Hayati Magufuli na serikali yake hawakumaliza wahuni "anonymous" wanaolisumbua taifa letu

Damu za mliowaua kwa kisingizio cha uzalendo feki zinawalilia na hamtabaki Salama mpaka mtembee na chupi kichwani.
 
Damu za mliowaua kwa kisingizio cha uzalendo feki zinawalilia na hamtabaki Salama mpaka mtembee na chupi kichwani.
Tena hao anaosema wahuni mbona marehemu ndio alikua anawafuga na kuwapa mishahara na facilities za serikali kama ofisi, magari na hata ulinzi?!!!

Hivi ni serikali gani yenye uadilifu inayoweza kuthubutu kumpa kazi ya "uheshimiwa" mtu kama Ole Sabaya Lengai au yule mwingine aliyekua anavamia vituo vya television kwa kutumia vyombo rasmi vya dola na kulazimisha maudhui yake yarushwe hewani huku pia akiwa anapita kwa wafanya biashara na kuwatisha wampatie pesa?!

Hivi kuna uhuni na uharamia zaidi ya kutoa amri na agizo raia wako asakwe kama digidigi na akipatikana apigwe risasi mchana kweupeee kisa anakosoa namna unavyoendesha nchi?

Hivi kuna uhuni kama kufanya upendeleo wa rasilimali za nchi na kuhakikisha watu wa kabila lako na sehemu unayotoka ndio inanayonufaika?
 
Hii nchi watu wanatafuna haswa
 
Katiba mpya itaondoa wahuni
 
Ambaye hakutaka kulipa madeni ya ndani biashara zikafa,
 
Wewe ni mhuni mmoja wao umeguswa au?
 
Wahuni na Wapigaji kina Nyoka makengeza, Msoga Family, Home Shopping Centre now GSM, Papa Rostum Ziz, Gabacholi NJIMA and the like kosa kubwa kuwaweka karibu na Raslimali za Taifa tutakuja kuambulia mabua.
Hatar sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…