Hayati Rais Magufuli ningejua ungekufa ghafla vile ningekuwahi unipe Spirit yako ili niipandikize kwa Marais wajao wa Tanzania

Hayati Rais Magufuli ningejua ungekufa ghafla vile ningekuwahi unipe Spirit yako ili niipandikize kwa Marais wajao wa Tanzania

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
'Characters zako zifuatazo zitanifanya niendelee Kukukumbuka, Kukupenda na Kukuona ulikuwa Rais bora Tanzania kwa Kizazi cha sasa na hata Kijacho

1. Hukuwa Mnafiki na Mwizi

2. Uliiamini zaidi Akili yako Kubwa

3. Hukuwa Muoga wa Kufa / Kuuwawa

4. Ulikuwa ni Mzalendo wa Vitendo

5. Hukulea Upumbavu na Upuuzi

6. Hukupenda kuletewa Ripoti za wana Kitengo na Kuridhika nazo bali nawe pia ulikuwa na namna yako ya kuyajua mengi ya Ndani na Nje ya nchi pengine kuliko hata Wao.

7. Uliwapenda ( Ulitupenda ) zaidi Masikini ( akina GENTAMYCINE ) kuliko Matajiri Mafisadi walioko wengi sana Serikalini na hata katika Chama chako Tawala.

Magufuli binafsi nakukumbuka na nitakukumbuka na kama kuna 'Clip' yako ambayo Kila nikiisikiliza tu lazima Machozi yanitoke ni ile uliyosema ( uliyotuambia ) Watanzania wote kuwa Ukifa tutakukumbuka na kututaka tukukumbuke kwa Mazuri yako tu Kwetu Wananchi na nchi ya Tanzania.

Kama Kiongozi ulikuwa na Ubabe nilioupenda pamoja na Ukatili kwa Maadui wa Tanzania yetu ila kwa sasa Upole na Huruma ndiyo Umetawala Tanzania huku Mafia na Mafisadi wachache wakiyarudia yale yale ya 2005-2015 yaliyoiharibu Tanzania yetu Kimaadili na Kizazi cha wakati huo.

R.I.P Hayati Rais wangu Dk. Magufuli.
 
'Characters zako zifuatazo zitanifanya niendelee Kukukumbuka, Kukupenda na Kukuona ulikuwa Rais bora Tanzania kwa Kizazi cha sasa na hata Kijacho

1. Hukuwa Mnafiki na Mwizi

2. Uliiamini zaidi Akili yako Kubwa

3. Hukuwa Muoga wa Kufa / Kuuwawa

4. Ulikuwa ni Mzalendo wa Vitendo

5. Hukulea Upumbavu na Upuuzi

6. Hukupenda kuletewa Ripoti za wana Kitengo na Kuridhika nazo bali nawe pia ulikuwa na namna yako ya kuyajua mengi ya Ndani na Nje ya nchi pengine kuliko hata Wao.

7. Uliwapenda ( Ulitupenda ) zaidi Masikini ( akina GENTAMYCINE ) kuliko Matajiri Mafisadi walioko wengi sana Serikalini na hata katika Chama chako Tawala.

Magufuli binafsi nakukumbuka na nitakukumbuka na kama kuna 'Clip' yako ambayo Kila nikiisikiliza tu lazima Machozi yanitoke ni ile uliyosema ( uliyotuambia ) Watanzania wote kuwa Ukifa tutakukumbuka na kututaka tukukumbuke kwa Mazuri yako tu Kwetu Wananchi na nchi ya Tanzania.

Kama Kiongozi ulikuwa na Ubabe nilioupenda pamoja na Ukatili kwa Maadui wa Tanzania yetu ila kwa sasa Upole na Huruma ndiyo Umetawala Tanzania huku Mafia na Mafisadi wachache wakiyarudia yale yale ya 2005-2015 yaliyoiharibu Tanzania yetu Kimaadili na Kizazi cha wakati huo.

R.I.P Hayati Rais wangu Dk. Magufuli.
Tuzidi kumuombea alale mahali pema, binafsi nasikitika sana kumpoteza.
 
Mkuu, unaakili sana!
sema tu ni vile mda mwingne hupendi kuzitumia..
we sema ukweli tu wakitaka wakuue!
Sijaona Rais mzuri na Tanzania ya sasa ilikuwa inamhitaji kweli kweli Mtu kama Hayati Dk. Magufuli kuliko Wengine ( walioshikiwa Akili zao na Drug Kingpins, Wezi, Wanasiasa Corrupt, Wachepushaji Maji ya Mito na Mafisadi ) wanaopatikana kwa Uwingi Barani Afrika hasa eneo la SADC.
 
'Characters zako zifuatazo zitanifanya niendelee Kukukumbuka, Kukupenda na Kukuona ulikuwa Rais bora Tanzania kwa Kizazi cha sasa na hata Kijacho

1. Hukuwa Mnafiki na Mwizi

2. Uliiamini zaidi Akili yako Kubwa

3. Hukuwa Muoga wa Kufa / Kuuwawa

4. Ulikuwa ni Mzalendo wa Vitendo

5. Hukulea Upumbavu na Upuuzi

6. Hukupenda kuletewa Ripoti za wana Kitengo na Kuridhika nazo bali nawe pia ulikuwa na namna yako ya kuyajua mengi ya Ndani na Nje ya nchi pengine kuliko hata Wao.

7. Uliwapenda ( Ulitupenda ) zaidi Masikini ( akina GENTAMYCINE ) kuliko Matajiri Mafisadi walioko wengi sana Serikalini na hata katika Chama chako Tawala.

Magufuli binafsi nakukumbuka na nitakukumbuka na kama kuna 'Clip' yako ambayo Kila nikiisikiliza tu lazima Machozi yanitoke ni ile uliyosema ( uliyotuambia ) Watanzania wote kuwa Ukifa tutakukumbuka na kututaka tukukumbuke kwa Mazuri yako tu Kwetu Wananchi na nchi ya Tanzania.

Kama Kiongozi ulikuwa na Ubabe nilioupenda pamoja na Ukatili kwa Maadui wa Tanzania yetu ila kwa sasa Upole na Huruma ndiyo Umetawala Tanzania huku Mafia na Mafisadi wachache wakiyarudia yale yale ya 2005-2015 yaliyoiharibu Tanzania yetu Kimaadili na Kizazi cha wakati huo.

R.I.P Hayati Rais wangu Dk. Magufuli.
Naungana na wew kumlilia magufuli .magu. Atabaki kuwa the best president ever Tanzania kuwai kuwa naye kwa kipindi Cha digital

Pmj na ukatili wa utawala wake ila nchi ilipaa kiuchumi kuliko wakt mwingine wowote

Rip jpm
 
Naungana na wew kumlilia magufuli .magu. Atabaki kuwa the best president ever Tanzania kuwai kuwa naye kwa kipindi Cha digital

Pmj na ukatili wa utawala wake ila nchi ilipaa kiuchumi kuliko wakt mwingine wowote

Rip jpm
Sikuwahi kudhani kuwa kumbe nawe kuna Siku huwa unakuwa na Akili nzuri kama hivi. Hongera ysko.
 
Pumzika kwa Amani Jemedari JPM, CHUMA, JIWE mzalebdo wa kweli.
😢😢
images.jpeg
 
Dikteta ni marehemu sahivi alifikiri ataishi milele, maisha ni fumbo gumu hakuna ajuaye kesho dikteta angejua haya asingetesa na kuuwa watu
hakuna JPM kuua mtu, kufa ni kufa na kufa kutaendelea kuwa kufa.
pamoja na sifa mbovu zote hzo, bado tunamtofautisha tu, utawala wake umekubalika duniani mpaka mbinguni... R.I.P
 
Mkuu genta nimetoka kumsikiliza CEO wa tanesco akizungumza na wahariri wa vyombo vya hbr

Dah jamaa alikuwa anajieleza as if Kwamba yeye hausiki na matatizo ya tanesco na ya kwamba ameyakuta na ataondoka ataacha Kama alivyokuta

Namlilia Sana magu mm goroko wana CDM huwa nawaambia mlifanya sherehe kusherekea kifo Cha jpm Leo hi mnalia Lia Hali ngumu ya maisha gharama za maisha zimepaha Hakuna anaye jali

Hakkkia tunamkumbukaaa Sana magufuli sioni Wala sijaona kosa lake ktk kipind chake chote alicho kuwepo madarakani
 
Mkuu genta nimetoka kumsikiliza CEO wa tanesco akizungumza na wahariri wa vyombo vya hbr

Dah jamaa alikuwa anajieleza as if Kwamba yeye hausiki na matatizo ya tanesco na ya kwamba ameyakuta na ataondoka ataacha Kama alivyokuta

Namlilia Sana magu mm goroko wana CDM huwa nawaambia mlifanya sherehe kusherekea kifo Cha jpm Leo hi mnalia Lia Hali ngumu ya maisha gharama za maisha zimepaha Hakuna anaye jali

Hakkkia tunamkumbukaaa Sana magufuli sioni Wala sijaona kosa lake ktk kipind chake chote alicho kuwepo madarakani
huu ndio ukweli..

"Mtanikumbuka kwa mazuri, wala sio kwa mabaya"
 
Back
Top Bottom