Hayawi hayawi sasa yamekuwa mwana JF ndani ya shela

Hayawi hayawi sasa yamekuwa mwana JF ndani ya shela

Babu mbona jibu liko wazi kabisa? stukaa.


Haya bwana....ngoja nijikongoje na uzee wangu....

Naona siku hizi sie vibogoyo tunatelekezwa hata kuoneshwa njia hatupewi msaada tena....

Uzuri ni kwamba kila atakayepata bahati lazima afike huku tulipo sie...

Hata hivyo, nina imani sana na katibu wangu (@Mwanyasi), hawezi kutuangusha..lol!!

Babu DC!1
 
Haya bwana....ngoja nijikongoje na uzee wangu....

Naona siku hizi sie vibogoyo tunatelekezwa hata kuoneshwa njia hatupewi msaada tena....

Uzuri ni kwamba kila atakayepata bahati lazima afike huku tulipo sie...

Hata hivyo, nina imani sana na katibu wangu (@Mwanyasi), hawezi kutuangusha..lol!!

Babu DC!1

Mwenyekiti bila shaka!
Huwa sina historia ya kuanguka au kuwalet down watu!
Chamsingi ushirikianao uliopo uendelee!
 
Mwenyekiti bila shaka!
Huwa sina historia ya kuanguka au kuwalet down watu!
Chamsingi ushirikianao uliopo uendelee!


Ndo maana wewe ni bonge la katibu....

Hakuna ubishi juu ya hilo...

Hebu basi tupe mwongozo wa kwenda kuvamia chugga...
KOKUTONA, CHUAKACHARA, Arabela, YNNAH....

Lazima tufanya fujo ya kutosha bwana...

Babu DC!1
 
Last edited by a moderator:
Ndo maana wewe ni bonge la katibu....

Hakuna ubishi juu ya hilo...

Hebu basi tupe mwongozo wa kwenda kuvamia chugga...
KOKUTONA, CHUAKACHARA, Arabela, YNNAH....

Lazima tufanya fujo ya kutosha bwana...

Babu DC!1
Haya Mkuu.
Siku hiyo tutaona nani wanampenda zaidi YNNAH, kati ya waliomwacha aolewe kwa wanaume, na wale waliompenda kwa dhati wakampeleka Chuga.
 
Last edited by a moderator:
At least hii story imefurahisha even though its old.. Hongera sana wapendwa.. Tuombeane na sie tulio nyuma yenu ( tulio mbioni mwa kuingia Courtship) . Maana ndoa Za siku hizi Duuh bila maombi acha tuu... Please mtangulizeni Mungu kwa kila Jambo .. Thanks ..
 
At least hii story imefurahisha even though its old.. Hongera sana wapendwa.. Tuombeane na sie tulio nyuma yenu ( tulio mbioni mwa kuingia Courtship) . Maana ndoa Za siku hizi Duuh bila maombi acha tuu... Please mtangulizeni Mungu kwa kila Jambo .. Thanks ..

Kila la heri Ynah

Ha haa mmeichonoa wakati tayari kuna mtunda ya uhuru tayari
 
Last edited by a moderator:
Ndugu wanaJF, kama tulivyozoea tunakuwa na shamrashamra 3 katika maisha; kuzaliwa, kuoa/kuolewa na kufa:
Basi mwana JF mwenzetu ndani ya Wing hii ya huku amepata mwenza na wanatarajia kufunga ndoa mwezi Desemba mwaka huu katika Jiji la Arusha!
Tumependa ku-share taarifa hii nzuri kwakuwa sisi ni wamoja (Jumuiya ya wana JF). Tumtakie kila la kheri ndugu yetu huyu pamoja na mwenza wake wawe na maisha mema!
Tanga Wing tunaleta mwali chuga, ni raha sana!
Mwenyekiti wa Arusha wing
PakaJimmy mpokee mwali na atunzwe kama alivokuwa hapa kwetu!

YNNAH is getting married: Tanga wing tunakutakia maisha mema
YNNAH katika ndoa yenu, Mungu awabariki muishi kwa amani! Siku ya tukio tutatinga kama mvua hapo Jijini!

NB Na sisi tunataka wanachuga mtupe mwali inreturn maana mmepunguza memba wetu!




CC: Dark City KOKUTONA @Arabala @Preta Ladymasa Blaki Womani PakaJimmy Lily Flower Filipo Smile watu8 Arushaone Madame B Mchambuzi Bishanga marejesho Mzee wa Rula Baba V mwenyekiti wa haya makitu na JF wotee
Hongerq sana
 
Back
Top Bottom