Hayati Magufuli ni Nabii wa Afrika aliyechelewa kueleweka katika ukombozi wa pili wa Mwafrika, hakuogopa vigingi vya Mabeberu

Watanzania wanapenda sana matukio, kukitokea ajali wanajazana washuhudie seuse leo jeneza la Magufuli, wataenda kushuhudia ili wahadithie.
 
na siasa aliamin haitajenga mabarabara.ndio mana uchaguz umeisha sasa tuijenge nchi yetu.siku zot siasa inatuchelewesha.wanannchi waliamua tar 28 oct kwenda na hapa kaz tu.kwa kuitambua ilan makin ambayo utekelzaj walke ukikamilika utaipaisha nchi kufikia uchumi wa juu.
nashauri zigawiwe kwa kila mwanamchi awe anaisoma na kuona mahali pake pamefikiwa
 
People, Development and democracy..
 
Na ndio maana jina lake litahifadhiwa kwenye Makabati ya Africa.
 
Mungu mkubwa sana , yaani mtu kaiba uchaguzi wa serikali za mitaa, uchaguzi mkuu , kwa nguvu kubwa ssna , kapanga kuongeza miaka miezi mitano baada ya uchaguzi kafa aiseee .
 
Mungu mkubwa sana , yaani mtu kaiba uchaguzi wa serikali za mitaa, uchaguzi mkuu , kwa nguvu kubwa ssna , kapanga kuongeza miaka miezi mitano baada ya uchaguzi kafa aiseee .
Wewe una roho ya karai, kalai haichagui Zuri Wala baya yote inabeba Tu. Nabii Magufuri Ni mbena maono ambaye Mungu amemwitaji haraka
 
Kwa hii comment yako nimegundua unamatatizo ya akili.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Nabii Eliya aliua waliokuwa wanaabudu mungu wao Baali soma

1 Wafalme 18:21-40​

Eliya aliuwa hao manabii wa baali, siyo kwa kuwa alikuwa katili. Soma vizuri utaona sababu. Soma ule mstari wa 36 taratibu utaona kama kweli Eliya alikuwa katili au alitekeleza maagizo ya Mungu.
 
Ndio maana katiba mpya ni muhimu ile kudhibiti hayo "mapungufu ya kibinadamu" katika nafasi nyeti kama ya Urais.
 
Dini nyingine zinamkera Mungu, uyu uyu awarake DC wa kisarawe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…