Hayati Magufuli ni Nabii wa Afrika aliyechelewa kueleweka katika ukombozi wa pili wa Mwafrika, hakuogopa vigingi vya Mabeberu

Hayo yote ni maneno matupu ya kijipa ushujaaa wakati hakuna chochote hao wa Misri unao wasema sio wenzako hao 68% ya uchumi wa wamisri wanategemea mzungu usijivike ujinga wakati ukweli unaujua, we unaleta maswala ya hapo zamani? Acha ujinga sasa hiyo hapo zamani imeshindwaje kudumu hadi sasa?
 
Asante, [emoji1787][emoji1787]
 
Ni kweli huyu mtu alikua nabii
Kiki kwa marehemu hazito wasaidia chochote, zama zishabadilika tayari japo bado hamuamini. Njoni mtaani mjiajiri huyo mama hana mda na nyie anawajua vzr ni wasaka teuzi na kula yenu.
 
Mimi shida yangu iko hapo kwenye kumtanguliza Mungu, hivi ukishatasema hayo maneno basi imetosha ? "NAMTANGULIZA MUNGU" halafu baaasi??
Hakuna rewuirements zingine?
Maneno tu yanatosha kumtanguliza Mungu?
 

Msikilize mwenyewe hapa:

Your browser is not able to display this video.
 
Unamuita mzungu beberu kumbe uhai wako umebebwa na pace marker iliyotengenezwa na beberu huyohuyo...maajabu hayataisha duniani hii.
 
Mchumia tumbo anaweza kuwa wewe Kwa kuwa unamawazo ya kinyonyaji kupitia maelezo yako. Usihukumu Magufuri Nabii wa africa
😂😂😂😂 Usipaniki. Mi nadhani umwite hata mungu wako ni sawa kwangu haina athari.usipaniki tulia bwana mdogo maisha bado yanaendelea. Nmekushauri kuwa unaweza mwita mungu wako kabisa si jambo baya....nyie mnaoishi kwa kulamba viatu vya watu mna shida sana. Huwa hamna dini,hamna jinsia wala rangi.
 
Mjinga aliye waaminisha kwamba kiongozi anaye chukia wazungu ndiye shujaa wa africa aliwatia ujinga wa kiwango cha juu sana kwa sababu hakuna africa inayo weza ku survive bila mzungu hakuna hivyo mawazo ya aina hiyo ni kujilisha upepo tu.
Huu ni upumbavu ambao wamekuwa nao waafrika wengi sana. Na unafiki mkubwa. Wanasema wanawachukia wazungu huku wakitumia asilimia 80 ya bidhaa zao. Sijaona mimi kiongozi ambaye akiumwa sababu ya chuki zake kwa wazungu anaamua akalazwe kwa mganga wa kienyeji bagamoyo au tanga.

Sijaona ambao wanatumia punda kusafiri,hawatumii simu,computers na kila innovation ya kizungu. Sijaona. Mi nashauri tuwachukie wazungu na vitu vyao vyote tubaki na afrika na uafrika wetu.
 

Hahahaaaa umemaliza mkuu, jitu eti linawachukia wazungu halafu limezungukwa na security systems za hao hao wazungu, hadi unajiuliza hivi hii mijitu ina akili kweli?

Maana tulitarajia tukute mtu analindwa na sime, mikuki, mishale , mapanga ya jadi , kombeo nk. Hapo labda tungemuamini kweli hawapendi wazungu

Ni sawa na kumchukia mke halafu bado unakula vyakula anavyo kupikia unavaa nguo anazo kufulia halafu bado unadai anataka kukuua ni ujinga wa fikra tu.
 
Kwahiyo mkuu wewe unashauri nini kifanyike ili kuondoa huo utegemezi toka kwa hao wazungu?
Ushauri wako ni upi kwenye hilo? au unataka mzungu ategemewe na wengine mpaka Dunia itakapoisha?
 
kawaida ya slow leaners huwa wanaelewa kwa muda mrefu.


wewe utachujua miaka 2 kuja kukiri.
 
Kwahiyo mkuu wewe unashauri nini kifanyike ili kuondoa huo utegemezi toka kwa hao wazungu?
Ushauri wako ni upi kwenye hilo? au unataka mzungu ategemewe na wengine mpaka Dunia itakapoisha?
Yaan jamaa yangu kifupi tu ni kwamba kwa sasa waafrica hasa weuzi tumesha chelewa sana na hakuna namna yeyote ya kufanya tukaacha utegemezi kwa wazungu na tukabaki salama,

vinginevyo tuamue kujitoa muhanga wafe wengi lakini hao wachache waanze kufanya innovation zenye asili ya africa kitu ambacho hakiwezekani kabisa so wacha maisha yaendelee maana utegemezi wa mtu mweusi kwa mtu mweupe ni wa kisayansi ni ngumu kupambana nao aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…