Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
- #21
Hujui hata pragialism ni kitu gani na hufanyika vipi.Pragialism, umekopi kwa Polepole au wewe ndiye Polepole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui hata pragialism ni kitu gani na hufanyika vipi.Pragialism, umekopi kwa Polepole au wewe ndiye Polepole
Damu za mliowaua kwa kisingizio cha uzalendo feki zinawalilia na hamtabaki Salama mpaka mtembee na chupi kichwani.Ndio maana kila siku tunashuhudia maajabu ya upigaji dili maana kumbe bado kuna wahuni kibao bado wapo.
Inawezekana wakatusumbua sana kama taifa hatutakabiliana na wahuni ambao, wanatishia watu maisha, hawalipi kodi, wanazua madili ya kuliibia taifa letu kila kukicha, wanadhulumu wananchi wanyonge.
Tena hao anaosema wahuni mbona marehemu ndio alikua anawafuga na kuwapa mishahara na facilities za serikali kama ofisi, magari na hata ulinzi?!!!Damu za mliowaua kwa kisingizio cha uzalendo feki zinawalilia na hamtabaki Salama mpaka mtembee na chupi kichwani.
Hii nchi watu wanatafuna haswaNdio maana kila siku tunashuhudia maajabu ya upigaji dili maana kumbe bado kuna wahuni kibao bado wapo.
Inawezekana wakatusumbua sana kama taifa hatutakabiliana na wahuni ambao, wanatishia watu maisha, hawalipi kodi, wanazua madili ya kuliibia taifa letu kila kukicha, wanadhulumu wananchi wanyonge.
Katiba mpya itaondoa wahuniNdio maana kila siku tunashuhudia maajabu ya upigaji dili maana kumbe bado kuna wahuni kibao bado wapo.
Inawezekana wakatusumbua sana kama taifa hatutakabiliana na wahuni ambao, wanatishia watu maisha, hawalipi kodi, wanazua madili ya kuliibia taifa letu kila kukicha, wanadhulumu wananchi wanyonge.
Ambaye hakutaka kulipa madeni ya ndani biashara zikafa,Sijaelewa mhuni ninani? Aliyewasifu bashite na sabaya wakifanya uhuni sio mhuni? Aliyeruhusu wanasiasa upinzani kushawishiwa kwarushwa warudi chama twawala na kupandisha cheo anayefanya hayo siyo mhuni? Aliyefunga a/c zawafanya biashara? Aliyejenga kwao kwanguvu,aliyebagua kaskazini,aliyeteua zaidi kandayake? Aliyefunga/kuteka/kutesa/kupoteza/kupiga risasi wanaompinga,aliyenyima watu haki zamishahara,aliyefukuza watu kazi hovyo,aliyetukana viongozi wenzie wapumbavu Nk.
Labda sijui maana ya kiongozi mhuni!!
Kunavijana wapumbafu wanaamini polipoli libaakili,wanamskiliza na naskia skuhizi anawafundisha uongozi. Niushauri wangu polipoli akatazwe kufundisha ujinga vijana huko mitandaoni. Aidha akasomee uongozi kwanza kwamaana anawapotosha vijana wengi kwa mwamvuli wa aliiongozaga Ccm!!!
Nini?Kimeumana
Wewe ni mhuni mmoja wao umeguswa au?Yeye mwenyewe alikuwa mwizi na mpiga dili ndio maana alitumia cheo chake kuhonga mahawara zake nyumba za serikali wakati hawakuwa na sifa wala vigezo, alifanya ufisadi mkubwa katika manunuzi ya boti iliyokusudiwa kufanya safari zake kati ya bagamoyo na dar,akiwa rais aliamuru kutekelezwa kwa miradi mingi bila kuzingatia sheria ya manunuzi na pia akiwa rais ndiyo zilipotea pesa nyingi kupita ufisadi mwingine wowote uliowahi kufanywa toka nchi ipate uhuru kwani zaidi ya trilioni moja na nusu ziliyayuka kimiujiza,kwa ujumla lilikuwa jizi lilokubuhu.
Mhuni ni lile linalofura pale linaposikia watu wakihoji zilipo 1.5tWewe ni mhuni mmoja wao umeguswa au?
Hatar sanaWahuni na Wapigaji kina Nyoka makengeza, Msoga Family, Home Shopping Centre now GSM, Papa Rostum Ziz, Gabacholi NJIMA and the like kosa kubwa kuwaweka karibu na Raslimali za Taifa tutakuja kuambulia mabua.