Hayawi hayawi sasa yamekuwa mwana JF ndani ya shela

sasa mgegedo mfiche hata ndoa nayo shurti kwa TUME YA RASIMU YA KATIBA!
ehehheheehhehhe jf bana
hongera mwaya YNNAH

Sikuoni mwalimu siku hizi. Au ndo msimu wa kuzichanga.
 
Last edited by a moderator:
Mwanyasi tunashukuru kwa hbr hii nzuri sana na hakika tutakuwa naye bila ya kumchoka. Na MUNGU aliye mwingi wa Rehema na ampe afya njema na mwenzetu huyu afurahie maisha ya Ndoa!

Aminaa
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…