la ndege.

3. Kulinda na kusimamia vema rasilimali za nchi, ikumbukwe awamu ya nne tembo waliwindwa kwa kasi kiasi kwamba waliwekwa kwenye kundi la endangered species na twiga wakapanda ndege. Hapa pia reforms zilizofanyika kwenye Mining industry zimekuwa na manufaa kwa serikali na wachimbaji hasa wadogo ambao ni wengi sana. (walioko kwenye hii industry wanaelewa), among many.

4. Kusimamia nidhamu na uwajibikaji kwa watumishi wa umma, ikiwemo kuwaondoa wale wenye vyeti feki. Ilifika mahala watu wakaona nini haja ya kupoteza muda darasani, watu walipeana kazi kwa connections na upendeleo.

5. Alituheshimisha watu weusi, ambapo hadi sasa anazungumzwa kama Shujaa, aliyekuwa na uthubutu, nia njema kwa watu wake, na a true Pan Africanist. Haya ni Maoni ya walio wengi Tanzania, Africa na kwingineko duniani. Hii ilituheshimisha sana kama nchi.

6. Alitukumbusha watanzania kuwajibika na kuacha kuishi kwa mazoea, kama tunavyofahamu watanzania wengi ni wavivu na wazembe, na hawako tayari kuwajibika, hata walioko kwenye huduma za umma. Wao huwa ni kuangalia mianya ya upigaji tu, kazi kwao wala sio muhimu. Ndio maana kifo chake bado kinafurahiwa na baadhi ya wapumbavu wachache, wengine wapo humu JF.

7. Uchumi wan nchi uliimarika kutoka Lower Income hadi Lower Middle income Economy

8. Alisimama imara akaivusha nchi wakati wa janga la Korona, Uganda wamefungua mashule mwaka huu.

9. Upigaji serikalini ulipungua sana

10. Na mengineyo mengi.

Mwisho. Kuna namna tumepiga hatua kama nchi, ila bado Nchi yetu ni masikini (Very Poor). Siasa zetu pia ni za kipuuzi mno. Tuambizane tu ukweli. Tutachukua muda sana kusogea mbele. Pamoja na mambo mengine mengi ikiwemo wananchi kujituma kwa nafasi zao,, tunahitaji viongozi wazalendo, wenye maono, bidii na uthubutu kama JPM. Apumzike kwa Amani.

Muwe na siku njema.
@Execute the sunk coast fallacy Mnaitwa hapa[emoji1][emoji1]
 
Mk
Mkuu, hebu tuwe specific
Njoo na madai yenye facts ,
Kwamba alimuua fulani na fulani na fulani kwa idadi hii,
Aliiba so and so and so
Alidanganya hiki na hiki na hiki.
Kwa kufanya hivyo unakuwa unatuaminisha kuwa hutumii hisia.

Mkuu, hebu tuwe specific
Njoo na madai yenye facts ,
Kwamba alimuua fulani na fulani na fulani kwa idadi hii,
Aliiba so and so and so
Alidanganya hiki na hiki na hiki.
Kwa kufanya hivyo unakuwa unatuaminisha kuwa hutumii hisia.
Mkuu kama ulikuwa nchini kipindi chake na bado unauliza alimuua nani, je mimi ntakupa ushahidi upi ili uelewe? Unless useme hukuwa Tanzania kipindi cha utawala wa giza
 
BASI SHUJAA WETU NI HUYU
Acha uzwaza na unyonge, amini kuwa una akili timamu
 
As I said earlier, huwezi mfurahisha kila mtu, alikuwa mbaya kwa wachache Katika wingi wao. Majority of minority.
But Overall anakunalika kwa walio wengi.
Ukiona unakubaliwa na wajinga jua na wewe ni mjinga
 
Tukienda hivyo nami nitakuletea countless mentions za watu wenye akili wakimzungumzia in a positive way,
Copy?? supermarket shelf talker?
Mkuu mtaje mtu mmoja mwenye akili anayemzungumzia positively Jiwe
 
Mkuu mtaje mtu mmoja mwenye akili anayemzungumzia positively Jiwe

Hapo ndio sasa wengi huwa mnakosea,
Mkuu natumaini walau ulipita madarasani,, mambo mengine sihitaji kukufundisha, you need to have that intelligence.. but atleast you need a free mind, free of emotions.

Nenda kwenye mtandao wowote, YouTube, Twitter au fb, search neno president Magufuli, fungua Habari yoyote inayomhusu JPM from whatever source, local au international halafu soma comments kisha urudi hapa na mrejesho. Nimekuwekea baadhi toka YouTube but you can search more at your convenience. Siku zote ukitaka kujua kama unakubalika pata feedback toka kwa watu, usijupe feedback mwenyewe..

IMG_8147.png






 
Mk



Mkuu kama ulikuwa nchini kipindi chake na bado unauliza alimuua nani, je mimi ntakupa ushahidi upi ili uelewe? Unless useme hukuwa Tanzania kipindi cha utawala wa giza

Sasa kama huna ushahidi huoni kama zinabaki kuwa ni stories tu za vijiwe vya kahawa?
 
In life, you can’t please everyone. Na kama ukiona unafanikiwa kuwafurahisha wote wanaokuzunguka means something is not right with you.

Kuna wakati hata baba mzazi ukifanya jambo sahihi kwa ajili ya watoto wako, trust me Kuna baadhi ya watoto hawatakubaliana na maamuzi yako kama baba yao. Sembuse kiongozi wa watu milioni 60?
In life, you can’t please everyone. Na kama ukiona unafanikiwa kuwafurahisha wote wanaokuzunguka means something is not right with you.

Kuna wakati hata baba mzazi ukifanya jambo sahihi kwa ajili ya watoto wako, trust me Kuna baadhi ya watoto hawatakubaliana na maamuzi yako kama baba yao. Sembuse kiongozi wa watu milioni 60?


What matters is; of those people how many love you, ni idadi ndio inayoangaliwa kujua unapendwa sana na watu au laa, kumbuka hata Adokf Hitler naye alipendwa, Amini naye alipendwa, Firauni (pharaoh) naye pia alipendwa sasa itakuaje Magu naye akose wapenzi??!!
 
Hapo ndio sasa wengi huwa mnakosea,
Mkuu natumaini walau ulipita madarasani,, mambo mengine sihitaji kukufundisha, you need to have that intelligence.. but atleast you need a free mind, free of emotions.

Nenda kwenye mtandao wowote, YouTube, Twitter au fb, search neno president Magufuli, fungua Habari yoyote inayomhusu JPM from whatever source, local au international halafu soma comments kisha urudi hapa na mrejesho. Nimekuwekea baadhi toka YouTube but you can search more at your convenience. Siku zote ukitaka kujua kama unakubalika pata feedback toka kwa watu, usijupe feedback mwenyewe..

View attachment 2397013






Nimekwambia taja mtu mmoja tu mwenye akili anayemwongelea Jiwe positively wewe unaweka link za YouTube. Kwenye hizi link sijaona mtu yeyote mwenye akili akimwongelea Jiwe. Ina maana hakuna mtu yoyote wa mfano hata mmoja?
 
Back
Top Bottom