Hayati Magufuli miongoni mwa viongozi bora kuwahi kutokea katika historia ya Tanzania

Hayati Magufuli miongoni mwa viongozi bora kuwahi kutokea katika historia ya Tanzania

KUNA WAFANYA BIASHARA WENGI WALINEEMEKA KWA RUSHWA AWAMU YA NNE.
AWAMU YA TANO WALIJUA NI VILEVILE, HAWA NDIO WANASAMBAZA PROPAGANDA HIZI.
KATIKA HAO, MO, MENGI, BARESA WALIFANYIWA HIVYO?
Kama aliichukia rushwa kwa vitendo kwanini sheria ya PCCB inayoipa mamka ndogo ya kushtaki hakuibadilisha?
kumpeleka mwanajeshi haikuwa suluhisho maana hata yeye aliletewa rushwa kwenye MAKAPU
 
Naweka Kumbukumbu Sawa mkuu,
Angalau na mimi nilibahatika kuona uongozi uliotukuka.
Pamoja mkuu, yawezekana kwako alikuwa shujaa ila kwa Watanzania wengi alikuwa mtu mbaya sana. Ni mtizamo tu kwani watu mpaka walifunga kumwomba Mungu awaepushie hilo balaa
 
In life, you can’t please everyone. Na kama ukiona unafanikiwa kuwafurahisha wote wanaokuzunguka means something is not right with you.

Kuna wakati hata baba mzazi ukifanya jambo sahihi kwa ajili ya watoto wako, trust me Kuna baadhi ya watoto hawatakubaliana na maamuzi yako kama baba yao. Sembuse kiongozi wa watu milioni 60?
Uko sahihi, lakini kuua raia wako kisa wanakukosoa siyo sahihi hata kidogo
 
Aliwauwa wewe ulimuona? Mbona hukutoa ushahidi akiwa hai? Staki kujua nani alifanya kwa wakati ule niliumia ila baada ya kujua upuuzi wao, ndipo nilipojua uongozi ni mgumu.

Mtetezi anapokuwa rafiki wa siri wa wanyonya nchi ndo utajua hujui.
Jiwe alikuwa mwizi, muuaji na muongo sana
 
Moja kwa moja kwenye mada.

Haya ni baadhi ya mafanikio hayati JPM aliyapata akiwa kama Rais wa JMT kwa awamu moja.

1. Ujenzi wa Miundombinu ya barabara, reli, viwanja vya ndege, vituo vya afya nk.

Ujenzi wa bwawa la umeme la Mwl. Nyerere ulihitaji uthubutu wa hali ya juu hasa ukizingatia vita iliyokuwepo dhidi ya mradi huu toka kwa jamii za wanaharakati wa kimataifa na baadhi ya wanasiasa uchwara (waafrica).

JPM alifanikiwa sana kwenye hili eneo tangu akiwa Waziri na hata alipokuwa Rais, Mh Jakaya Kikwete alifanikiwa sana kwenye ujenzi wa Barabara na madaraja kwa sababu ya uwepo wa Jembe JPM kama Waziri wake wa Wizara husika. Kuna wakati walitokea wanasiasa wapumbavu wakasema hawataki maendeleo ya vitu, Huu ni upumbvavu wa hali ya juu uliotokana na kokosa agenda. Hakuna nchi duniani inayoendelea bila kuwa na maendeleo ya Vitu.

Ni lazima kuwe na maendeleo ya vitu ili yalete maendeleo ya watu. Hiyo hatua haiepukiki.

2. Kufufua Shirika la ndege la Air Tanzania. Tunajua umuhimu wa shirika la ndege hasa kwenye utalii, ukizingatia potential tuliyonayo kwenye sekta ya utalii. Ilikuwa ni aibu sana kwa nchi inayongiza dola karibu bilioni 2 kila mwaka kwa utalii halafu kusiwe na shirika la ndege.

3. Kulinda na kusimamia vema rasilimali za nchi, ikumbukwe awamu ya nne tembo waliwindwa kwa kasi kiasi kwamba waliwekwa kwenye kundi la endangered species na twiga wakapanda ndege. Hapa pia reforms zilizofanyika kwenye Mining industry zimekuwa na manufaa kwa serikali na wachimbaji hasa wadogo ambao ni wengi sana. (walioko kwenye hii industry wanaelewa), among many.

4. Kusimamia nidhamu na uwajibikaji kwa watumishi wa umma, ikiwemo kuwaondoa wale wenye vyeti feki. Ilifika mahala watu wakaona nini haja ya kupoteza muda darasani, watu walipeana kazi kwa connections na upendeleo.

5. Alituheshimisha watu weusi, ambapo hadi sasa anazungumzwa kama Shujaa, aliyekuwa na uthubutu, nia njema kwa watu wake, na a true Pan Africanist. Haya ni Maoni ya walio wengi Tanzania, Africa na kwingineko duniani. Hii ilituheshimisha sana kama nchi.

6. Alitukumbusha watanzania kuwajibika na kuacha kuishi kwa mazoea, kama tunavyofahamu watanzania wengi ni wavivu na wazembe, na hawako tayari kuwajibika, hata walioko kwenye huduma za umma. Wao huwa ni kuangalia mianya ya upigaji tu, kazi kwao wala sio muhimu. Ndio maana kifo chake bado kinafurahiwa na baadhi ya wapumbavu wachache, wengine wapo humu JF.

7. Uchumi wan nchi uliimarika kutoka Lower Income hadi Lower Middle income Economy

8. Alisimama imara akaivusha nchi wakati wa janga la Korona, Uganda wamefungua mashule mwaka huu.

9. Upigaji serikalini ulipungua sana

10. Na mengineyo mengi.

Mwisho. Kuna namna tumepiga hatua kama nchi, ila bado Nchi yetu ni masikini (Very Poor). Siasa zetu pia ni za kipuuzi mno. Tuambizane tu ukweli. Tutachukua muda sana kusogea mbele. Pamoja na mambo mengine mengi ikiwemo wananchi kujituma kwa nafasi zao,, tunahitaji viongozi wazalendo, wenye maono, bidii na uthubutu kama JPM. Apumzike kwa Amani.

Muwe na siku njema.
Uwehu kitu mbaya Sana
 
Moja kwa moja kwenye mada.

Haya ni baadhi ya mafanikio hayati JPM aliyapata akiwa kama Rais wa JMT kwa awamu moja.

1. Ujenzi wa Miundombinu ya barabara, reli, viwanja vya ndege, vituo vya afya nk.

Ujenzi wa bwawa la umeme la Mwl. Nyerere ulihitaji uthubutu wa hali ya juu hasa ukizingatia vita iliyokuwepo dhidi ya mradi huu toka kwa jamii za wanaharakati wa kimataifa na baadhi ya wanasiasa uchwara (waafrica).

JPM alifanikiwa sana kwenye hili eneo tangu akiwa Waziri na hata alipokuwa Rais, Mh Jakaya Kikwete alifanikiwa sana kwenye ujenzi wa Barabara na madaraja kwa sababu ya uwepo wa Jembe JPM kama Waziri wake wa Wizara husika. Kuna wakati walitokea wanasiasa wapumbavu wakasema hawataki maendeleo ya vitu, Huu ni upumbvavu wa hali ya juu uliotokana na kokosa agenda. Hakuna nchi duniani inayoendelea bila kuwa na maendeleo ya Vitu.

Ni lazima kuwe na maendeleo ya vitu ili yalete maendeleo ya watu. Hiyo hatua haiepukiki.

2. Kufufua Shirika la ndege la Air Tanzania. Tunajua umuhimu wa shirika la ndege hasa kwenye utalii, ukizingatia potential tuliyonayo kwenye sekta ya utalii. Ilikuwa ni aibu sana kwa nchi inayongiza dola karibu bilioni 2 kila mwaka kwa utalii halafu kusiwe na shirika la ndege.

3. Kulinda na kusimamia vema rasilimali za nchi, ikumbukwe awamu ya nne tembo waliwindwa kwa kasi kiasi kwamba waliwekwa kwenye kundi la endangered species na twiga wakapanda ndege. Hapa pia reforms zilizofanyika kwenye Mining industry zimekuwa na manufaa kwa serikali na wachimbaji hasa wadogo ambao ni wengi sana. (walioko kwenye hii industry wanaelewa), among many.

4. Kusimamia nidhamu na uwajibikaji kwa watumishi wa umma, ikiwemo kuwaondoa wale wenye vyeti feki. Ilifika mahala watu wakaona nini haja ya kupoteza muda darasani, watu walipeana kazi kwa connections na upendeleo.

5. Alituheshimisha watu weusi, ambapo hadi sasa anazungumzwa kama Shujaa, aliyekuwa na uthubutu, nia njema kwa watu wake, na a true Pan Africanist. Haya ni Maoni ya walio wengi Tanzania, Africa na kwingineko duniani. Hii ilituheshimisha sana kama nchi.

6. Alitukumbusha watanzania kuwajibika na kuacha kuishi kwa mazoea, kama tunavyofahamu watanzania wengi ni wavivu na wazembe, na hawako tayari kuwajibika, hata walioko kwenye huduma za umma. Wao huwa ni kuangalia mianya ya upigaji tu, kazi kwao wala sio muhimu. Ndio maana kifo chake bado kinafurahiwa na baadhi ya wapumbavu wachache, wengine wapo humu JF.

7. Uchumi wan nchi uliimarika kutoka Lower Income hadi Lower Middle income Economy

8. Alisimama imara akaivusha nchi wakati wa janga la Korona, Uganda wamefungua mashule mwaka huu.

9. Upigaji serikalini ulipungua sana

10. Na mengineyo mengi.

Mwisho. Kuna namna tumepiga hatua kama nchi, ila bado Nchi yetu ni masikini (Very Poor). Siasa zetu pia ni za kipuuzi mno. Tuambizane tu ukweli. Tutachukua muda sana kusogea mbele. Pamoja na mambo mengine mengi ikiwemo wananchi kujituma kwa nafasi zao,, tunahitaji viongozi wazalendo, wenye maono, bidii na uthubutu kama JPM. Apumzike kwa Amani.

Muwe na siku njema.
Uko sahihi kabisa na huu ndio ubora wake 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220719-125637.png
    Screenshot_20220719-125637.png
    175.3 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220719-125655.png
    Screenshot_20220719-125655.png
    49.3 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220520-171316.jpg
    Screenshot_20220520-171316.jpg
    154.2 KB · Views: 4
  • 1650491737485.png
    1650491737485.png
    69.7 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220416-175354_Chrome.jpg
    Screenshot_20220416-175354_Chrome.jpg
    100 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220415-140726_1.jpg
    Screenshot_20220415-140726_1.jpg
    61 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220415-072852.jpg
    Screenshot_20220415-072852.jpg
    158.8 KB · Views: 4
  • 2022030133155.jpg
    2022030133155.jpg
    95.5 KB · Views: 4
Sidhani kama Jiwe anastahili hata kuitwa hayati
BASI SHUJAA WETU NI HUYU
 
Pamoja mkuu, yawezekana kwako alikuwa shujaa ila kwa Watanzania wengi alikuwa mtu mbaya sana. Ni mtizamo tu kwani watu mpaka walifunga kumwomba Mungu awaepushie hilo balaa

As I said earlier, huwezi mfurahisha kila mtu, alikuwa mbaya kwa wachache Katika wingi wao. Majority of minority.
But Overall anakunalika kwa walio wengi.
 
Jiwe alikuwa mwizi, muuaji na muongo sana

Mkuu, hebu tuwe specific
Njoo na madai yenye facts ,
Kwamba alimuua fulani na fulani na fulani kwa idadi hii,
Aliiba so and so and so
Alidanganya hiki na hiki na hiki.
Kwa kufanya hivyo unakuwa unatuaminisha kuwa hutumii hisia.
 
Unaitambuaje hoja?Kwa kuipenda ulivyokusudia au ilivyokukera ulivyochukia?Tafakari,jikune kalio!

I mean hakuna facts kwenye maandishi yako. Sasa nitafakari nini ? Usiwe mpumbavu, andika maandishi yenye facts and we challenge each other. How will I challenge empty words ?
 
Back
Top Bottom