GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
'Characters zako zifuatazo zitanifanya niendelee Kukukumbuka, Kukupenda na Kukuona ulikuwa Rais bora Tanzania kwa Kizazi cha sasa na hata Kijacho
1. Hukuwa Mnafiki na Mwizi
2. Uliiamini zaidi Akili yako Kubwa
3. Hukuwa Muoga wa Kufa / Kuuwawa
4. Ulikuwa ni Mzalendo wa Vitendo
5. Hukulea Upumbavu na Upuuzi
6. Hukupenda kuletewa Ripoti za wana Kitengo na Kuridhika nazo bali nawe pia ulikuwa na namna yako ya kuyajua mengi ya Ndani na Nje ya nchi pengine kuliko hata Wao.
7. Uliwapenda ( Ulitupenda ) zaidi Masikini ( akina GENTAMYCINE ) kuliko Matajiri Mafisadi walioko wengi sana Serikalini na hata katika Chama chako Tawala.
Magufuli binafsi nakukumbuka na nitakukumbuka na kama kuna 'Clip' yako ambayo Kila nikiisikiliza tu lazima Machozi yanitoke ni ile uliyosema ( uliyotuambia ) Watanzania wote kuwa Ukifa tutakukumbuka na kututaka tukukumbuke kwa Mazuri yako tu Kwetu Wananchi na nchi ya Tanzania.
Kama Kiongozi ulikuwa na Ubabe nilioupenda pamoja na Ukatili kwa Maadui wa Tanzania yetu ila kwa sasa Upole na Huruma ndiyo Umetawala Tanzania huku Mafia na Mafisadi wachache wakiyarudia yale yale ya 2005-2015 yaliyoiharibu Tanzania yetu Kimaadili na Kizazi cha wakati huo.
R.I.P Hayati Rais wangu Dk. Magufuli.
1. Hukuwa Mnafiki na Mwizi
2. Uliiamini zaidi Akili yako Kubwa
3. Hukuwa Muoga wa Kufa / Kuuwawa
4. Ulikuwa ni Mzalendo wa Vitendo
5. Hukulea Upumbavu na Upuuzi
6. Hukupenda kuletewa Ripoti za wana Kitengo na Kuridhika nazo bali nawe pia ulikuwa na namna yako ya kuyajua mengi ya Ndani na Nje ya nchi pengine kuliko hata Wao.
7. Uliwapenda ( Ulitupenda ) zaidi Masikini ( akina GENTAMYCINE ) kuliko Matajiri Mafisadi walioko wengi sana Serikalini na hata katika Chama chako Tawala.
Magufuli binafsi nakukumbuka na nitakukumbuka na kama kuna 'Clip' yako ambayo Kila nikiisikiliza tu lazima Machozi yanitoke ni ile uliyosema ( uliyotuambia ) Watanzania wote kuwa Ukifa tutakukumbuka na kututaka tukukumbuke kwa Mazuri yako tu Kwetu Wananchi na nchi ya Tanzania.
Kama Kiongozi ulikuwa na Ubabe nilioupenda pamoja na Ukatili kwa Maadui wa Tanzania yetu ila kwa sasa Upole na Huruma ndiyo Umetawala Tanzania huku Mafia na Mafisadi wachache wakiyarudia yale yale ya 2005-2015 yaliyoiharibu Tanzania yetu Kimaadili na Kizazi cha wakati huo.
R.I.P Hayati Rais wangu Dk. Magufuli.