Unajua kuna maswali mengine yanatia shaka sana....
Nakuomba PakaJimmy usijibu na hili....
Labda tu uchukue nafasi hii kumkaribisha kwenye shughuli yenyewe...
Babu ana kadi za complementary...
Babu DC!!
unataka kuja?.....
hivi wewe hujaelewa au mimi sijaelewa???
inabidi ta wing tuandae kitu chochote
Toeni shaka tanga wing kwani nitaendelea kuwa wenu msijali.
Tutaanzisha thread wakati tumeshautoa mzigo Arusha tunao Ta si wanajisahau hawa!
Siyo kuja lini tu...muulize tumjengee kibanda cha vyumba vingapi??
Kuna beach plot moja pale Mwambani inamfaa sana Lily Flower...
Babu DC!!
Safi sana katibu....
Hapa lazima tulipikize kisasi....
cc: marejesho, Blaki Womani, YNNAH, Kaizer, Arushaone.....
Babu DC!!
huyu ni mzee wa ukweli kabisaa,
hao vijana waliolelewa na housegeliz ndio wanaojidanganya hivo