Babu mbona jibu liko wazi kabisa? stukaa.
Hvyo hivyo katibu...mdogo mdogo tu bila kupunguza wala kuongeza....
Titafika tu...
Babu DC!1
Haya bwana....ngoja nijikongoje na uzee wangu....
Naona siku hizi sie vibogoyo tunatelekezwa hata kuoneshwa njia hatupewi msaada tena....
Uzuri ni kwamba kila atakayepata bahati lazima afike huku tulipo sie...
Hata hivyo, nina imani sana na katibu wangu (@Mwanyasi), hawezi kutuangusha..lol!!
Babu DC!1
Mwenyekiti bila shaka!
Huwa sina historia ya kuanguka au kuwalet down watu!
Chamsingi ushirikianao uliopo uendelee!
Hata Lily Flower analitambua hili, taraatibu!
Mwenyekiti PakaJimmy si tuko pamoja? KOKUTONA upooo! andaa mazingira staiki!
Ndo maana wewe ni bonge la katibu....
Hakuna ubishi juu ya hilo...
Hebu basi tupe mwongozo wa kwenda kuvamia chugga...
KOKUTONA, CHUAKACHARA, Arabela, YNNAH....
Lazima tufanya fujo ya kutosha bwana...
Babu DC!1
Haya Mkuu.Ndo maana wewe ni bonge la katibu....
Hakuna ubishi juu ya hilo...
Hebu basi tupe mwongozo wa kwenda kuvamia chugga...
KOKUTONA, CHUAKACHARA, Arabela, YNNAH....
Lazima tufanya fujo ya kutosha bwana...
Babu DC!1
ndio raha ya kuwa na wa dada wachapakazi
ndio raha ya kuwa na wa dada wachapakazi
At least hii story imefurahisha even though its old.. Hongera sana wapendwa.. Tuombeane na sie tulio nyuma yenu ( tulio mbioni mwa kuingia Courtship) . Maana ndoa Za siku hizi Duuh bila maombi acha tuu... Please mtangulizeni Mungu kwa kila Jambo .. Thanks ..
Kila la heri Ynah
Ha haa mmeichonoa wakati tayari kuna mtunda ya uhuru tayari
Hongerq sanaNdugu wanaJF, kama tulivyozoea tunakuwa na shamrashamra 3 katika maisha; kuzaliwa, kuoa/kuolewa na kufa:
Basi mwana JF mwenzetu ndani ya Wing hii ya huku amepata mwenza na wanatarajia kufunga ndoa mwezi Desemba mwaka huu katika Jiji la Arusha!
Tumependa ku-share taarifa hii nzuri kwakuwa sisi ni wamoja (Jumuiya ya wana JF). Tumtakie kila la kheri ndugu yetu huyu pamoja na mwenza wake wawe na maisha mema!
Tanga Wing tunaleta mwali chuga, ni raha sana!
Mwenyekiti wa Arusha wing PakaJimmy mpokee mwali na atunzwe kama alivokuwa hapa kwetu!
YNNAH is getting married: Tanga wing tunakutakia maisha mema YNNAH katika ndoa yenu, Mungu awabariki muishi kwa amani! Siku ya tukio tutatinga kama mvua hapo Jijini!
NB Na sisi tunataka wanachuga mtupe mwali inreturn maana mmepunguza memba wetu!
CC: Dark City KOKUTONA @Arabala @Preta Ladymasa Blaki Womani PakaJimmy Lily Flower Filipo Smile watu8 Arushaone Madame B Mchambuzi Bishanga marejesho Mzee wa Rula Baba V mwenyekiti wa haya makitu na JF wotee