Hayati Rais Magufuli ningejua ungekufa ghafla vile ningekuwahi unipe Spirit yako ili niipandikize kwa Marais wajao wa Tanzania

Hayati Rais Magufuli ningejua ungekufa ghafla vile ningekuwahi unipe Spirit yako ili niipandikize kwa Marais wajao wa Tanzania

Tuachie mambo yako ya kufikilika tulikua tunayaona mema yake na tukipima na ayo unayoyasema hatuoni wa kufananisha naye kwani sasa ivi ivo vitu vilivyotulia ni vitu gani tozo , mala maji hakuna , mala umeme hakuna au unadhani kila mtu ni muahiliwa kwenye ili taifa acha udhandiki Over
Umeme wakati wa Magu ulikuwa unakatika kama kawa..!! Hakukuwa tu na mtu wa kutangaza kuwa umeme umekatika..!! Ukifanya hivyo usimba wa Yuda ulikuwa unakudondokea..!!
 
Nina mawazo tofauti sana na mtoa mada.
Kwangu kipindi kigamu na cha taabu basi ni hiko cha huyo mnaemsifia.

Ugumu wa maisha Tanzania ulianzia kwakwe.
Hakukua na ajira za kutosha serikalini, mbaya zaidi hta Yale makampuni na taasisi za watu binafsi zilizotoa ajira nyingi zilifungiwa. Hapo wengi walionja joto la jiwe kwa ugumu wa maisha.

fursa za kujiajiri zilikuwa finyu kutokana na mzunguko mdogo wa pesa. Kipindi hicho mtu kuingiza pesa ilikuwa ni ngumu Sana. Ukuaji wa miji na watu kujenga Kama zamani kulipungua kutokana na ugumu wa maisha, ila watu wamesahau tu.

Huyu bwana alipenda kujisifu kwa kile alichokifanya. Yaani kamradi kadogo tu basi ndio inakuwa wimbo wa kumsifu. Miradi mingi Kama UDOM, mwendo Kasi, daraja la kigamboni, barabara za mikoani, shule za kata, na miradi mingi sana haikujengwa kipindi chake lakini ilikuwa kimyaa yaani kama hakukua na kinachoendelea.

Uongozi ule ulikuwa una mambo ya kushangaza Sana. Yaani ajira za walimu 400 zikitangazwa basi inakuwa nayo ni sehemu ya kumsifu yeye. Nilikuja kuuchukia mara baana ya ajira flani kutoka lakini majina karibia nusu kuwa ni majina hewa. Yaani unaona namba ya shule ndio ile ile shule yako tena mwaka ndio ule ule uliomaliza lakini jina la aliepata kazi hata hulijui, tena ile namba yake haikuwepo kwenye list ya waliofanya mtihani pale. Yaani unakuta namba ya mwisho ilikuwa 75 lakini huyo mtu namba yake 508. AU MMESAHAU?.

Ona Sasa hivi mama anavyomwaga ajira, vyuoni, taasisi za umma, serikalini za mitaa na kwengineko tena bila kujisifu, just imagine ajira hizi ndio ingekwa kipindi kile ingekuwaje. Lakini kimya watu wanakula mema ya nchi. Na miradi ya nchi inaendelea.

Haikuwa rahisi kuona hata tangazo la kazi kwenye mfumo wa ajira, lakini ona Sasa? Tunafeli wenyewe tu.
Yule bwana amesababisha vijana wengi wakae mtaani bila kazi tena kwa muda mrefu sana.

Kuna mengi mema ameyafanya lakini si ndio awe rahisi Bora Tanzania.

NB: kwangu kiungozi Mh Samia Ni far more best than him
[emoji2962]
 
Nina mawazo tofauti sana na mtoa mada.
Kwangu kipindi kigamu na cha taabu basi ni hiko cha huyo mnaemsifia.

Ugumu wa maisha Tanzania ulianzia kwakwe.
Hakukua na ajira za kutosha serikalini, mbaya zaidi hta Yale makampuni na taasisi za watu binafsi zilizotoa ajira nyingi zilifungiwa. Hapo wengi walionja joto la jiwe kwa ugumu wa maisha.

fursa za kujiajiri zilikuwa finyu kutokana na mzunguko mdogo wa pesa. Kipindi hicho mtu kuingiza pesa ilikuwa ni ngumu Sana. Ukuaji wa miji na watu kujenga Kama zamani kulipungua kutokana na ugumu wa maisha, ila watu wamesahau tu.

Huyu bwana alipenda kujisifu kwa kile alichokifanya. Yaani kamradi kadogo tu basi ndio inakuwa wimbo wa kumsifu. Miradi mingi Kama UDOM, mwendo Kasi, daraja la kigamboni, barabara za mikoani, shule za kata, na miradi mingi sana haikujengwa kipindi chake lakini ilikuwa kimyaa yaani kama hakukua na kinachoendelea.

Uongozi ule ulikuwa una mambo ya kushangaza Sana. Yaani ajira za walimu 400 zikitangazwa basi inakuwa nayo ni sehemu ya kumsifu yeye. Nilikuja kuuchukia mara baana ya ajira flani kutoka lakini majina karibia nusu kuwa ni majina hewa. Yaani unaona namba ya shule ndio ile ile shule yako tena mwaka ndio ule ule uliomaliza lakini jina la aliepata kazi hata hulijui, tena ile namba yake haikuwepo kwenye list ya waliofanya mtihani pale. Yaani unakuta namba ya mwisho ilikuwa 75 lakini huyo mtu namba yake 508. AU MMESAHAU?.

Ona Sasa hivi mama anavyomwaga ajira, vyuoni, taasisi za umma, serikalini za mitaa na kwengineko tena bila kujisifu, just imagine ajira hizi ndio ingekwa kipindi kile ingekuwaje. Lakini kimya watu wanakula mema ya nchi. Na miradi ya nchi inaendelea.

Haikuwa rahisi kuona hata tangazo la kazi kwenye mfumo wa ajira, lakini ona Sasa? Tunafeli wenyewe tu.
Yule bwana amesababisha vijana wengi wakae mtaani bila kazi tena kwa muda mrefu sana.

Kuna mengi mema ameyafanya lakini si ndio awe rahisi Bora Tanzania.

NB: kwangu kiungozi Mh Samia Ni far more best than him

mnahangaika sana lakini bado struggle haitoshi mboga[emoji23][emoji23]

jpm anaonekana kuwa mzito kila siku kama blackhole.
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Til.1.5 iko wapi?

Miradi kuongezwa Bei kubwa kukikonuhalisia mfano Bandari ya Tanga mradi bil.30 Dalali kapiga Bil.40.

Ufisadi wa kuweka pigment kwenye mafuta alikuwa anakula Nani?

Upigaji kwenye Makinikia,

Upigaji kwenye bwawa la Nyerere,

Upigaji TanRoada nk


Wizi wote huo ulioweka rekodi ilifanyika ndio spirit unaitaka? Achilia mbali ukatili ,uongo,kusingizia watu,kutukana na kudhalilisha watu na Kukosa akili..

Soma hapo chini [emoji116]
Yaaan huyo mwenye ngozi iliyokomaa km ngozi ya mbupu siwezi mwamini hata kidogo eti ww na akili yako kijiko unamwamini wakati unajua kabisa JPM alikua kiongozi boraa kabisa na si mwizi km wengine.
 
Atatokea tu jembe mwingine. Ile mwili ndio utoweka ila spirit huwa inabakia na kutafuta mwili mpya.
 
Nina mawazo tofauti sana na mtoa mada.
Kwangu kipindi kigamu na cha taabu basi ni hiko cha huyo mnaemsifia.

Ugumu wa maisha Tanzania ulianzia kwakwe.
Hakukua na ajira za kutosha serikalini, mbaya zaidi hta Yale makampuni na taasisi za watu binafsi zilizotoa ajira nyingi zilifungiwa. Hapo wengi walionja joto la jiwe kwa ugumu wa maisha.

fursa za kujiajiri zilikuwa finyu kutokana na mzunguko mdogo wa pesa. Kipindi hicho mtu kuingiza pesa ilikuwa ni ngumu Sana. Ukuaji wa miji na watu kujenga Kama zamani kulipungua kutokana na ugumu wa maisha, ila watu wamesahau tu.

Huyu bwana alipenda kujisifu kwa kile alichokifanya. Yaani kamradi kadogo tu basi ndio inakuwa wimbo wa kumsifu. Miradi mingi Kama UDOM, mwendo Kasi, daraja la kigamboni, barabara za mikoani, shule za kata, na miradi mingi sana haikujengwa kipindi chake lakini ilikuwa kimyaa yaani kama hakukua na kinachoendelea.

Uongozi ule ulikuwa una mambo ya kushangaza Sana. Yaani ajira za walimu 400 zikitangazwa basi inakuwa nayo ni sehemu ya kumsifu yeye. Nilikuja kuuchukia mara baana ya ajira flani kutoka lakini majina karibia nusu kuwa ni majina hewa. Yaani unaona namba ya shule ndio ile ile shule yako tena mwaka ndio ule ule uliomaliza lakini jina la aliepata kazi hata hulijui, tena ile namba yake haikuwepo kwenye list ya waliofanya mtihani pale. Yaani unakuta namba ya mwisho ilikuwa 75 lakini huyo mtu namba yake 508. AU MMESAHAU?.

Ona Sasa hivi mama anavyomwaga ajira, vyuoni, taasisi za umma, serikalini za mitaa na kwengineko tena bila kujisifu, just imagine ajira hizi ndio ingekwa kipindi kile ingekuwaje. Lakini kimya watu wanakula mema ya nchi. Na miradi ya nchi inaendelea.

Haikuwa rahisi kuona hata tangazo la kazi kwenye mfumo wa ajira, lakini ona Sasa? Tunafeli wenyewe tu.
Yule bwana amesababisha vijana wengi wakae mtaani bila kazi tena kwa muda mrefu sana.

Kuna mengi mema ameyafanya lakini si ndio awe rahisi Bora Tanzania.

NB: kwangu kiungozi Mh Samia Ni far more best than him
Umemaliza yule shetani apumzike tu lkni mabaya yalikuwa mengi mwizi mkubwa yule
 
Ninyi na genge lenu la magaidi mlikuwa nafanya huo upuuzi halafu mnamsingizia Shujaa Jpm.. Saccos ya magaidi tupu.
Kamfufue basi mmebaki kulialia tu Mungu fundi akaahamua ugomvi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nikiona mama mlala hoi kule kijijini anavyopigwa na TOZO machozi yananitoka. Mimi mlala hoi jioni kabla ya kulala ninasikiliza Moja ya hotuba za mwamba JPM, ili nilale nikitafakari. Pumzika kwa amani BABA.
 
The man was real.
IMG_20220423_073227.jpg


Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Magufuli mwingine atapatikana lini; kwa wale waliosoma hesabu za arithmetic progression na geometric progression, wanaweza kuangalia trend toka Mwalimu Nyerere mpaka Magufuli na kutuambia Magufuli mwingine (au Nyerere mwingine) atapatikana baada ya kipindi fulani?!
 
Kuna watu wanasema walipata tabu kpindi cha jpm..

lakini mimi nawaambia; wanaopata tabu kwa sasa ni maratatu ya wale!
 
Back
Top Bottom