Ahmed Saidi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,588
- 3,487
Over 😂😂Wewe akili huna ndio maana unaangaika OVER
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Over 😂😂Wewe akili huna ndio maana unaangaika OVER
Kumbuka mema yote aliyoyafanya Magu ni kwa faida ya watanzania wote na kama Kuna mabaya basi pia ni kwa wote, sina chuki tu na Magu but binafsi uongozi wake sikuuelewa hata kidogo, na huo ni msimamo wangu. Sio lazima wewe uukubali.fanyeni kazi,ni kazi ndio zinambeba jamaa mpaka leo.
unadhani naweza hata kufikiri au kushawishika!!!Kumbuka mema yote aliyoyafanya Magu ni kwa faida ya watanzania wote, sina chuki tu na Magu but binafsi uongozi wake sikuuelewa hata kidogo, na huo ni msimamo wangu. Sio lizima wewe uukubali.
hata kudhani unalazimishwa huo nao ni ugonjwa.Kama were ulimpenda basi ni wewe sio lazima unilazimishe mimi nimpende pia.
mama ni bora au utawala wake ni bora!!!Kwangu mama ni bora mara buku kiuongozi.
Vyovyote, lakini wapo watu wanaochukia kuona Mh. Samia anafanya vizuri. Huu ni ugonjwa.unadhani naweza hata kufikiri au kushawishika!!!
hata kudhani unalazimishwa huo nao ni ugonjwa.
mama ni bora au utawala wake ni bora!!!
Na uongozi utakaokuja baada yake uwe mzuri zaidi, ili tu maisha yawe boraVyovyote, lakini wapo watu wanaochukia kuona Mh. Samia anafanya vizuri. Huu ni ugonjwa.
Mimi si mshabiki wa yeyote but naomba uongozi huu wa Mh. Samia uwe mzuri kupita uongozi wowote tangu Uhuru ili maisha bora kwa watanzania yapatikane.
Ndio maana kila siku hapa watu wanasema walimu hamna akili. Wewe failure ukaenda kusoma ualimu leo uje unikosoe jinsi ya kuandika? Nyambaaaf mkubwa weweKajifunze kuandika kwanza
Hasira za nini??🤣Ndio maana kila siku hapa watu wanasema walimu hamna akili. Wewe failure ukaenda kusoma ualimu leo uje unikosoe jinsi ya kuandika? Nyambaaaf mkubwa wewe
You've nailed it Chief.Uzuri ni kwamba sikuwahi kuwa mnafiki juu ya kumkubali JPM since akiwa madarakani na sasa hayupo. Binadamu tuwe na tabia ya kumkubali mtu na mazuri yake pindi angalipo hai ili kumtia moyo kwa kile anachokifanya, kinyume chake wengi waliomvunja moyo JPM leo hii ndio wanamkumbuka kwa kasi.
Ukifuatilia kwa makini utagundua kila alichokifanya JPM kilikuwa ni kwa maslahi ya nchi na wananchi kwa ujumla, haijalisha kuna watu waliumia, kufilisika, kushuka vyeo au kupoteza madaraka. Badala yake alizushiwa mengi mabaya ili kuonekana hafai.